Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa ni teja la jf saivi 8:21 usiku mnene upo JF au unaandika kutokea kwenye nyumba ya mtu ulieenda kumuwangiaEvil Spirit.
Umeona ehh
Hii ndo waswahili wamesema kuchamba kwingi......ukipata nini kwenye simu yake ndo maana invites simu ya kuganda I kila MTU Ana yakeKwa hii msg moja tu? Ndio inakukimbiza kuomba Ushauri?
Fanya usome zote kwanza utaelewa....ndio uje na maswali.
MkuuI
Tafsiri yake:
Nakuelewa bado sijalala,ingawa katika maelezo (yangu) muhimu ambayo ndio msimamo wangu endelevu, hakuna tatizo, fanya tu kwa umakini na inavyotakiwa.
Imekaa kikazi zaidi kuliko mapenzi
Nyani haoni kundule. Kama mimi teja basi wewe mpumbavu au kichaa kabisa. Kama ungekuwa na akili timamu ilibidi ujue kwamba hata wewe umeandika meseji yako hii mida ya wanga basi hata wewe pia mwanga au teja. Kweli wewe evil.We jamaa ni teja la jf saivi 8:21 usiku mnene upo JF au unaandika kutokea kwenye nyumba ya mtu ulieenda kumuwangia
Haha hah haaaa no play no game...... So many ways.... Warren G, Regulate albumMke msomi!
Ha ha haa, anavamia vamia wanawake ambao sio level zakeWanawake wana huruma sana, hadi wewe una mke..!! [emoji15][emoji15]
Hii ipo katikati ya mada yaani maana yake Kuna mambo yao yalishaongelewa kabla ya hapo Sasa hayo maneno yametumika kutia msisitizo tu wa mambo ya nyuma.Nakuelewa..bado sijalala, however on a serious note that has been my stand of which shall sustain...hakuna tatizo you just act seriously and accordingly
The Joint by EPMDHiyo msg haina maana yoyote mbaya. Wala haina uhusiano na mapenzi..kuwa na amani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Mimi hapo pamenitia mashaka.Daah nacheka [emoji81][emoji81][emoji81] lakin on a serious note,you're facing an ugly truth that your woman is selling your empire kwa bei ya mnada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi, Kama ni Mtumishi wa Umma, ujue hiyo sms ni kuliwa kabisa! Unajua kwa nn?Nakuelewa..bado sijalala, however on a serious note that has been my stand of which shall sustain...hakuna tatizo you just act seriously and accordingly
Huo ni miongoni mwa ujumbe wa mke wangu, sijui kwanini umenikosesha amani. Naombeni mnisaidie kutafsiri
Kiongozi, Kama ni Mtumishi wa Umma, ujue hiyo sms ni kuliwa kabisa! Unajua kwa nn?Nakuelewa..bado sijalala, however on a serious note that has been my stand of which shall sustain...hakuna tatizo you just act seriously and accordingly
Huo ni miongoni mwa ujumbe wa mke wangu, sijui kwanini umenikosesha amani. Naombeni mnisaidie kutafsiri
Kiongozi, Kama ni Mtumishi wa Umma, ujue hiyo sms ni kuliwa kabisa! Unajua kwa nn?Nakuelewa..bado sijalala, however on a serious note that has been my stand of which shall sustain...hakuna tatizo you just act seriously and accordingly
Huo ni miongoni mwa ujumbe wa mke wangu, sijui kwanini umenikosesha amani. Naombeni mnisaidie kutafsiri