Mke wangu anavaa mavazi yasiyomsitiri tukiwa chumbani

Mke wangu anavaa mavazi yasiyomsitiri tukiwa chumbani

Ukisikia watu walio na akili zilizoka kihasara hasara ndo wa hivi
 
Habari wana MMU. Mke wangu anavaa mavazi yasiyomsitiri tukiwa chumbani. Nimesema sana naona haelewi, miezi sita kwenye ndoa lakini mambo mengi ambayo nilikuwa siyataki ameyaacha, swala la mavazi ndio limekuwa tatizo, tukiwa chumbani anavaa uchi uchi mapaja yote njenje, Nimeshamuonya kuwa haya mavazi ni kinyume na maadili ya mwafrika lakini hasikii, Akitoka chumbani anavaa khanga ila akirudi anaivua kwa kuitupa chini makusudi.
Nitumie njia gani ili abadilike? Au niwaite wazee wake tukae kikao?
Naanza kujuta kuoa wa 2002
We Si ulijutambulisha kama mshiriki wa mapenzi ya jinsia moja!? Umeoa lini tena?
 
FB_IMG_1724216195226.jpg
 
Habari wana MMU. Mke wangu anavaa mavazi yasiyomsitiri tukiwa chumbani. Nimesema sana naona haelewi, miezi sita kwenye ndoa lakini mambo mengi ambayo nilikuwa siyataki ameyaacha, swala la mavazi ndio limekuwa tatizo, tukiwa chumbani anavaa uchi uchi mapaja yote njenje, Nimeshamuonya kuwa haya mavazi ni kinyume na maadili ya mwafrika lakini hasikii, Akitoka chumbani anavaa khanga ila akirudi anaivua kwa kuitupa chini makusudi.
Nitumie njia gani ili abadilike? Au niwaite wazee wake tukae kikao?
Naanza kujuta kuoa wa 2002
Kuna jambo roho wa bwana anasema na mmi kuhusu mke wako usipoteze muda nipatie namba zake hutojuta
 
Weka namba tumshauri namna ya kujisitiri
 
Tubadilishane mkuu, huyu Fatuma wangu yeye anavaa suti hadi akiwa chumbani, wakati kila siku namuomba afunge tu khanga nyepesi na ifunike tak0 hata isimalize...😋
 
Changamoto ya afya ya akili imekuwa ikiongezeka kwa kasi!
 
Habari wana MMU. Mke wangu anavaa mavazi yasiyomsitiri tukiwa chumbani. Nimesema sana naona haelewi, miezi sita kwenye ndoa lakini mambo mengi ambayo nilikuwa siyataki ameyaacha, swala la mavazi ndio limekuwa tatizo, tukiwa chumbani anavaa uchi uchi mapaja yote njenje, Nimeshamuonya kuwa haya mavazi ni kinyume na maadili ya mwafrika lakini hasikii, Akitoka chumbani anavaa khanga ila akirudi anaivua kwa kuitupa chini makusudi.
Nitumie njia gani ili abadilike? Au niwaite wazee wake tukae kikao?
Naanza kujuta kuoa wa 2002
Pole sana Mkuu,

Hapo cha kufanya ni kutuma Wazee watu wazima kama Wanne hivi waende wakaeleze hili jambo kwa Wazazi wake kabla hayajawa makubwa zaidi

Ukiona amerudia ni kumshitaki kwenye vyombo vya Dini

Aache huu upumbavu, haoni anajidhalilisha?
 
Habari wana MMU. Mke wangu anavaa mavazi yasiyomsitiri tukiwa chumbani. Nimesema sana naona haelewi, miezi sita kwenye ndoa lakini mambo mengi ambayo nilikuwa siyataki ameyaacha, swala la mavazi ndio limekuwa tatizo, tukiwa chumbani anavaa uchi uchi mapaja yote njenje, Nimeshamuonya kuwa haya mavazi ni kinyume na maadili ya mwafrika lakini hasikii, Akitoka chumbani anavaa khanga ila akirudi anaivua kwa kuitupa chini makusudi.
Nitumie njia gani ili abadilike? Au niwaite wazee wake tukae kikao?
Naanza kujuta kuoa wa 2002
We boya kweli..wakiitwa wanaume na wewe unajitokeza?!
 
Back
Top Bottom