Mke wangu anatazama Cartoon kuliko Watoto wetu

Dah jambo dogo tu kama hilo ndio la kulilalamikia humu JF,ama kweli JF ya sasa is devoid of great thinkers.
 
Dah jambo dogo tu kama hilo ndio la kulilalamikia humu JF,ama kweli JF ya sasa is devoid of great thinkers.
β€’ Great thinker umekula ban tena 😬😬,

β€’ Mods watakufungulia lini tena πŸ€’πŸ€’.
 
La katuni linavumilika mkuu. Wala halina shida au unataka apende udangaji?
😬😬, atakwa miguu mkuu, udangaji ni Balaa sana.. Hasa kwenye ndoa.
 
Bora aangalie katuni kuliko kushinda tiktok na Instagram halafu analipia na app ya mange kimambi.
Nakushauri uwe unamtafutia zile movie za animation mpya kila zinapotoka unamjazia katika external.
 
Ubaya wa katuni ni nini? Angalau wako anajituliza na katuni, na kuwa karibu na watoto, unajua wanayopitia wengine?
 
Mkuu usisumbuke naye hakika jua anayependa kuangalia katuni (animation) jua anapenda picha za uchi kwa sababu wachora katuni huwa wanaanza kuchora sehemu za siri harafu wanaundaunda na kitengeneza kitu
Hii ni roho ya kingonongono hakika
 
Dah ndio nimemaliza kifungo leo tar 30.04.2024 jamaa, mods si watu wazuri
😬😬😬 Pole mkuu, mods Ni wabaya sana. Hivi huwa Ni mwenzi mzima πŸ™πŸ™
 
Bora aangalie katuni kuliko kushinda tiktok na Instagram halafu analipia na app ya mange kimambi.
Nakushauri uwe unamtafutia zile movie za animation mpya kila zinapotoka unamjazia katika external.
Ni kweli mtu, siunajua Tena sisi wazee tuliokulia Bush tunakasumba nyingi. Mtu mzima akiangalia katuni tunaona Kama ana utoto umemjaa huyo mtu.
 
Hata mimi napenda kucheza na wanangu sana, katuni nawawekea mimi nakaa nao tunaangalia, wananisimulia, hiyo imefanya nisipokuwepo wanamsumbua mama yao anipigie simu, mwanangu mkubwa huwa mpaka anaumwa, nikiwa nimesafiri.... kukaa karibu na watoto kunatengeneza bond nzuri
 
Ubaya wa katuni ni nini? Angalau wako anajituliza na katuni, na kuwa karibu na watoto, unajua wanayopitia wengine?
Nimeliona Hilo mkuu, nimepewa shule ya kutosha humu...
 
Mkuu usisumbuke naye hakika jua anayependa kuangalia katuni (animation) jua anapenda picha za uchi kwa sababu wachora katuni huwa wanaanza kuchora sehemu za siri harafu wanaundaunda na kitengeneza kitu
Hii ni roho ya kingonongono hakika
Duhhh, kwa hiyo inawezekana Ni mfuasi mzuri wa pornhub.??πŸ™πŸ™πŸ™.
 
Hilo Ni zuri sana mkuu, kukaa na watoto kwa pamoja inawajengea kujiamini kwenye jamii , hata kuwa na uwezo wa kuchangia hoja katika halaiki Fulani.
 
Muongezee na ma cd na ma flash na mabando na mchanel angalie. Hizo zina madhara gani kiafya mkuu?
Na amnunulie mitoy ya katuni ...mito yote iwe ni mitoy ya katuni kila kona matoy kama 20 hivi ...hadi ring tone ya simu yako mwekee nyimbo za katuni....tafuta na XXX za katuni muwe mnaangalia pamoja 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…