Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chunguza vizuri watu wakisha guswa kwenye haja kubwa kuachana ni ngumu ata ungemwambia unamuua.Hapo nimekusoma mkubwa.ngoja nipashe kisawa sawa ili nikifika nimtishie hata kumgeuza eti eeeeee?
Chunguza vizuri watu wakisha guswa kwenye haja kubwa kuachana ni ngumu ata ungemwambia unamuua.Hapo nimekusoma mkubwa.ngoja nipashe kisawa sawa ili nikifika nimtishie hata kumgeuza eti eeeeee?
Safi sana aisee we jamaa unakili sijapata kuona hakuni revenge na hasa kama unacalculate ila kama hucalculate unampiga chuma unaenda mwenyewe polisi anaweeleza wakufanye watakacho wskitaka kukutafna kama nyama watujua wao.Huyo sio mke wako kimahaba, ni kama mpangaji nyumbani kwako, ukweli ni kwamba mzazi mwenzio unayemuita mkeo ana mahaba ya kweli na boyfriend wa siku zote! Achana nae au kaa nae just mlee watoto. "Hakuna revenge kwa mtu anayetembea na mkeo zaidi ya kumuacha aende nae".
Nadhani jamaaa ndiye aliyetanguliaKwani wewe na huyo jamaa nani alianza kufanya nae mapenzi? Kama ni yeye basi kuna kitu anapata kwake ambacho hapati kwako. Ukijua mpatie ataacha
Nitakuwa nimepewa limbwata?mkuu samahani umeanza kwa kusema mnyenyekevu lakn mpk hapo sijaona huo unyenyekev wake kabisa
Siyo mara nyingiWewe toka umuoe hujawahi hata siku moja kuwasiliana na ex wako hata siku moja mkuu?
Na ww wasiliana na huyo ex wake kama vipiHabari zenu Ndugu zangu,jamaa na marafiki zangu.
Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.
Ki ukweli tunaishi vizuri mno.ni mnyenyekevu,msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.
Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita Licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.
Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa
So sad jamani, kaa nae chini mueleze jinsi unavyoumia sababu ya Huyo ex wake
hawa wadudu hawanaga fomula mkuu
unaweza kuwa unamkaza vizuri tu na bado akimuona men hb anakazwa naye
unaweza kuwa na hela na ukakaziwa na mwendesha mkokoteni
yaani kifupi,ni tabu tu
uombe tu umpate aliyestaarabika
Huu unaotetea ni upumbavu wa kiwango cha lami,,, nenda kajifunze maana ya neno uaminifu katika uhusiano wa kimapenzi. You don't have to keep secrets at all...Why hide things while mmeweka agano la muunganiko pamoja mbele ya mashahidi. Kiukweli hii tabia wanayo wanawake wengi na inakera mno!Mwenye tatizo ni wewe. Nani kakwambia uchunguze chunguze simu ya mkeo? Usingekuwa na kihere here cha kuigusa gusa wala usingefika hapa. Mwache arudi mme mwenzako akafaidi wewe urudi kupiga puli!
Braza sasa si utaacha Yutong 3 kabla hujaoa?Duh wewe ni rofa namba moja afadhar hata wale marofa wa mkapa wana kaunafuu kidogo
Mimi demu wangu tu akipigiwa cm then nikajua kuwa hiyo cm ni ya mwana ume huwa namzaba makof na ndo inakuwa mwisho wa kujuana
Post ya kipumbavu sijawahi kuona...tofautisha demu na mke.Mwenye tatizo ni wewe. Nani kakwambia uchunguze chunguze simu ya mkeo? Usingekuwa na kihere here cha kuigusa gusa wala usingefika hapa. Mwache arudi mme mwenzako akafaidi wewe urudi kupiga puli!
Fact...well your not alone mkuu mi pia napitiaga hio hali inakwaza na ndio kitu ilifanya ninyanyue mkono na kupiga mwanamke asiesikia kwa mara ya kwanza. Inakwaza mno ila cha msingi mpumzishe kwa muda arudi kwao labda akili itakaa sawa. Mwambie hupendi hio kitu na umechoka kumsemesha ye si mtoto hivyo kama anaona ni sawa kukupa jakamoyo then huhitaji hilo. Amfate huyo X ambae ni wa maana kuliko wewe.Tumefunga ndoa sasa yeye na mimi ni mwili mmoja,chake changu,changu chake nitaachaje kuchunguza?
Hahahahahah hii kweli ni beats by dr.QuinnKama una uwezo iba namba ya uyo Ex wake....mtafute mchimbe bonge la biti muulize kama ashawahi kutolewa malinda...mjambishe aswaaaa then mfuate mkeo naye mjambishe mwambie huoni hasara kuua mtu...mwambie utampoteza kwenye uso wa dunia uyo ex wake kma bomu lilopiga hiroshima kuwa hutaacha ata vumbi la kuzika