Mke wangu ananisimulia akitongozwa

Mke wangu ananisimulia akitongozwa

Pole sana ndugu kwa hapo una kibarua kizito maana kizazi hiki hakijitambui
Wao kugawa gawa ni kawaida ila wapo ndugu yangu Mungu atakusaidia
Huyo mke wako mwenyewe Ni wa kizazi hiki,kwa hiyo naye Ni mgawaji tu Kama wagawaji wengine,sema kakuzidi kete,anakufunga kamba unaamini😂😂😂😂
 
Acha makasiriko mzee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi nikidanga wewe unapungukiwa nini kwani?Haya,we mwenzangu ulioa bikra?
Kukwambia ukweli kumekuuma maana mdangaji utatoa ushauri gani na usikilizwe? Ushauri wako unaona kudanga ni sawa mpaka kizazi chako kinaendeleza huo mfumo
Wa udangaji
Ubadilike na ujikubali mwili wako una heshima sio kila mtu akuvue pichu

Wapo wanawake ambao inabidi waje wawafunze mnahitaji somo kabisa wallah!!!
 
Nilidumu naye katika uhusiano miaka nane kabla kumuoa rasmi. Tunaelekea mwaka wa kumi katika ndoa.

Nilichoweza kujifunza hasa ninapoona wengi wanalia na mapenzi ya sasa WAMEOANA PASIPOKUJUANA KIUNDANI.

Ulimwengu wa mapenzi hakuna mwalimu kila mtu ni mwanafunzi na ni chuo ambacho hakuna kumaliza!

Niliwahi kukaa na mzee miaka 75 katika story nilishangaa nae hamuamini mke wake anahisi anachepuka laaaaah!!!!!

Miaka zaidi ya 60 achepuke???? Anatafuta nini nje maana kama kucheza michezo yote kaimaliza. Lakini baada ya kujua huu mchezo hauna mwalimu haishangazi

Ushauri kwa vijana ambao bado hamjaingia hiki chama punguzeni papara katika kumtafuta mke.

Mpaka kumpata anayekuja kukusimulia nani kamsemesha sio rahisi na hii haimaanishi mpaka uwe fundi sana kunako game. Hata umko.....ze bado atatoka tu nje.

Kuna ndugu yangu mpaka alikuwa akilamba K. Anapigwa na fangasi za mdomoni BADO ALIACHWA.

CHEZEA MAPENZI WEWE!!!!!!!

SULUHISHO LA YOTE NI KUMPATA BIKRA TU
UANZE KULIMA SHAMBA MWENYEWE
Siku akiacha kukueleza kuwa katongozwa, ujuwe kagawa mzigo
 
Huyo mke wako mwenyewe Ni wa kizazi hiki,kwa hiyo naye Ni mgawaji tu Kama wagawaji wengine,sema kakuzidi kete,anakufunga kamba unaamini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kujitunza tu mpaka ndoa na bikra ni ushindi maana mwenzie ulishagawa kabla ya ndoa na unashangilia ugawaji mpo sawa kweli? Ushazidiwa

Ukiwa mgawaji umeshindwa kuhimili tamaa zako mwenyewe
Unatoka na kila mwanaume ili iweje?
Upate nini?
Tumia japo sekunde kujifikiria sio kujibu ovyo!!

Hicho ni kizazi cha mke wa Rutu mpenda starehe
 
Kujitunza tu mpaka ndoa na bikra ni ushindi maana mwenzie ulishagawa kabla ya ndoa na unashangilia ugawaji mpo sawa kweli? Ushazidiwa

Ukiwa mgawaji umeshindwa kuhimili tamaa zako mwenyewe
Unatoka na kila mwanaume ili iweje?
Upate nini?
Tumia japo sekunde kujifikiria sio kujibu ovyo!!

Hicho ni kizazi cha mke wa Rutu mpenda starehe
Kwa hiyo mkeo yupo kizazi kipi Cha Nani kisichopenda starehe?Cha Eva?au Cha Sarah?tumia akili mkeo pia Ni kizazi Cha Ruthu Hana tofauti na sie unaetutukana humu.....tatizo kakupa limbwata unabaki unahaha Sasa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kukwambia ukweli kumekuuma maana mdangaji utatoa ushauri gani na usikilizwe? Ushauri wako unaona kudanga ni sawa mpaka kizazi chako kinaendeleza huo mfumo
Wa udangaji
Ubadilike na ujikubali mwili wako una heshima sio kila mtu akuvue pichu

Wapo wanawake ambao inabidi waje wawafunze mnahitaji somo kabisa wallah!!!
Kimeniuma nini hapo Sasa?hivi Kuna jipya lipo hapa chini ya jua?walidanga kina Rahabu sembuse mie....hakuna jipya Kaka,hao wanawake wakuja kutufunza sie unaenda kuwatoa sayari gani kwanza hebu tuanzie hapo kwanza....Kama Ni wa sayari dunia ndio haohao kopo na mfuniko....jitambue wewe
 
Kukwambia ukweli kumekuuma maana mdangaji utatoa ushauri gani na usikilizwe? Ushauri wako unaona kudanga ni sawa mpaka kizazi chako kinaendeleza huo mfumo
Wa udangaji
Ubadilike na ujikubali mwili wako una heshima sio kila mtu akuvue pichu

Wapo wanawake ambao inabidi waje wawafunze mnahitaji somo kabisa wallah!!!
Wanaume mwenzio wote wanakuona bwege unamalizia hasira kwangu pambana na za uso huko na vidume wenzio.
 
