Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Acha wogaBro unachapiwa
Hapa kwenye "You just act seriously and accordingly" pana mashaka makubwa sana jamaa itakuwa kaifuta papuchi vumbi kisawasawa.
Bagwell
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wogaBro unachapiwa
Hapa kwenye "You just act seriously and accordingly" pana mashaka makubwa sana jamaa itakuwa kaifuta papuchi vumbi kisawasawa.
Bagwell
Jibu lako si zuri...Wanawake wana huruma sana, hadi wewe una mke..!! [emoji15][emoji15]
Mbona wewe hujamtafuta...si umeblokiwa wewe? Pambana na hali yako[emoji23][emoji23][emoji23]Mtafute Shilole Ni Ambassador Wa Rasi Simba Atakutatulia Matatizo Yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafsiri yake:Nakuelewa..bado sijalala, however on a serious note that has been my stand of which shall sustain...hakuna tatizo you just act seriously and accordingly
Huo ni miongoni mwa ujumbe wa mke wangu, sijui kwanini umenikosesha amani. Naombeni mnisaidie kutafsiri
We jamaa boya sana 🤣Wanawake wana huruma sana, hadi wewe una mke..!! [emoji15][emoji15]
BoyestWe jamaa boya sana 🤣
Mbona wewe hujamtafuta...si umeblokiwa wewe? Pambana na hali yako[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtafute Shilole Ni Ambassador Wa Rasi Simba Atakutatulia Matatizo Yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro unachapiwa
Hapa kwenye "You just act seriously and accordingly" pana mashaka makubwa sana jamaa itakuwa kaifuta papuchi vumbi kisawasawa.
Bagwell
Mapenzi kigeugeuYote yawezakana, kazi, mapenzi au yote mawili kwa mpigo. Kwani meseji iliyojibiwa na hiyo ya babe wako inasemaje mbona ujaiweka. Kama kaifuta basi tena huyo mkeo bahati mbaya.
Kweli kabisaa jamaa inaonekana yameanza kumgeukia... Kigeugeu amemgeukia!!Mapenzi kigeugeu
Wanawake wana huruma sana, hadi wewe una mke..!! [emoji15][emoji15]
Evil Spirit.Anasema hivi,wewe humridhishi kitandani ukimpiga kimoja tu unaugua na kuugua kumla tena mpaka mwezi ujao,hiyo ndio tafsiri