Mke wangu anatazama Cartoon kuliko Watoto wetu

Mke wangu anatazama Cartoon kuliko Watoto wetu

Watu hao wapo....especcially wale waliokulia katika maisha mazuri, kwa aina ya Wazazi wa kiafrika walihakikisha watoto hao hawana mazoea na watoto wengine wa mtaani...so company yao katika makuzi yao ni Cartoons na Movies hasa Series

Kama ni Animations ndio kabisaa hadi mimi kuna ninazopenda na naangalia na dogo

Sasa kama "The Good Dinosaur" utaiachaje? 😂

Btw, Cartoon inachangamsha ubongo kama vile kahawa/Coffee
 
Habari wana JF, poleni na majukumu ya hapa na Pale 🤝.

• Kuhusu hili suala, naona kama ni uraibu wa mke wangu kutazama katuni na watoto kila dakika. "[uende - urudi ni katuni kwenda mbele na michezo ya hapa na pale.] "
Mkewangu mm yeye na sinema zetu yaani toka asubuhi hadi usiku namwambia pata muda wa kuangalia taarifa ya habari kidogo wapi hanielewi. Kidogo kipindi hiki cha Ramadhani ndio a natazama mawaidha tena kuanzia saa Sita usiku anatazama kilekipindi cha busati LA msikiti wa kwa mtoro
 
Watu hao wapo....especcially wale waliokulia katika maisha mazuri, kwa aina ya Wazazi wa kiafrika walihakikisha watoto hao hawana mazoea na watoto wengine wa mtaani...so company yao katika makuzi yao ni Cartoons na Movies hasa Series

Kama ni Animations ndio kabisaa hadi mimi kuna ninazopenda na naangalia na dogo

Sasa kama "The Good Dinosaur" utaiachaje? 😂

Btw, Cartoon inachangamsha ubongo kama vile kahawa/Coffee
Bora kahawa mkuu, ila hawa akina mnyumbuliko, walisha nishinda kuwaangalia kabisa 😀😀,
 
Malezi aliyolelewa .

Na wengi wao ni wale kutoka familia za kishua.
Nimeliona hilo, watoto wa kishua, wamelelewa kiupweke sana.. Tofauti na sisi kuku wa kienyeji, ukitika asubuhi kuludi saa mbili usiku. Then ulelewe na wazee kama hawa


Screenshot_20240328-191222.png
 
Mkewangu mm yeye na sinema zetu yaani toka asubuhi hadi usiku namwambia pata muda wa kuangalia taarifa ya habari kidogo wapi hanielewi. Kidogo kipindi hiki cha Ramadhani ndio a natazama mawaidha tena kuanzia saa Sita usiku anatazama kilekipindi cha busati LA msikiti wa kwa mtoro
Miaka ya nyuma sana kuna wasela fulani walikuwa wanakaa pamoja sehemu fulani US.

Basi jamaa muda wote wanaangalia basketball NBA.

Siku moja nikawauliza, hivi nyie hamtaki hata kuangalia habari mjue nchi inavyokwenda?

Wakajibu kwamba, kama kuna habari ya umuhimu sana TV zitakatisha kuonesha michezo tutapata newsflash.

Ikabidi nikubali tu kuwa kuna watu tuna maisha tofauti sana.
 
Asilimia kubwa humu nimeona wanaume kwa wanawake wanapenda sana cartoon, haya masuala ya cartoon nilidhani kwa ajili watoto wadogo.
Kweli ila ubongo na utulivu havihusiani kabisa na kwamba nikwaajili ya watoto siyo kweli
 
Kweli ila ubongo na utulivu havihusiani kabisa na kwamba nikwaajili ya watoto siyo kweli
Ok mkuu, Kwa hiyo hata mtu mkubwa akiangalia cartoon, anaweza tuliza ubongo wake kwa mda kadhaa.
 
Miaka ya nyuma sana kuna wasela fulani walikuwa wanakaa pamoja sehemu fulani US.

Basi jamaa muda wote wanaangalia basketball NBA.

Siku moja nikawauliza, hivi nyie hamtaki hata kuangalia habari mjue nchi inavyokwenda?

Wakajibu kwamba, kama kuna habari ya umuhimu sana TV zitakatisha kuonesha michezo tutapata newsflash.

Ikabidi nikubali tu kuwa kuna watu tuna maisha tofauti sana.
Walikuwa sahihi, ika flashnews si mpaka iwe Habari kubwa kabisa za kitaifa, Kwamba wenyewe Walikuwa hawataki hizi Habari ndogo ndogo 🤔🤔..
 
Walikuwa sahihi, ika flashnews si mpaka iwe Habari kubwa kabisa za kitaifa, Kwamba wenyewe Walikuwa hawataki hizi Habari ndogo ndogo 🤔🤔..

Walisema ikitokea habari kubwa kama 9/11 hata mchezo utasimamishwa. Hapo ilikuwa mara baada ya 9/11.

Mimi nilikubali tu kwamba kila mtu anapendelea mambo yake, kama mimi ninavyopenda habari wao ndivyo walivyopenda NBA.

Tofauti zetu mara nyingine ndizo zinafanya maisha yawe interesting.
 
Walisema ikitokea habari kubwa kama 9/11 hata mchezo utasimamishwa. Hapo ilikuwa mara baada ya 9/11.

Mimi nilikubali tu kwamba kila mtu anapendelea mambo yake, kama mimi ninavyopenda habari wao ndivyo walivyopenda NBA.

Tofauti zetu mara nyingine ndizo zinafanya maisha yawe interesting.
Kabisa mkuu, Kila mtu alivyozaliwa na kipaumbele chake, huwezi kumlazimisha aende upande wapili bila ridhaa yake....
 
Ninavyompenda sponsebob na mwenzeke patriki tumbo wazi huniambii kitu hata iweje ukifika muda wa hizo katun lazima niwe nyumbani kwenye channel ya niclod....now nina 35 fumba macho tuombe ee mungu baba wambingon namleta kijana huyu, huyu mke hamfai huyo ni ridhiki yangu kabisa naomba baba katkt jina la yesu waachane ili nimuoe mimi tunaendana kabis huyu kapora mke wa mtu ameeen
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Okay mfano ukapewa nafasi ya kuedit akili yake, ungependa badala ya kuwaza katuni awe anawaza kitu gani? Wanaume, biashara, au umbea?

Naona huyo ameamua kucontrol akili yake kwa kuijaza na katuni, wewe unataka abadilike. Ukitaka kumpatia huyo sasa anza na wewe kupenda katuni ili wote muwe vikatuni na vitoto vyenu.
 
Okay mfano ukapewa nafasi ya kuedit akili yake, ungependa badala ya kuwaza katuni awe anawaza kitu gani? Wanaume, biashara, au umbea?
Biashara, ili kadi za benki ziendelee kujaa

Naona huyo ameamua kucontrol akili yake kwa kuijaza na katuni, wewe unataka abadilike. Ukitaka kumpatia huyo sasa anza na wewe kupenda katuni ili wote muwe vikatuni na vitoto vyenu.

Sema Nina akili ya kizamani sana, inayoamini kuwa :-
1. cartoon ni kwa ajili ya watoto wadogo,
2. Mwanamue ndo final say katika jambo fulani, hivyo ni ngumu sana kufuata nyayo zake...
 
Back
Top Bottom