Ukiulizwa kinachokufanya mpaka saiv bado unamuita huyo mwanamke mke wako ni kipi utawaambia nn watu,,,,,
Yamkini wavulana hawataisha kamwe!!!! yaani mtu mwaka wa sita unagongewa ila bado upo tu unajifyatua akili😄😄😄😄ww ndo wale mkifumania mnajiua😁😁😁😁
Ni kwanini unashindwa kusoma alama za nyakati huko chuo the so called mkeo alipigwa pipe heavy shoo shooo dadeki kitu hicho ndo kinamfanya haachi kuwasiliana na huyo mme wake wa kweli,,,,,alafu anakupa majibu yenye utata lakini bado ndo kwanza unakuka JF kuuliza mambo mepesi kabisa ambayo mtoto wa form 2 c ananyambua vizur na majibu anakupa.
Wewe endelea kukaza kichwa huyo mwanamke akiona hujiongezi, ataongeza vituko yeye🤗🤗🤗 tulia hivyo hivyo siku utakuta amekunjwa staili za wanachuo😄😄😄 kitu ambacho anamiss ndo akili itakukaa poor young man!!!
Na kama tangu atoke chuo mmepata mtoto, ww kapime DNA lasivyo ww ni baba mlezi( BOYA). Unashindwa akili na wanyama, mnyama mfano wa simba huwa halei mbegu ya dume jingine ni kifo tu,,,,,,adios amigos!!!!