Mke wangu anapenda kuwasiliana na Ex wake

Mke wangu anapenda kuwasiliana na Ex wake

Mwenye tatizo ni wewe. Nani kakwambia uchunguze chunguze simu ya mkeo? Usingekuwa na kihere here cha kuigusa gusa wala usingefika hapa. Mwache arudi mme mwenzako akafaidi wewe urudi kupiga puli!
Umezingua hapa

Kwa hiyo polisi ndiyo wenye matatizo/ makosa kisa wanawakamata wezi/wahalifu na wasingewakamata wizi au uhalifu usingekuwepo . Kwako unaona ni bora tusihangaike kutafuta wahalifu ilihali tunajua wapo ila tujiaminishe hawapo kwa kutokuwatafuta.

Ndicho ulichokiandika hapo juu kwa lugha nyingine.


Kulaumu njia iliyobaini tatizo ni kujipa moyo tatizo halipo kisa tu haujaweka njia ya kulibaini tatizo ilihali unajua fika tatizo lipo.
 
MCHUNGUZE MARINDA mkuu,,, pengine kuna kitu ana kimiss wewe humfanyii,,,anza na marinda kwanza.. Uone unakosea wapi
 
Angalia sana hili suala la tigo wanawake wengi wameingia kwenye huo mchezo utakuta huyo anapewa tigo
 
Habari zenu Ndugu zangu,jamaa na marafiki zangu.

Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.
Ki ukweli tunaishi vizuri mno.ni mnyenyekevu,msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.
Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita Licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.
Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa
Sina nia ya kukuharibia ndoa yako lakini ukweli ni kwamba huyo mwanamke analiwa muda wote na huyo jamaa au na hao jamaa usikute hata baadhi ya watoto ni wake huyo jamaa. Hatari ya mahusiano hayo ipo siku huyo mwanamke atakuua ili awe huru na huyu jamaa kugundua kwako ni amri ya kuwa jiondoe kwenye mahusiano hayo haraka. Lakini kwa kuwa ni mke wako basi huna budi kutafuta ushahidi usiotia shaka kwamba anamahusiano nje ya ndoa. Ni rahisi usioneshe kinyongo chochote kisha mkamate ukimkamata ndipo umteme lakini kama upo tayari kuuwa endelea naye wala usitake kujua anafanya nini na simu yake. Ukiniambia jinsi unavyoishi naye naweza kukusaidia kumkamata. Mpumbavu sana huyo.
 
Yanii huyo Jamaa anamlaaaa hadi leoo..Kubali au kataaa..!! Na kamaa sio tigo sijuii.. Wee mwanamke ushaolewa Ex wa nin..!?? Babaa fukuzaa liendee kwa ex wakee
Mimi mke wangu alikuwa anfuata tigo kwa maex wake na huyo kuna kitu special anafuta inaweza ikawa huwa anamnyonya mbunye. Who knows
 
Umezingua hapa

Kwako unaona ni bora tusihangaike kutafuta wahalifu ilihali tunajua wapo ila tujiaminishe hawapo kwa kutokuwatafuta.
Sumu haionjwi kwa kulambwa. Kama bado unampenda mkeo usithubutu kumchimba chimba sana. Utakuta mambo ambayo huwezi kuyamudu. Kama ulioa mwanamke siyo bikra, jua kabisa she has a past. Jua kuna mwa/wanaume walishamtindua kabla yako. Sasa ya nini kujiumiza kwa kitu ambacho ni fact?
 
Dawa mtest na dole gumba 07%-#%%%ukiona kimya ujue ndio anacho fuata mwage udelele.mpaka ali ya hewa ibadirke
Nilijaribu siku moja kama nimekosea vile aliruka vibaya mnoo
 
kaka mengi yamesemwa ,mm naongezea kusema ivii,unaogopa nini juu ya watoto ,watoto mungu ndio mlezi wao,moyo ulio penda haukosi visababu vya kumtetea mtu hata afanye kosa adharani,uchunguzi ulio ufanya unatosha kumuacha mama watoto wako alie adaiwa na mtu alie muacha na kusto thamini ndoa ulio amua wewe kumuoa,bora angeli tembea inje ya ndoa mara moja basi ningethubutu kusema mkanye huenda kateleza ila kitendo cha kuwasiliana na x wake tuu hata kama kafariki hio ni dharau kubwaa,neno muache ni gumu kimaamuzi kwa aalie penda,ila kwa neno la rahisi ulioa mke wa mtu muachie mwenyewe mkuu alie wako wa kweli hawezi adaika,mwachie na hato juta kwa sababu huyo ndo anae mtaka kwako baht mbaya tuu
Naunga mkono hoja yako
 
Sina nia ya kukuharibia ndoa yako lakini ukweli ni kwamba huyo mwanamke analiwa muda wote na huyo jamaa au na hao jamaa usikute hata baadhi ya watoto ni wake huyo jamaa. Hatari ya mahusiano hayo ipo siku huyo mwanamke atakuua ili awe huru na huyu jamaa kugundua kwako ni amri ya kuwa jiondoe kwenye mahusiano hayo haraka. Lakini kwa kuwa ni mke wako basi huna budi kutafuta ushahidi usiotia shaka kwamba anamahusiano nje ya ndoa. Ni rahisi usioneshe kinyongo chochote kisha mkamate ukimkamata ndipo umteme lakini kama upo tayari kuuwa endelea naye wala usitake kujua anafanya nini na simu yake. Ukiniambia jinsi unavyoishi naye naweza kukusaidia kumkamata. Mpumbavu sana huyo.
Nafanyaje kumdaka?
 
Ni vigumu mwanamme aliyeanza tabia zenye dalili za kuchepuka kurudi kwenye ndoa na bado ikawa ya furaha.. Hapo upendo hakuna ni basi tu kwa kuwa hapo unampa malazi.
 
Nafanyaje kumdaka?
Simple siwezi andika hapa kwa sababu maalumu na ukitaka kumkamata acha kabisa kufuatilia simu yake mwembia kabisa aweke password ili awe huru zaidi kisha siku unamkamata kiulaini. Mpaka aibu.
 
Back
Top Bottom