Mke wangu anawasiliana na mwanaume waliyesoma naye chuo huu mwaka wa sita, kila nikimuuliza kulikoni anasema ni urafiki tu hakuna kingine

Mke wangu anawasiliana na mwanaume waliyesoma naye chuo huu mwaka wa sita, kila nikimuuliza kulikoni anasema ni urafiki tu hakuna kingine

Chief usipaniki inawezekana ikawa kweli wakawa marafiki wa kawaida tu! Ila unachopaswa kufanya ni kukaa kimya na kupotezea hyo ishu ili upate nafasi ya kufanya uchunguzi kimya kimya. Jinsi unavyozidi kumpigia mayowe ndio unavyozidi kujiweka mbali na ukweli.

We piga kimya mpaka akijisahau uwe unakagua simu yake bila yeye kujua.
NAKAZIA

we endelea na mambo yako,kama ni msaliti utamkamata tu,kama kweli unampenda mkeo hyo siyo inshu ya kuachana
 
Hivi humu hamna mwenyekiti wa chama cha wanaume? Awaite kando wanachama mfarijiane kidogo?

Hii wiki yote ni vilio kutoka kwa wanaume wanatishiwa kuachwa na wake zao 🤣🤣🤣🤣

Atoto Kapeace kama majirani hawana viongozi tuwasaidie kuwachagulia.

Napendekeza Mshana Jr na babu Grahams busara zao zitaokoa jahazi
Kuwa Mwanaume sio lelemala, lazima usimame kama Baba kweli wa familia

Unapomwambia Mke wako sitaki hiki, ajue umekataza na umemaanisha. Mwanaume lazima uheshimike Kwa kauli tu unayotoa.

Hakikisha Mkeo una muhudumia Kwa Kila kitu kuanzia mavazi, chakula, sehemu nzuri ya Kulala pamoja na pesa ya Matumizi yake binafsi ambayo hutakiwi kuuliza alivyoitumia.

Msisahau Jukumu la kumkaza, Kuna Wanaume wenzetu baada ya Kuoa hujikuta wanajifanya wanamhurumia Mke kumchapa nao. Anaishia kumchapa kigoli kimoja baada ya wiki mbili ama miezi.

Guys, Wanawake wakishazaa, hamu ya tendo huongezeka mara dufu hasa baada ya miaka 35

Sasa wewe mpige kimoja cha dakika 2 kama hatamkumbuka Ex wake wa Mwaka 47
 
Kifupi nina mashaka na urafiki wao japo sijathibitisha, mpaka sasa tuna ugomvi anasema mimi ni malaya ndio maana nafikiri kila mtu ana tabia za kihuni kama mimi na amesema bora tuachane kama siwezi kumuamini
ungetueleza yale wanayowasiliana tungeweza kukushauri
 
Nimefukuza jana mimi naishi tunduma yeye ni Wa vwawa amesoma SAUT jamaa yake anaishi mlowo kwa mtu wa Songwe anaelewa hayo maeneo
 
Kuwa Mwanaume sio lelemala, lazima usimame kama Baba kweli wa familia

Unapomwambia Mke wako sitaki hiki, ajue umekataza na umemaanisha. Mwanaume lazima uheshimike Kwa kauli tu unayotoa.

Hakikisha Mkeo una muhudumia Kwa Kila kitu kuanzia mavazi, chakula, sehemu nzuri ya Kulala pamoja na pesa ya Matumizi yake binafsi ambayo hutakiwi kuuliza alivyoitumia.

Msisahau Jukumu la kumkaza, Kuna Wanaume wenzetu baada ya Kuoa hujikuta wanajifanya wanamhurumia Mke kumchapa nao. Anaishia kumchapa kigoli kimoja baada ya wiki mbili ama miezi.

Guys, Wanawake wakishazaa, hamu ya tendo huongezeka mara dufu hasa baada ya miaka 35

Sasa wewe mpige kimoja cha dakika 2 kama hatamkumbuka Ex wake wa Mwaka 47
Babu si tuonane tu siku moja 😊
We sio wa kukupigia simu kabisa.

Simu nitapigia kina min -me
 
Hivi humu hamna mwenyekiti wa chama cha wanaume? Awaite kando wanachama mfarijiane kidogo?

Hii wiki yote ni vilio kutoka kwa wanaume wanatishiwa kuachwa na wake zao 🤣🤣🤣🤣

Atoto Kapeace kama majirani hawana viongozi tuwasaidie kuwachagulia.

Napendekeza Mshana Jr na babu Grahams busara zao zitaokoa jahazi
Kwakweli kuna umuhimu wa jando kurudishwa, vilio vimekuwa vingi sana. Kuna yule mwingine mke wake aliolewa basi tafrani.

Tungemuongezea na ERoni ila ni mpare🤣🤣🤣
 
Kauli hii Ni Redflag sana..

inatakiwa Uifikirie Mara Mbili Rafiki yake HalFu muda huo aje na Suluhisho hili...Kuna uwezekano amekuchoka Au Kuna haja humtimizii Hivyo amemkumbuka Huyo jamaa..

no offence but Chunguza Huyo anakuzunguka
Sana,mtu kukutamkia neno tuachane ujue huna umuhimu kwake
 
Kuwa Mwanaume sio lelemala, lazima usimame kama Baba kweli wa familia

Unapomwambia Mke wako sitaki hiki, ajue umekataza na umemaanisha. Mwanaume lazima uheshimike Kwa kauli tu unayotoa.

Hakikisha Mkeo una muhudumia Kwa Kila kitu kuanzia mavazi, chakula, sehemu nzuri ya Kulala pamoja na pesa ya Matumizi yake binafsi ambayo hutakiwi kuuliza alivyoitumia.

Msisahau Jukumu la kumkaza, Kuna Wanaume wenzetu baada ya Kuoa hujikuta wanajifanya wanamhurumia Mke kumchapa nao. Anaishia kumchapa kigoli kimoja baada ya wiki mbili ama miezi.

Guys, Wanawake wakishazaa, hamu ya tendo huongezeka mara dufu hasa baada ya miaka 35

Sasa wewe mpige kimoja cha dakika 2 kama hatamkumbuka Ex wake wa Mwaka 47
Upo good sana bro
 
Chief usipaniki inawezekana ikawa kweli wakawa marafiki wa kawaida tu! Ila unachopaswa kufanya ni kukaa kimya na kupotezea hyo ishu ili upate nafasi ya kufanya uchunguzi kimya kimya. Jinsi unavyozidi kumpigia mayowe ndio unavyozidi kujiweka mbali na ukweli.

We piga kimya mpaka akijisahau uwe unakagua simu yake bila yeye kujua.
Hakuna urafiki wa mwanamke na mwanamme, tusidanganyane humu. Huyo mume ndio angekuwa na rafiki mwanammke miaka 6 yeye angekubali?
 
Back
Top Bottom