Mke wangu anapenda kuwasiliana na Ex wake

Hapo nimekusoma mkubwa.ngoja nipashe kisawa sawa ili nikifika nimtishie hata kumgeuza eti eeeeee?
Chunguza vizuri watu wakisha guswa kwenye haja kubwa kuachana ni ngumu ata ungemwambia unamuua.
 
Safi sana aisee we jamaa unakili sijapata kuona hakuni revenge na hasa kama unacalculate ila kama hucalculate unampiga chuma unaenda mwenyewe polisi anaweeleza wakufanye watakacho wskitaka kukutafna kama nyama watujua wao.
 
Na ww wasiliana na huyo ex wake kama vipi
 
Atakuwaa anampenda x wake kuliko wewe mumewe hivi hujiulizi tu kwa nini x wake kuwa makini mkuu
 
hawa wadudu hawanaga fomula mkuu

unaweza kuwa unamkaza vizuri tu na bado akimuona men hb anakazwa naye

unaweza kuwa na hela na ukakaziwa na mwendesha mkokoteni

yaani kifupi,ni tabu tu

uombe tu umpate aliyestaarabika

Ni kweli mkuu, huwa hawajielewi wanataka nini. Ukiwa na anayejitambua inapendeza.
 
Mwenye tatizo ni wewe. Nani kakwambia uchunguze chunguze simu ya mkeo? Usingekuwa na kihere here cha kuigusa gusa wala usingefika hapa. Mwache arudi mme mwenzako akafaidi wewe urudi kupiga puli!
Huu unaotetea ni upumbavu wa kiwango cha lami,,, nenda kajifunze maana ya neno uaminifu katika uhusiano wa kimapenzi. You don't have to keep secrets at all...Why hide things while mmeweka agano la muunganiko pamoja mbele ya mashahidi. Kiukweli hii tabia wanayo wanawake wengi na inakera mno!
 
Duh wewe ni rofa namba moja afadhar hata wale marofa wa mkapa wana kaunafuu kidogo

Mimi demu wangu tu akipigiwa cm then nikajua kuwa hiyo cm ni ya mwana ume huwa namzaba makof na ndo inakuwa mwisho wa kujuana
Braza sasa si utaacha Yutong 3 kabla hujaoa?
 
Mwenye tatizo ni wewe. Nani kakwambia uchunguze chunguze simu ya mkeo? Usingekuwa na kihere here cha kuigusa gusa wala usingefika hapa. Mwache arudi mme mwenzako akafaidi wewe urudi kupiga puli!
Post ya kipumbavu sijawahi kuona...tofautisha demu na mke.
Hayo mambo ya limitations za kushikiana simu ni kwa mahusiano ya kawaida lakini sio ndoa.
 
Tumefunga ndoa sasa yeye na mimi ni mwili mmoja,chake changu,changu chake nitaachaje kuchunguza?
Fact...well your not alone mkuu mi pia napitiaga hio hali inakwaza na ndio kitu ilifanya ninyanyue mkono na kupiga mwanamke asiesikia kwa mara ya kwanza. Inakwaza mno ila cha msingi mpumzishe kwa muda arudi kwao labda akili itakaa sawa. Mwambie hupendi hio kitu na umechoka kumsemesha ye si mtoto hivyo kama anaona ni sawa kukupa jakamoyo then huhitaji hilo. Amfate huyo X ambae ni wa maana kuliko wewe.

Nna imani wewe ni mwanaume mpole mwenye huruma sana kama bila shaka but you got to stand firmly juu ya hili. Huyo mwanamke amekuzoea vibaya kiasi kwamba she has got comfortable
 
Hahahahahah hii kweli ni beats by dr.Quinn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…