Mke wangu anawasiliana kwa Kiingereza, halafu anasema Ni simu za kazini. Naombeni mnitafsirie

Mke wangu anawasiliana kwa Kiingereza, halafu anasema Ni simu za kazini. Naombeni mnitafsirie

Nakuelewa..bado sijalala, however on a serious note that has been my stand of which shall sustain...hakuna tatizo you just act seriously and accordingly

Huo ni miongoni mwa ujumbe wa mke wangu, sijui kwanini umenikosesha amani. Naombeni mnisaidie kutafsiri
Na wewe una mke? Yaani mambo ya mke na mme unayaleta JF kweli? Wanawake wanapitia majaribu mengi sana hapa duniani kama na wewe umeoa!!
 
Wasi wasi ni akili. Mkanye mkeo masuala ya kazini ayamalizie huko huko kazini. Hayo ya kutumiana sms za jungu jungu ya kazini ayaache alee familia.
 
anza kukusanya magunia ya mkaa, kibiriti anacho anakichezea,,,,,
 
Brother ulimpenda huku ukijua anakuzidi kiwango Cha elimu/kazi,unatakiwa kuvumilia kwa yote.kuitwa mwanaume sio mchezo unapaswa kuwa na kifua kweli kweli.
Ulipenda mtelezo Sasa unaumia umia kitu gani???
 
Nakuelewa..bado sijalala, however on a serious note that has been my stand of which shall sustain...hakuna tatizo you just act seriously and accordingly

Huo ni miongoni mwa ujumbe wa mke wangu, sijui kwanini umenikosesha amani. Naombeni mnisaidie kutafsiri
Love is politics
 
Nakuelewa..bado sijalala, however on a serious note that has been my stand of which shall sustain...hakuna tatizo you just act seriously and accordingly

Huo ni miongoni mwa ujumbe wa mke wangu, sijui kwanini umenikosesha amani. Naombeni mnisaidie kutafsiri
Mle tiGo
 
Nakuelewa..bado sijalala, however on a serious note that has been my stand of which shall sustain...hakuna tatizo you just act seriously and accordingly

Huo ni miongoni mwa ujumbe wa mke wangu, sijui kwanini umenikosesha amani. Naombeni mnisaidie kutafsiri
Yaani kesho tu unagongewa
 
Hapo kwa sisi waunganisha dot tunaweza sema mkeo keshaelekea kibra tayari.
 
Nakuelewa..bado sijalala, however on a serious note that has been my stand of which shall sustain...hakuna tatizo you just act seriously and accordingly
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]my ribs

Mke wako mjanja sana, tact anayotumia kudanga weka mbali na chekechea

Na humnasi ng'oo
 
Back
Top Bottom