Mke wangu anawasiliana kwa Kiingereza, halafu anasema Ni simu za kazini. Naombeni mnitafsirie

Mke wangu anawasiliana kwa Kiingereza, halafu anasema Ni simu za kazini. Naombeni mnitafsirie

Nakuelewa..bado sijalala, however on a serious note that has been my stand of which shall sustain...hakuna tatizo you just act seriously and accordingly

Huo ni miongoni mwa ujumbe wa mke wangu, sijui kwanini umenikosesha amani. Naombeni mnisaidie kutafsiri
Mkeo ana msambwanda?
 
Mliishia wapi na ndoa yenu kiukweli walikua wanachrpuka wote
 
Nakuelewa..bado sijalala, however on a serious note that has been my stand of which shall sustain...hakuna tatizo you just act seriously and accordingly

Huo ni miongoni mwa ujumbe wa mke wangu, sijui kwanini umenikosesha amani. Naombeni mnisaidie kutafsiri
Upo?
 
Ok hii ndio tafsiri yake: "Nakuelewa...Bado sijalala, hata hivyo kwa kusisitiza huo ndio msimamo wangu na hautabadilika...Hakuna tatizo, we kuwa siriazi na fanya kama inavyotakiwa"

Sasa mkuu hapo bado haitoi picha kamili kama ni ya mapenzi ama la, labda uongezee nyingine zaidi ili kuleta picha kamili

Sent using Jamii Forums mobile app
Ambacho hakielewi msimamo(nyuma yamsimamo wamkewe) ,mkewe kashamwambia jamaa bila million 3 hatui mzigo ,msimamo
 
Mnatuchosha bure wewe ulianzia wapi kuoa Mke anajua Kizungu wewe unajua kimakonde tu?

Ahaaaaaa ila umemichekesha kama nakuona ulivyokuwa ukikopy hiyo SMS kwa simu ya wife [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] nimechekaa sanaa
 
Suddenly when i started feeling that she was cheating on me, i left her.
 
Just act serious and accordingly,

Hapo ndy penye utata mkuu..

Jamaa itakuwa kapigwa kizinga na mkeo halafu anazungusha ,,
Sasa anaambiwa awe serious kama walivyopanga..

Ili aendelee kula pachu pachu.
 
Kwa shida sana, herufi moja moja kama anaweka sahihi kwa dole gumba
Ila nijibu kwa usahihi kabisa inakuwaje wewe hujasoma hata unaoa mke kasoma hivi inakuja kweli? Ingawa mapenzi hayachagui ila kuna kasoro lazima ije ilete shida
Huku kazini nilisikia kisa mwanaume mwenzenu alikuwa akilalamika kwa wenzake mke wake kumuita wakili wa kiume yaan wakili mwenzie ,," dear learned brother" na kamsev hivyo. Eti anasema sio kaka yake ana mashaka😊😊
 
Ila nijibu kwa usahihi kabisa inakuwaje wewe hujasoma hata unaoa mke kasoma hivi inakuja kweli? Ingawa mapenzi hayachagui ila kuna kasoro lazima ije ilete shida
Huku kazini nilisikia kisa mwanaume mwenzenu alikuwa akilalamika kwa wenzake mke wake kumuita wakili wa kiume yaan wakili mwenzie ,," dear learned brother" na kamsev hivyo. Eti anasema sio kaka yake ana mashaka😊😊
Wakati mwingine noti ikiwepo inakupa kiburi. Unaona utaweza kuidhibiti akili ya mwanamke msomi, kumbe uko mbali kabisa na uhalisia.
 
Wakati mwingine noti ikiwepo inakupa kiburi. Unaona utaweza kuidhibiti akili ya mwanamke msomi, kumbe uko mbali kabisa na uhalisia.
Mme ana pesa mke ana elimu, ki junior kinapeleka home work kwa baba....daaaad what is the meaning of thiiiis, i don't understand plzzz explain to me daadiiiii

Baba anajifanya yupo busy kuongea na wafanyakazi wake, anasema mpelekee mama yako.
Ki junior kinamfata mama jikoni mama yupo busy anapika ila wakati huo anachat na mchepuko. Anamjibu mpelekee Baba.
 
Nakuelewa..bado sijalala, however on a serious note that has been my stand of which shall sustain...hakuna tatizo you just act seriously and accordingly

Huo ni miongoni mwa ujumbe wa mke wangu, sijui kwanini umenikosesha amani. Naombeni mnisaidie kutafsiri

Nimecheka! Pole mwaya! Kwahiyo mwenyewe umechanganyikiwa balaaa huelewi anakusaliti au kweli ni kazi tu!!
 
Mme ana pesa mke ana elimu, ki junior kinapeleka home work kwa baba....daaaad what is the meaning of thiiiis, i don't understand plzzz explain to me daadiiiii

Baba anajifanya yupo busy kuongea na wafanyakazi wake, anasema mpelekee mama yako.
Ki junior kinamfata mama jikoni mama yupo busy anapika ila wakati huo anachat na mchepuko. Anamjibu mpelekee Baba.
Mambo magumu sana.
 
Nakuelewa..bado sijalala, however on a serious note that has been my stand of which shall sustain...hakuna tatizo you just act seriously and accordingly

Huo ni miongoni mwa ujumbe wa mke wangu, sijui kwanini umenikosesha amani. Naombeni mnisaidie kutafsiri
Pumbavu
 
Back
Top Bottom