Kwa hiyo mkeo yupo kizazi kipi Cha Nani kisichopenda starehe?Cha Eva?au Cha Sarah?tumia akili mkeo pia Ni kizazi Cha Ruthu Hana tofauti na sie unaetutukana humu.....tatizo kakupa limbwata unabaki unahaha Sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijakutukana bali umejitukana mwenyewe maana kama mwanamke unawakilisha wadangaji
Njoo ujifunze kwa mke wangu utaheshimu mwili wako huo
 
Kwa hiyo mkeo yupo kizazi kipi Cha Nani kisichopenda starehe?Cha Eva?au Cha Sarah?tumia akili mkeo pia Ni kizazi Cha Ruthu Hana tofauti na sie unaetutukana humu.....tatizo kakupa limbwata unabaki unahaha Sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Limbwata litoke wapi? Sio kila mtu limbwata linatiki hahaha
Kumbe unapenda libwata itakuwa mumeo umfanya bushoke wewe
Maana ningekuwa mimi Huna bikra sikuoi kwa kweli

Na nahisi wewe ndio wale wale wameolewa na mtoto
 
Siku akipitishiwa ukuni ...sin uhakika km atakuhadithia ........[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sijakutukana bali umejitukana mwenyewe maana kama mwanamke unawakilisha wadangaji
Njoo ujifunze kwa mke wangu utaheshimu mwili wako huo
Huyo mkeo anayetongozwa tongozwa atanifundisha nini Mimi?yupo looseloose tu bure kabisa....hajieshimu ndio maana kila siku anatongozwatongozwa tu
 
Limbwata litoke wapi? Sio kila mtu limbwata linatiki hahaha
Kumbe unapenda libwata itakuwa mumeo umfanya bushoke wewe
Maana ningekuwa mimi Huna bikra sikuoi kwa kweli

Na nahisi wewe ndio wale wale wameolewa na mtoto
We jamaa bure kabisaaa yaani unajihisi uko sawa kabisa?Kama umegoma hujapewa limbwata Basi hauna ubongo wa kiume kabisa...... wanaume wenzio ,mwanamke huwezi hata kuthubutu kumsimulia eti nimetongozwa maana utatakiwa ueleze mlianza vipi na huyo mtongozaji we umekaaa unachekeleaaa....No wonder upo hapa unanisuta eti..... Sasa ukitaka mwanaume timamu auziwe mbuzi kwenye kiroba sio?
 
Ungempa huu ushauri mkeo anaeshinda na wanaume tofauti akitongozwa ingependeza Sana.
Kwani kutongozwa wapi pameandikwa ni dhambi?
Kosa kukubali ni kuonyesha hujiheshimu

Wewe kwenye kuwakilisha wanawake umeshindwa maana mdangaji
 
We jamaa bure kabisaaa yaani unajihisi uko sawa kabisa?Kama umegoma hujapewa limbwata Basi hauna ubongo wa kiume kabisa...... wanaume wenzio ,mwanamke huwezi hata kuthubutu kumsimulia eti nimetongozwa maana utatakiwa ueleze mlianza vipi na huyo mtongozaji we umekaaa unachekeleaaa....No wonder upo hapa unanisuta eti..... Sasa ukitaka mwanaume timamu auziwe mbuzi kwenye kiroba sio?
Hivi kuna ubongo wa kiume na kike? Mwanamke katika ndoa ni rafiki namba moja au unataka tuishi kama kuku
Kusema chochote ana haki kabisa na mtashauriana inabidi upewe darasa wewe naona bado mtoto
 
Ushaiita mwenzio zuzu ili hali nawe zuzu utagawanaje chumba na mwanamke kisa kushindwa kusolve matatizo? Be a man simama mwenyewe kwa kila kitu

Mke sio chombo mfanye rafiki yako atakusimulia hata ya saloon alipoenda kusuka
Wewe dhahiri una element za uzuzu kukuita hivi sijakuonea maana nikikusoma katikati ya mistari yako unaonekana ulivyo mweupe!

Unataka u-solve tatizo la mkeo kutongozwa nje ya kumwambia physical aache kukwambia hizo habari za kipumbavu?utafanyaje....tuseme utaenda wewe utongozwe ili umpunguzie mkeo shida yake ya kutongozwa?nimekushauri kiume wewe unaleta habari za kusimuliana na mkeo habari za salon!

Jitambue.
 
Wewe dhahiri una element za uzuzu kukuita hivi sijakuonea maana nikikusoma katikati ya mistari yako unaonekana ulivyo mweupe!

Unataka u-solve tatizo la mkeo kutongozwa nje ya kumwambia physical aache kukwambia hizo habari za kipumbavu?utafanyaje....tuseme utaenda wewe utongozwe ili umpunguzie mkeo shida yake ya kutongozwa?nimekushauri kiume wewe unaleta habari za kusimuliana na mkeo habari za salon!

Jitambue.
Kumbe una matatizo rafiki yangu mke ni rafiki yako wa kwanza hujui hilo

Hata story zozote yupo huru kwako kuliko mtu yeyote
Anza urafiki nae utaona haya na mengi zaidi
 
Huyo mkeo anayetongozwa tongozwa atanifundisha nini Mimi?yupo looseloose tu bure kabisa....hajieshimu ndio maana kila siku anatongozwatongozwa tu
Mwanamke kutongozwa ni haki yake ANA MVUTO

Kukubali hapo ndio ujinga au kujirahisisha lakini mwanamke safari ya kilomita tatu wasipogeuza shingo kwake mhhhhh ana kasoro huyo

Au ndio wale wale dume jike ISIJE IKIWA NAWE DUME JIKE???????
 
Back
Top Bottom