Mke wangu ananisimulia akitongozwa

Mke wangu ananisimulia akitongozwa

Na wewe unaamini kabisa kuwa anatongozwa tu.
Hapo anakuandaa kisaikolojia, ukija kumfuma na mtu anakwambia huyu ni yule nilikwambia ananisumbua, bado sijamkubalia.

Kwa uzoefu ulousema wa miaka 10,hukutakiwa kuleta uzi huu. Haya ni mambo ya wanafunzi Tena form 1
Miaka kumi umri wa mtoto na anatongozwa sasa maana kizazi hiki cha kijinga sana
 
Pata muda wa kumjua vizuri mchumba au mpenzi wako kabla ya kumuoa, umjue in and out, ukae nae Rum/nyumba moja more than a year itakusaidia kumuelewa na kujua namna ya kuishi nae na hii itapunguza mambo na malalamiko mengi huko mbele ya Safari.

Ukibahatika akawa au ukamkuta Bikra, tia mikono usoni Mshukuru Mungu amekupenda zaidi lakini hakuna mtu mwenye Garantii kwa hii jinsia jirani.

NB; Nilimkuta Bikra na nikakaa nae miaka 6 kabla ya kumuoa( KUKAA NAE SIO KUDATE NAE ), hapa mnapoandika shida/matatizo ya ndoa huwa sielewi huwa ni ya rangi Gani!!
Afadhali tumepanda gari moja tuwafundishe hawa maana kila izi wa kuzilalamikia ndoa wakati ndoa ni paradise ndogo
Hatukatai kupishana kwa vitu vidogo mnavimaliza wenyewe bila kushirikisha nje hata wazazi hawatakiwi kujua matatizo yenu

Vijana bikra itawasaidieni kufurahia ndoa hawa waliotumika afadhali ajielewe majukumu yake
 
Mkuu ukiwa na makubaliano ya aina yoyote na binadamu ambaye si wewe kila jambo linalohusu kwenda kinyume na hayo makubaliano kutoka kwa huyo binadamu lipe ùwezekano ila kama hakuna dalili au halijatokea usiruhusu livuruge hayo makubaliano.
Hapo ni kutaka kuishi kwa matumaini wakati kitu hicho hakipo mkuu

Kwani huamini kama kuna wanawake au wanaume hatutoki nje ya ndoa zetu
 
Mkuu,kwahiyo unaamini kwamba mkeo yuko tayari achapwe na fimbo moja tu mpaka kifo chake?.

Kwamba hlimkuta bikra na atadumu kuwa na experience ya fimbo yako daima?.Unajidanganya mkuu.
 
Nilidumu naye katika uhusiano miaka nane kabla kumuoa rasmi. Tunaelekea mwaka wa kumi katika ndoa.

Nilichoweza kujifunza hasa ninapoona wengi wanalia na mapenzi ya sasa WAMEOANA PASIPOKUJUANA KIUNDANI.

Ulimwengu wa mapenzi hakuna mwalimu kila mtu ni mwanafunzi na ni chuo ambacho hakuna kumaliza!

Niliwahi kukaa na mzee miaka 75 katika story nilishangaa nae hamuamini mke wake anahisi anachepuka laaaaah!!!!!

Miaka zaidi ya 60 achepuke???? anatafuta nini nje maana kama kucheza michezo yote kaimaliza. Lakini baada ya kujua huu mchezo hauna mwalimu haishangazi

Ushauri kwa vijana ambao bado hamjaingia hiki chama punguzeni papara katika kumtafuta mke.

Mpaka kumpata anayekuja kukusimulia nani kamsemesha sio rahisi na hii haimaanishi mpaka uwe fundi sana kunako game. Hata umko.....ze bado atatoka tu nje.

Kuna ndugu yangu mpaka alikuwa akilamba K. Anapigwa na fangasi za mdomoni BADO ALIACHWA.

CHEZEA MAPENZI WEWE!!!!!!!

SULUHISHO LA YOTE NI KUMPATA BIKRA TU
UANZE KULIMA SHAMBA MWENYEWE
Hapo uliposema kuhusu bikira umeonesha ulivyo bado junior kweny hz ishu
 
Mkuu ukiwa na makubaliano ya aina yoyote na binadamu ambaye si wewe kila jambo linalohusu kwenda kinyume na hayo makubaliano kutoka kwa huyo binadamu lipe ùwezekano .
Mkuu hata makubaliano tu baina yako na nafsi yako weka uwezekano fulani ya kwamba inawezekano wa wewe kwenda kinyume upo. Vinginevyo utaishia kujichukia tu.
 
Hivi anaweza kuzini kabla ya kutongozwa
Labda abakwe
Kiufupi kuzini kwa mwanamke anaejielewa ni ngumu sana
Na hawa viumbe wakiingia wanaingia kijumla
Huenda anakusimulia mitongozo aliyoikataa ili kukufanya uamini kuwa ni mwaminifu. Mitongozo anayoikubali anaanzaje kukusimulia! Usiwe zuzu. Fungua macho ndugu. Hawa viumbe usiwawekee guarantee 100%
 
Mkuu,kwahiyo unaamini kwamba mkeo yuko tayari achapwe na fimbo moja tu mpaka kifo chake?.

Kwamba hlimkuta bikra na atadumu kuwa na experience ya fimbo yako daima?.Unajidanganya mkuu.
Miaka kumi sasa anachapwa nayo huko mbeleni mpaka atoke aende wapi wakati ni uzeeni mnakula matunda ya ujanani
 
Huenda anakusimulia mitongozo aliyoikataa ili kukufanya uamini kuwa ni mwaminifu. Mitongozo anayoikubali anaanzaje kukusimulia! Usiwe zuzu. Fungua macho ndugu. Hawa viumbe usiwawekee guarantee 100%
Inaonekana Huna imani ndugu nikukaribishe wapo wanaojielewa
Najua anaweza kufanya sio kwamba unamlinda
Bali yeye mwenyewe anauthamin mwili wake
 
Back
Top Bottom