Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka kumi umri wa mtoto na anatongozwa sasa maana kizazi hiki cha kijinga sanaNa wewe unaamini kabisa kuwa anatongozwa tu.
Hapo anakuandaa kisaikolojia, ukija kumfuma na mtu anakwambia huyu ni yule nilikwambia ananisumbua, bado sijamkubalia.
Kwa uzoefu ulousema wa miaka 10,hukutakiwa kuleta uzi huu. Haya ni mambo ya wanafunzi Tena form 1
Afadhali tumepanda gari moja tuwafundishe hawa maana kila izi wa kuzilalamikia ndoa wakati ndoa ni paradise ndogoPata muda wa kumjua vizuri mchumba au mpenzi wako kabla ya kumuoa, umjue in and out, ukae nae Rum/nyumba moja more than a year itakusaidia kumuelewa na kujua namna ya kuishi nae na hii itapunguza mambo na malalamiko mengi huko mbele ya Safari.
Ukibahatika akawa au ukamkuta Bikra, tia mikono usoni Mshukuru Mungu amekupenda zaidi lakini hakuna mtu mwenye Garantii kwa hii jinsia jirani.
NB; Nilimkuta Bikra na nikakaa nae miaka 6 kabla ya kumuoa( KUKAA NAE SIO KUDATE NAE ), hapa mnapoandika shida/matatizo ya ndoa huwa sielewi huwa ni ya rangi Gani!!
Bikra kagongwa na nani wakati ndie mfunguaji?Mwambie akusimulie na wanaomgonga ,wale aliowakubalia,usiwe mjinga kumwamini mkeo
Hapo ni kutaka kuishi kwa matumaini wakati kitu hicho hakipo mkuuMkuu ukiwa na makubaliano ya aina yoyote na binadamu ambaye si wewe kila jambo linalohusu kwenda kinyume na hayo makubaliano kutoka kwa huyo binadamu lipe ùwezekano ila kama hakuna dalili au halijatokea usiruhusu livuruge hayo makubaliano.
Hapo uliposema kuhusu bikira umeonesha ulivyo bado junior kweny hz ishuNilidumu naye katika uhusiano miaka nane kabla kumuoa rasmi. Tunaelekea mwaka wa kumi katika ndoa.
Nilichoweza kujifunza hasa ninapoona wengi wanalia na mapenzi ya sasa WAMEOANA PASIPOKUJUANA KIUNDANI.
Ulimwengu wa mapenzi hakuna mwalimu kila mtu ni mwanafunzi na ni chuo ambacho hakuna kumaliza!
Niliwahi kukaa na mzee miaka 75 katika story nilishangaa nae hamuamini mke wake anahisi anachepuka laaaaah!!!!!
Miaka zaidi ya 60 achepuke???? anatafuta nini nje maana kama kucheza michezo yote kaimaliza. Lakini baada ya kujua huu mchezo hauna mwalimu haishangazi
Ushauri kwa vijana ambao bado hamjaingia hiki chama punguzeni papara katika kumtafuta mke.
Mpaka kumpata anayekuja kukusimulia nani kamsemesha sio rahisi na hii haimaanishi mpaka uwe fundi sana kunako game. Hata umko.....ze bado atatoka tu nje.
Kuna ndugu yangu mpaka alikuwa akilamba K. Anapigwa na fangasi za mdomoni BADO ALIACHWA.
CHEZEA MAPENZI WEWE!!!!!!!
SULUHISHO LA YOTE NI KUMPATA BIKRA TU
UANZE KULIMA SHAMBA MWENYEWE
Mkuu hata makubaliano tu baina yako na nafsi yako weka uwezekano fulani ya kwamba inawezekano wa wewe kwenda kinyume upo. Vinginevyo utaishia kujichukia tu.Mkuu ukiwa na makubaliano ya aina yoyote na binadamu ambaye si wewe kila jambo linalohusu kwenda kinyume na hayo makubaliano kutoka kwa huyo binadamu lipe ùwezekano .
Nimejikuta nakuonea huruma sana ila basi tu.
Huenda anakusimulia mitongozo aliyoikataa ili kukufanya uamini kuwa ni mwaminifu. Mitongozo anayoikubali anaanzaje kukusimulia! Usiwe zuzu. Fungua macho ndugu. Hawa viumbe usiwawekee guarantee 100%Hivi anaweza kuzini kabla ya kutongozwa
Labda abakwe
Kiufupi kuzini kwa mwanamke anaejielewa ni ngumu sana
Na hawa viumbe wakiingia wanaingia kijumla
Anakupa story za aliowakataa aliowakubali hakwambii.Hivi anaweza kuzini kabla ya kutongozwa
Labda abakwe
Kiufupi kuzini kwa mwanamke anaejielewa ni ngumu sana
Na hawa viumbe wakiingia wanaingia kijumla
Miaka kumi sasa anachapwa nayo huko mbeleni mpaka atoke aende wapi wakati ni uzeeni mnakula matunda ya ujananiMkuu,kwahiyo unaamini kwamba mkeo yuko tayari achapwe na fimbo moja tu mpaka kifo chake?.
Kwamba hlimkuta bikra na atadumu kuwa na experience ya fimbo yako daima?.Unajidanganya mkuu.
Wewe nahisi bado mtoto kama mkubwa basi umri wako haujaendana na ubongoMke wako anakufundisha umbea na wewe unataka kuoa mbea hivyo hivyo
Inaonekana Huna imani ndugu nikukaribishe wapo wanaojielewaHuenda anakusimulia mitongozo aliyoikataa ili kukufanya uamini kuwa ni mwaminifu. Mitongozo anayoikubali anaanzaje kukusimulia! Usiwe zuzu. Fungua macho ndugu. Hawa viumbe usiwawekee guarantee 100%
Point.Akizini hawezi kukuhadithia. Mm sioni umuhimu wa kukaa na kusikiliza hadithi za mkeo alivyotongozwa. Atongozwe huko akwepe mishale kisha arudi nyumbani.