Wachu macheke
Member
- Oct 8, 2024
- 68
- 120
- Thread starter
- #21
Tuna watoto wawili nina mashaka na mtoto wa kwanzaYes hayo maneno ya mwisho Zingatia sana "bora tuachane"! Achana nae uone kama kuna ukweli! Kama kaongea hivo aiseeh kakuchoka na ana mtu Anajipigia vizuri tu,kuwa makini na hao watoto mlio zaa nao huenda mmoja ni Wa jamaa. Piga chini