Mke wangu ananisimulia akitongozwa

Mke wangu ananisimulia akitongozwa

Mkuu na wewe unamwamini kabisa
Anaowakataa ndio anakuja kukuambia
Ila anaowakubali anapita nao kimyakimya
Dah hata wewe mtoto wa kike unakaa upande wa wengi kwani wewe binafsi humlindii mumeo kama umeolewa
Hata mpenzi tu unamlindia au kusanya kusanya nawe?
 
Dah hata wewe mtoto wa kike unakaa upande wa wengi kwani wewe binafsi humlindii mumeo kama umeolewa
Hata mpenzi tu unamlindia au kusanya kusanya nawe?
Shida sio mimi mtoto wa kike mkuu naongea ukweli sisi wanawake ni wanafki sana sana usipotujua utapata shida sana

Mtu anayejifanya yeye hapendi ndio mfanyaji no 1 acha tukuambie ukweli mchungu kazi kwako sasa ila anaowakubali hakwambii kabisa
 
Nilidumu naye katika uhusiano miaka nane kabla kumuoa rasmi. Tunaelekea mwaka wa kumi katika ndoa.

Nilichoweza kujifunza hasa ninapoona wengi wanalia na mapenzi ya sasa WAMEOANA PASIPOKUJUANA KIUNDANI.

Ulimwengu wa mapenzi hakuna mwalimu kila mtu ni mwanafunzi na ni chuo ambacho hakuna kumaliza!

Niliwahi kukaa na mzee miaka 75 katika story nilishangaa nae hamuamini mke wake anahisi anachepuka laaaaah!!!!!

Miaka zaidi ya 60 achepuke???? Anatafuta nini nje maana kama kucheza michezo yote kaimaliza. Lakini baada ya kujua huu mchezo hauna mwalimu haishangazi

Ushauri kwa vijana ambao bado hamjaingia hiki chama punguzeni papara katika kumtafuta mke.

Mpaka kumpata anayekuja kukusimulia nani kamsemesha sio rahisi na hii haimaanishi mpaka uwe fundi sana kunako game. Hata umko.....ze bado atatoka tu nje.

Kuna ndugu yangu mpaka alikuwa akilamba K. Anapigwa na fangasi za mdomoni BADO ALIACHWA.

CHEZEA MAPENZI WEWE!!!!!!!

SULUHISHO LA YOTE NI KUMPATA BIKRA TU
UANZE KULIMA SHAMBA MWENYEWE
Akilambwa thubutu kama atakuja kukusimulia
 
Bikra kagongwa na nani wakati ndie mfunguaji?

Pia size ya dushe langu naijua akiingia mtu nitajua tu
hivi inawezekana eeeh, kupima kwa kuangalia nani kaingia na nani hajaingia
hahhahahaa, na akiingia mwenye dushe dogo kuliko lako je?

usijiaminishe sana mkuu, cha msingi furahia tu maisha mengine yatajileta yenyewe
 
Nilidumu naye katika uhusiano miaka nane kabla kumuoa rasmi. Tunaelekea mwaka wa kumi katika ndoa.

Nilichoweza kujifunza hasa ninapoona wengi wanalia na mapenzi ya sasa WAMEOANA PASIPOKUJUANA KIUNDANI.

Ulimwengu wa mapenzi hakuna mwalimu kila mtu ni mwanafunzi na ni chuo ambacho hakuna kumaliza!

Niliwahi kukaa na mzee miaka 75 katika story nilishangaa nae hamuamini mke wake anahisi anachepuka laaaaah!!!!!

Miaka zaidi ya 60 achepuke???? Anatafuta nini nje maana kama kucheza michezo yote kaimaliza. Lakini baada ya kujua huu mchezo hauna mwalimu haishangazi

Ushauri kwa vijana ambao bado hamjaingia hiki chama punguzeni papara katika kumtafuta mke.

Mpaka kumpata anayekuja kukusimulia nani kamsemesha sio rahisi na hii haimaanishi mpaka uwe fundi sana kunako game. Hata umko.....ze bado atatoka tu nje.

Kuna ndugu yangu mpaka alikuwa akilamba K. Anapigwa na fangasi za mdomoni BADO ALIACHWA.

CHEZEA MAPENZI WEWE!!!!!!!

SULUHISHO LA YOTE NI KUMPATA BIKRA TU
UANZE KULIMA SHAMBA MWENYEWE
Kaka anakuambia asie wapenda anae wapenda usifikir utaambiwa
 
Ata mtoto akila chalula kizuri kwa jirani atakuja kumwadithia mama yake, sio kwa sababu anataka kumtaarifu kuwa amekul kwenye miji ya watu bali kwa sababu anataka/tegemea siku moja mama yake nae apike chakula kama kile.

Kwaiyo ata ww ukiona anakuhadithia anavyo tongozwa haina maana kuwa anataka kukuonesha kuwa yeye ni mzuri bali anakukumbusha tu kuwa huko nje bado kuna watu wanamuona kwaiyo anaomba ww umuone mara mbili zaidi yao.
 
Hivi anaweza kuzini kabla ya kutongozwa
Labda abakwe
Kiufupi kuzini kwa mwanamke anaejielewa ni ngumu sana
Na hawa viumbe wakiingia wanaingia kijumla
Aisee we ndgu mbona unawapotosha vijana.
Kwenye uzi wako umesema mkeo anakwambia wanaomtongoza, OGOPA sana hiyo kitu. Hao anaokwambia ni wale anaowakataa au hawapendi na hajavutiwa nao. Wale waliomvutia hakwambii na anaweza chapwa na usijue coz ashajijengea imani kwako tayari.

Mi sipendelei saana huo mchezo wa kuniambia waliomtongoza sababu najua yeye ni mwanamke atatongozwa tu, na mwanamke anaejielewa hizo habari sio za kumwambia mwezi wake coz ni zake yeye binafai hazimhusu mpenzi wake labda tu achomekee katikati ya story.

Usimwamini sana mwanamke, ifute hiyo kauli yako ya "mwanamke anaejielewa".
 
Ata mtoto akila chalula kizuri kwa jirani atakuja kumwadithia mama yake, sio kwa sababu anataka kumtaarifu kuwa amekul kwenye miji ya watu bali kwa sababu anataka/tegemea siku moja mama yake nae apike chakula kama kile.

Kwaiyo ata ww ukiona anakuhadithia anavyo tongozwa haina maana kuwa anataka kukuonesha kuwa yeye ni mzuri bali anakukumbusha tu kuwa huko nje bado kuna watu wanamuona kwaiyo anaomba ww umuone mara mbili zaidi yao.
Vizuri na pia anajielewa binafsi
 
Back
Top Bottom