Mke wangu anapenda kuwasiliana na Ex wake

Mke wangu anapenda kuwasiliana na Ex wake

Acha kufuatilia sana,, kila mtu ana past zake,, ukiona anazikumbuka sana jua viatu ulivyo vaa havikutoshi ukilinganisha na X wake,, jiangalie wapi ulipojikwaa kisha anza upya mwendo kwa kwenda mbele wala usimuache
 
Habari zenu Ndugu zangu,jamaa na marafiki zangu.

Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.
Ki ukweli tunaishi vizuri mno.ni mnyenyekevu,msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.
Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita Licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.
Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa
usimuulize tena Mkuuu....we mkaze vema tuu,
halafu jitahidi na wewe kuwasiliana na ex wako ila kwa wema tuu sio kukumbushia ila endelea kumkaza vizuri ataanza kuona wivu tuuu huyooo
cc:
sakayo evelyne salt snowhite khantwe
 
Mwenye tatizo ni wewe. Nani kakwambia uchunguze chunguze simu ya mkeo? Usingekuwa na kihere here cha kuigusa gusa wala usingefika hapa. Mwache arudi mme mwenzako akafaidi wewe urudi kupiga puli!
Ngoja ukuwe ndo utayajuwa kwa sasa endelea kula chakula cha foleni.Hili ndo tatizo la kuomba msaada mbele za watoto wadogo
 
Angalia kama humpelekei moto vizur ndio tatzo hasa..

Ila hawa viumbe hawaelewek, unaweza ukawa unamkaza vizur lakin akawa anamisi tabasamu, macho, hata foreplay ya mchiz, au kuna kiti kingine, au usikuye x wake alikuwa anamla kisamvu cha kopo, huwez jua, jaribu kumuwekea mazingira rafik awe muwazi kwako,

Ikishindikana muachr mkuu anaweza akakutia matatani bure. Usije mshindilia jambia.
 
Kuibiwa kupo maana hata sisi tunaiba wake za wengine swala ni kuona dalili zote miaka yote hiyo halafu hujafanya swala la kiume...ndo maana linaendelea. Mi kuna mmoja alikuwa akimpigia pigia simu wife nikainyaka namba kimyakimya nikamsaka nikampata hatasahau... na wife nikarudi nikamwambia tu endelea kutongozwa unachekacheka mpaka leo heshima..... hata kama akiendelea ila tu nisijue lolote
 
Kuna vitu vingi sna baadh ya wanaume mkioa mnaviacha,Mpka mtu anawasilian na ex wake ndani hakuko salama,kunavitu umemss alafu kwako unachukulia poa,Kwa mwenzio haviko poa labda humkuni akakunika,labda humkojoz anavyotaka,unampa zawadi,unatoka nae mitoko y maana,Huna gubu?wengine kitu kidog ataongea miez 6 anaon bora awasilian na ex wake acheke,Kuacha mke sio tiba jiulize sehem gan umepwaya
Kama hujaicopy mahali,,, you are truly a genius ma'am! !
 
Kama una uwezo iba namba ya uyo Ex wake....mtafute mchimbe bonge la biti muulize kama ashawahi kutolewa malinda...mjambishe aswaaaa then mfuate mkeo naye mjambishe mwambie huoni hasara kuua mtu...mwambie utampoteza kwenye uso wa dunia uyo ex wake kma bomu lilopiga hiroshima kuwa hutaacha ata vumbi la kuzika
Hahahaha yaaani kama ndo mimi unanichimba biti kama hilo nitacheka sanaaa alafu nitaendelea kuwasiliana na mkeo
 
Back
Top Bottom