Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

Tulishaambiwa..
Mwanaume hutakiwi kupenda kupitiliza,
Usimuonee huruma mwanamke,
Uwe na uwezo wa kumuacha mwanamke akizingua hatakam unampenda,
Uwe na maamuzi magumu kwa ujumla tu,

Nb:
Hyo mechi mwanamke ndo kashinda japo kwasasa atajitia huruma mana kashajua unao uwezo wa kumhurumia ila akikutan tena na huyo ex wake kam n mjanja atamla vzur tu japo sio kwa hiz siku za karibun ila atakuja tu kumla
 
Huyo atakuua bro...WATCH OUT!
Mwanamke akianza kuchepuke basi ujue any time anaweza kukufanyizia akupoteza ili aendelee kuliwa kwa uhuru na huyo jamaa. Usichulie poa aisee, game bado halijaisha hapo ni HT.
 
Achana naye braza, hata Mungu anaruhusu kuachana ktk mazingira kama hayo...ya uzinzi! Mwanamke akifika hatua amevhepuka hiyo ni dharau kubwa mno, bora akupige konzi...!
 
Mateso ya hivi kumpa mwenza wako ndani ya ndoa ni hatari sana anaweza kujiua au akaua.

Baada ya msamaha huu, naamini utachukua hatua stahiki.
 
A man and a husband hagombani na mwanaume mwenzake.
Unaongeza tu nyumba ya pili basi.
Mke wa kwanza humuachi na huwa hatuachi first wife.
Hata aende mahakamani unakiri kuwa unampenda mkeo na hauko tayari kumuacha

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
You're one of a kind,
Words can't express the way am proud of you,
You are truly a man!!
Hahahah hawa ndio wale majentomen wadada munaowapendaga 😂😂😂 naona umetoa pongez kwa moyo mkunjufu
 
unagongewa mke unataka tukupe ushauri wa kudumisha NDOA GANI HAPO??? HAKUNA NDOA kuna mwanaume bwege anaishi na demu mjanjaa... Me nilijua tu uelekeo wako ni kujidai wew ni gentlemen kumbe hamna kitu humo ugongewee tu
 
Kwangu mm mkewangu kugongwa ni 0torelance mistake. Kosa moja tu la ugoni nampandisha cheo
 
Hahaaa kuna Wanawake wanaigiza wanakata roho sembuse persure, wewe knaonekana unaishi bushi sana
 
Weka tatzo lako mezani mlimalize kwa mazungumzo sio kununa.. unaponuna unajiua kimya kimya kwa kukaribisha ugonjwa wa moyo
 
Nlisha mwambia mwanamke unaye ishi naye akisha fikia hatua ya kupigwa pumbu ilihali unaishi naye huyo hafai tena ... ni Street red cad hakuna mjadala
 
Siku 6 tu ndiyo ukaona nyingi, kumbuka hata yeye anakutega, na nahisi ndoa Yako bado changa
 
Ivi nimesha thibitisha mwanamke wangu mshkaji Ana mnyandua tena bila kuambiwa alafu within 6 days tumesha ya maliza just easy like that ... sikia hakhna mtu anataka kukugombanisha na familia yako maana akifanya kweli hapo hakuna ushauri tena .... nikumpa red cad ...aka kae kwao hata mwezi akili ikimkaa sawa aje ajieleze upya
 
We nifala utachapiwa tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…