Mke wangu anawasiliana na mwanaume waliyesoma naye chuo huu mwaka wa sita, kila nikimuuliza kulikoni anasema ni urafiki tu hakuna kingine

Mke wangu anawasiliana na mwanaume waliyesoma naye chuo huu mwaka wa sita, kila nikimuuliza kulikoni anasema ni urafiki tu hakuna kingine

Kifupi nina mashaka na urafiki wao japo sijathibitisha, mpaka sasa tuna ugomvi anasema mimi ni malaya ndo maana nafikiri kila mtu Ana tabia za kihuni kama mimi na amesema bora tuachane kama siwezi kumuamini
Cha kuongezea usimlilie yeye sio MUNGU tafuta mwanamke mwingine
Ila kuna ukakasi kwny story yako Kwann nakuita malaya
 
Ningekuwa ni mimi najitahidi sana kumpata mkewe, na mimi nalianzisha. Kumegeana ndo dawa!!
 
Kama mna watoto na hakuna ugomvi mwingine zaidi ya huo basi usimwache.
Unaweza kuongea nae kirafiki atakueleza ni kwanini wakati mwingine wanawasiliana.

Sio kweli kuwa kila urafiki wa mwanamke na mwanamme ni wa kimapenzi.
 
Tuna watoto wawili nina mashaka na mtoto wa kwanza
Kuwa makini na watoto wa kwanza katika famili nyingi huwa famba, yaani ukiona dogo hamfanani kwa chochote kuanzia kichwa hadi miguu au hata baadhi ta tabia zako basi ujue fambastic.

Ila cha msingi " kitanda hakizaagi haramu" tunza tu ndo mwanao ushapewa bila mbegu - afu watoto hawa huwa wana upendo kwako balaa kuliko hata wa kwako wanaofuatia.
 
Na hizo ndizo ndoa zenu.
Masculinity.png
 
Kuna kila dalili za kuwekewa hapo. Wanawake ni complex sana, tena wenye msururu wa maex ni janga zaidi. Mtu ana familia na watoto wawili-wanne ila atakuambia maneno mazito just coz you had one-two in the past, kwamba kama huna kiasi unaweza kujipigia anytime, just anytime. Ukiangalia ulichompa kipindi hicho wala hakuna, ukiangalia la maana hakuna, sababu kubwa kuchoka ndoa yake anatafuta relief.
 
usitumie hasira wala mihemko kupata majawabu ya matatizo yako bwashee, kama unao ushahidi wa kumtia hatiani muache kwa mustakabali wa amani ya mioyo yenu na ndoa yenu, hamuwez kuishi kwa kuelewana kama tayar mmeanza kutiana hatiani.
 
Kifupi nina mashaka na urafiki wao japo sijathibitisha, mpaka sasa tuna ugomvi anasema mimi ni malaya ndo maana nafikiri kila mtu Ana tabia za kihuni kama mimi na amesema bora tuachane kama siwezi kumuamini
Mwanaume bwege
 
mwanamke anakuzidi ujanja huyo bora mkaachana tu kuhusu watoto ndo kasheshe
 
Kifupi nina mashaka na urafiki wao japo sijathibitisha, mpaka sasa tuna ugomvi anasema mimi ni malaya ndio maana nafikiri kila mtu ana tabia za kihuni kama mimi na amesema bora tuachane kama siwezi kumuamini
Acha upekuzi utakufa mapema. Unataka uishi na mtu kama ulimzaa wewe na kumfungia ndani kwamba hajuani na watu.
 
Back
Top Bottom