Upo ule wa kina Lokole na wanawake kama ndio unaaminisha huo.Acha kupotosha, urafiki upo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo ule wa kina Lokole na wanawake kama ndio unaaminisha huo.Acha kupotosha, urafiki upo sana.
Huyo ni kama yuko windoni anasubiri fursa tu.Sio kitu ambacho ni common ila ni kitu ambacho kinatokea mwanaume na mwanamke kuwa marafiki
Asali ni hii hii au asali code.....Hahaha..................njoo unisalimie Kijijini Babu yako, Mwezi Uliopita nimevuna debe 6 za asali
Kazi ya asali si unaijua Mjukuu 😜
Duh!Nimefukuza jana mimi naishi tunduma yeye ni Wa vwawa amesoma SAUT jamaa yake anaishi mlowo kwa mtu waSongwe anaelewa hayo maeneo
Hapana, huo huo unaoukataa.Upo ule wa kina Lokole na wanawake kama ndio unaaminisha huo.
Sasa urafiki wa mwanamme na mwanamke mnaongea nini? kitu gani kinawaunganishaHapana, huo huo unaoukataa.
Pole huenda hachepukiKifupi nina mashaka na urafiki wao japo sijathibitisha, mpaka sasa tuna ugomvi anasema mimi ni malaya ndio maana nafikiri kila mtu ana tabia za kihuni kama mimi na amesema bora tuachane kama siwezi kumuamini
Hahaha........ Mjukuu, ni asali hiyo hiyo inayotengenezwa na Nyuki 😜Asali ni hii hii au asali code.....
Ntakuja basi tuzikule hizo asali zetu
Hakuna urafiki wa Me na Ke, hakuna!Acha kupotosha, urafiki upo sana.
Kwani marafiki zako mnaongea nini na nini kinawaunganisha?Sasa urafiki wa mwanamme na mwanamke mnaongea nini? kitu gani kinawaunganisha
Babe acha fujo, upo bwana🤣Hakuna urafiki wa Me na Ke, hakuna!
Wanawake wengi hawalielewi hili, yaani ukuache mumeo afu mchepuko akuoe mara nyingi huishia kuchezewa tuEehh hapo huyo jamaa alikuwa mtu wake kipindi wapo chuo ,, huenda jamaa alichelewa kujipata kwenye maisha ,, hivi karibu pengine mambo yake huyo jamaa yamemnyokea ( labda kapata kazi nzuri ) hali iliyopelekea mkeo aingie tamaa na kuona kama ndoa yenu inambana ili asiwe na huyo jamaa ..
Lakin asichokijua sisi wanaume siyo wajinga ,, kama atavunja ndoa na kwenda kwa huyo jamaa badi aandike maumivu maana jamaa atamtumia tu kisha ataoa mwanamke mwingine kabisa wa ndoto zake
Kama sio bikra usioeKifupi nina mashaka na urafiki wao japo sijathibitisha, mpaka sasa tuna ugomvi anasema mimi ni malaya ndio maana nafikiri kila mtu ana tabia za kihuni kama mimi na amesema bora tuachane kama siwezi kumuamini
Hili swali?Kwani marafiki zako mnaongea nini na nini kinawaunganisha?
Sasa ni mke gani anayaweza kukubali mumewe kujichanganya na marafiki wa kike?Kwani marafiki zako mnaongea nini na nini kinawaunganisha?
Ndio.Hili swali?
Inategemea.Sasa ni mke gani anayaweza kukubali mumewe kujichanganya na marafiki wa kike?