Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Wanaume mnaonuna mnachekesha haswa
 
Ukitaka kumtesa ondoka hapo kapange sehemu tofauti na endelea kutimiza majukumu yako kama baba kwa watoto wako.vinginevyo utamtomba halafu ndo itakuwa imeisha hivyo

Unamtesa au unamwachia mwenzio [emoji1787][emoji1787]
 

Kosa kubwa sana kusamehe a cheating wife
 
Mkuu hiyo sio dawa La huyo mwanamke ulipangiwa na mungu...ila hawa satawang`ina waliojaa huku kusini...yan kama unatimiza majukumu hata ukilala nje ya nyumba sawa ye anajali bado yupo nyumban..
Hata Yesu aliyesema tusamehe kila kitu la kuchepuka alisema halina msamaha ni talaka tu. Mwanamke hapewi talaka isipokuwa kwa uasherati tu. Hata Yesu aliwasamehe waliomsulubu ila la mwanamke kuchepuka alisema talaka ruksa.
 
That why i love jf
 
Mkuuu umemaliza kazi
 
Mke kupeleka kipapa kwa jirani ni automatic red card, unless kuwe na vigezo kama umbali, yaani labda nipo uingereza kwa miaka mingi, au niwe jela yeye yupo uraiani, otherwise akipeleka kipapa nje ni red card tu.

Sasa uliamua kumpa torture(which is okay), haikutakiwa kuisha kirahisi namna hiyo, ulitakiwa kumuonyesha kuwa what she did was a deadly mistake that could lead into divorce or separation. Ilitakiwa kwanza achezee yellow card kwa mda mrefu sana, aende kwao kwa mda, usilale nae kitanda kimoja kwa mda mrefu sana, kifupi kusiwe na mawasiliano mazuri ndani, yaani ulitakiwa kukinukisha 200%.

Kwa hicho alichopata kwa siku sita, atarudia tu, tena na ex wake...watachapana tena!

Hatujui tu, mke kuchepuka kunaiharibu nyumba kwa asilimia kubwa sana, ni wanawake wachache wakachepuka na kuendesha majukumu yao kama kawaida, wengi wachepukaji wanahamisha K mpaka hisia kwa michepuko yao, tofauti na sisi wanaume.
 
Adhabu uliyompa ni kubwa mno na huenda ikamfanya asirudie hili kosa.
Umefanya vizuri kumsamehe, sasa badili yale yote uliyoorodhesha hapa.
 
Hakika ni hatar
 
Sasa hivi utaendelea kuchapiwa lakini kwa umakini zaidi, kwa kuwa hujaiondoa bado sababu iliyomfanya achepuke mara ya kwanza...
 
Biblia yenyewe imeruhusu kuachana kwa kosa kama hilo.. wewe unang'ania siku likikuta usije kuua mtoto wa watu

Maana hapa naona alie umia ni wewe.. sio yeye kwanza ulimpunguzia kazi

Kitendo cha kupata sonona sio kukuhurumia wewe.. ni kuona aibu atakayoipata mkiiachana wakati huu ambao umemfumania, kilichopo anasubiri maji yatulie akutafutie sababu yani [emoji23]
 
Yani unamsamehem Mwanamke Mzinzi-bure kabisa wewe.
Hata Mungu tu amekataza,wewe unaona sawa.
 
Eti Mke wangu nilijue amechepuka na Nina uhakika halafu nilale nae tena katika kitanda changu.,labda aniroge siku hiyo hiyo.
 
Nimependa hiyo point number 7 ya kufua nguo mara ya pili πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Chatu asamehewi, endelea na utaratibu wako.
 
Hakika unajuwa san mkuu nitakutafuta unisadie migogoro yangu ya ndoa uko vzr sna
 
Kesha haribu kwani kesha msamehe na mbususu kashapewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…