Mke wangu anawasiliana na mwanaume waliyesoma naye chuo huu mwaka wa sita, kila nikimuuliza kulikoni anasema ni urafiki tu hakuna kingine

Mke wangu anawasiliana na mwanaume waliyesoma naye chuo huu mwaka wa sita, kila nikimuuliza kulikoni anasema ni urafiki tu hakuna kingine

Kifupi nina mashaka na urafiki wao japo sijathibitisha, mpaka sasa tuna ugomvi anasema mimi ni malaya ndio maana nafikiri kila mtu ana tabia za kihuni kama mimi na amesema bora tuachane kama siwezi kumuamini
Maandishi haya siyo mageni hapa mjini .......
 
Hkauna urafiki wa mwanamme na mwanamke. Kama ni mkeo wa ndoa, elewa kuwa anaigawa nje.

Kama siyo wa ndoa, huna haja ya kulalamika, wewe ulimpataje wengine washindwe?
 
Kifupi nina mashaka na urafiki wao japo sijathibitisha, mpaka sasa tuna ugomvi anasema mimi ni malaya ndio maana nafikiri kila mtu ana tabia za kihuni kama mimi na amesema bora tuachane kama siwezi kumuamini
kuna watu bado munaoa wanawake waliofika chuo kikukuu na sio bikira........................amenyonya mabolo sana huko kwenye mahosteli wee unakuja kuokoteza matambala
 
Back
Top Bottom