Mke wangu ananipiga makofi kila ninapochelewa kurudi nyumbani, nifanyaje jamani nimechoka!

Mke wangu ananipiga makofi kila ninapochelewa kurudi nyumbani, nifanyaje jamani nimechoka!

Mimi ni mwanaume niliejaaliwa kuwa na watoto wawili wakike na wa kiume na mke wangu nimemuoa miaka kumi iliyopita huko mkoani iringa, shughuli zangu ni fundi seremala katika hizi kampuni za ujenzi za kichina zilizotapakaa hapa jijini dar ambazo tunajenga nyumba mbalimbali za miradi ya jamii.

Sasa mara nyingi pesa huwa tunalipwa kwa kila wiki, sasa hapa kati huwa napigika sana yaani nakuwa sina pesa hivyo ni lazima nijiongeze kwa kufanya kazi za ziada pindi ninapotoka kazini ile saa kumi, sasa najikuta nakuwa huko mitaani mpaka saa mbili au saa tatu usiku ndipo namaliza kazi zangu za ziada na kupata pesa then naelekea home.

Lakini ninapofika nyumbani nakumgongea mke wangu anifungulie mlango nikiingia ndani tu maneno yanaanza, nikimjibu kuwa nilipitia sehemu kufanya kazi maana nimerudi kazini nikiwa sina pesa naambulia vibao usoni napigwa mpaka nalia ndugu zangu huku nikiambiwa na mke wangu...usinijibu mimi nakwambia...roho inaniuma sana ndugu zangu naomba mnishauri nifanye nini ili kuepukana na vipigo hivi mimi jamani?.
Hivi unataka kutuaminisha kuwa unampenda sana ndo mana anapokupa kichapo unauchuna tu au kuna jingine linalokufanya uwe mlenda namna hiyo, hujui ww ni kichwa cha familia? Ebu simama kama dume ww acha kulialia mwishowe kuna cku utakuja kutuambia umebakwa na mkeo ww. Shubhamiiti!!
 
Mimi ni mwanaume niliejaaliwa kuwa na watoto wawili wakike na wa kiume na mke wangu nimemuoa miaka kumi iliyopita huko mkoani iringa, shughuli zangu ni fundi seremala katika hizi kampuni za ujenzi za kichina zilizotapakaa hapa jijini dar ambazo tunajenga nyumba mbalimbali za miradi ya jamii.

Sasa mara nyingi pesa huwa tunalipwa kwa kila wiki, sasa hapa kati huwa napigika sana yaani nakuwa sina pesa hivyo ni lazima nijiongeze kwa kufanya kazi za ziada pindi ninapotoka kazini ile saa kumi, sasa najikuta nakuwa huko mitaani mpaka saa mbili au saa tatu usiku ndipo namaliza kazi zangu za ziada na kupata pesa then naelekea home.

Lakini ninapofika nyumbani nakumgongea mke wangu anifungulie mlango nikiingia ndani tu maneno yanaanza, nikimjibu kuwa nilipitia sehemu kufanya kazi maana nimerudi kazini nikiwa sina pesa naambulia vibao usoni napigwa mpaka nalia ndugu zangu huku nikiambiwa na mke wangu...usinijibu mimi nakwambia...roho inaniuma sana ndugu zangu naomba mnishauri nifanye nini ili kuepukana na vipigo hivi mimi jamani?.
Unafaa upewe masufuria na ndoo zote, upike na kuchota maji, kutandika vitanda n.k na usionekane kwenye vijiwe/kundi lolote la wanaume, usije chelewa kurudi nyumbani. (Makofi yanauma).
 
"I Look To You"

As I lay me down,
Heaven hear me now.
I'm lost without a cause
After giving it my all.

Winter storms have come
And darkened my sun.
After all that I've been through
Who on earth can I turn to?

I look to you.
I look to you.
After all my strength is gone,
In you I can be strong
I look to you.
I look to you.
And when melodies are gone,
In you I hear a song.
I look to you.

About to lose my breath,
There's no more fighting left,
Sinking to rise no more,
Searching for that open door.

And every road that I've taken
Led to my regret.
And I don't know if I'm going to make it.
Nothing to do but lift my head

I look to you.
I look to you.
And when all my strength is gone,
In you I can be strong
I look to you.
I look to you.
And when melodies are gone,
In you I hear a song.
I look to you.

My levees are broken
My walls have come
Tumbling down on me

The rain is falling.
Defeat is calling.
I need you to set me free.

Take me far away from the battle.
I need you.
Shine on me.

I look to you.
I look to you.
After all my strength is gone,
In you I can be strong
I look to you.
I look to you.
And when melodies are gone,
In you I hear a song.
I look to you.

CC MBITIYAZA


siku uimbe basi jamn !i love ths!
 
Aibu nimeona mimi!
Omba likizo kisiri siri.. Kaa nyumbani wiki nzima na pesa usimpe.. Akiuliza mwambie umeacha kazi ili awe anakuona siku nzima!
 
Hii no dharau sana kwetu wanaume..husiwe unaandika hii aibu kwenye public....je hujui ya kuwa mwanaume ni kichwa cha nyumba?? Sasa kwanini wewe umekuwa mkia?? Ebu jitambue usimame upya kama Kichwa...nakushauri siku moja umpige ila husimuumize kuanzia hapo heshima itarudi nyumbani
 
Acha kazi ukae home au urudi home mapema.
 
Mwanaume lofa kama wewe inabidi ukachukue Nafasi ya babu seya , Haiwezekani unatushushia hadhi yetu namna hii
 
mmmnh basi kila mtu atajifanya kidume,kinaheshimiwa nyumbani,kumbe mpo humu mnaopigwa mpaka mnalia kama mmefiwa,ila mnapita kimya kimya hahahahahah
 
Back
Top Bottom