Cold Free
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 227
- 385
Huenda huyo ndio aliemtoa bikra hajamsahau hadi leo na bado wanawasiliana
Sent from my SM-A325N using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A325N using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Loh! Naona utakufa kwa stress. Moja kwa hayo mamessage na pili kwa kuona huyo mtoto uliye na mashaka kuhusu baba yake halisi.Tuna watoto wawili nina mashaka na mtoto wa kwanza
Huku nilipo ni salama kabisaMi mzima wa afya namshukuru Mungu sijui wewe huko ulipo mkuu
Muache huyo Malaya usikae na Mwanamke asiekusikiliza Mwanaume lazima uwe na mamlakana amesema bora tuachane kama siwezi kumuamini
kama hujathibitisha huu ni umbea kama umbea mwingine. Acha udhaifu!Kifupi nina mashaka na urafiki wao japo sijathibitisha, mpaka sasa tuna ugomvi anasema mimi ni malaya ndio maana nafikiri kila mtu ana tabia za kihuni kama mimi na amesema bora tuachane kama siwezi kumuamini
Ukishaona kwenye mahusiano hiyo kauli ya bora tuachane imeingia jua fika hupendwi wala huthaminiwi na hahofii kukupoteza, cha kufanya ni kupiga chini tu maana utaishi kwa shida sana.Nilikuwaga na mwanamke Kila tukikosana anakimbilia kusema bora tuachane "assume mtu unampgia simu asubuhi hapokei nikamtumia message ya kugombeza anakimbilia bora tuachane"
Kaka kwanza ningekua mimi ndo wewe hapa ningemkatia tiketi nikiamuacha aende kwao
Miaka 6 umeshindaje kufahamu ukweli wa hilo???? Ulijuaje wanawasiliana kwa miaka 6 yote?????Kifupi nina mashaka na urafiki wao japo sijathibitisha, mpaka sasa tuna ugomvi anasema mimi ni malaya ndio maana nafikiri kila mtu ana tabia za kihuni kama mimi na amesema bora tuachane kama siwezi kumuamini
Mtu yeyote kuwa na mawasiliano na mwanachuo mwenzake wakiwa bado wanasoma haishtui sana maana yake nilijua kama wana wasiliana ila nimeshtuka kuona mwaka wa sita bado Ana namba yake na wanachat na namba yenyewe haija seviwa nilipo iangalia m pesa ndo nikajua ni mtu yule yule walichat miaka sita iliyo pita. Mimi nipo jamii forums mda mrefu post zangu hazizidi tano kwa hiyo sina mda wa kuwaandikia uongoMiaka 6 umeshindaje kufahamu ukweli wa hilo???? Ulijuaje wanawasiliana kwa miaka 6 yote?????
Binafsi nahisi kama unatufunga kamba ya kudu.
Umesema una mashaka na mtoto wa kwanza, kwa nini uwe na mashaka in relation to Mawasiliano yao???
In short naona wewe ndo tatizo kubwa. Ulipaswa ujue ukweli ndani ya miezi michache tu ya ndoa yenu na ndo maana huyo mkeo anakujibu hivyo kwa jeuri kwa sababu kashakuona wewe ni mme bwege.
Rejea neno mme bwege
Kuhusu ubwege ni kawaida kama ambavyo huenda mpenzi wako amekazwa mda sio mrefu na hujui kwa hiyo usilazimishe tuhame maadaMiaka 6 umeshindaje kufahamu ukweli wa hilo???? Ulijuaje wanawasiliana kwa miaka 6 yote?????
Binafsi nahisi kama unatufunga kamba ya kudu.
Umesema una mashaka na mtoto wa kwanza, kwa nini uwe na mashaka in relation to Mawasiliano yao???
In short naona wewe ndo tatizo kubwa. Ulipaswa ujue ukweli ndani ya miezi michache tu ya ndoa yenu na ndo maana huyo mkeo anakujibu hivyo kwa jeuri kwa sababu kashakuona wewe ni mme bwege.
Rejea neno mme bwege
tulia usaidiwe wewe usipige kelele!Kifupi nina mashaka na urafiki wao japo sijathibitisha, mpaka sasa tuna ugomvi anasema mimi ni malaya ndio maana nafikiri kila mtu ana tabia za kihuni kama mimi na amesema bora tuachane kama siwezi kumuamini
Gademiiiiiti ungekua karibu ningekurarua kelbu 1 uamke, why men why??Tuna watoto wawili nina mashaka na mtoto wa kwanza
........kauli hii hajaitoa kwa bahati mbaya, Muhimu tu ni kujua kuwa mpo kwenye phase ya kuchokana, phase mahususi ya kupima uvumilivu!!amesema bora tuachane
Acha kumfuwatiliana sana mkeo utakufa mapema. Fanya yako na wewe tafuta mtoto mzuri chat naye mpotezee alafu uwone atakavyo vurugwaKifupi nina mashaka na urafiki wao japo sijathibitisha, mpaka sasa tuna ugomvi anasema mimi ni malaya ndio maana nafikiri kila mtu ana tabia za kihuni kama mimi na amesema bora tuachane kama siwezi kumuamini
Akisema bora tuachane unamwambia nipe maandishi alafu una file divorced au unamwambia chapa lapaNilikuwaga na mwanamke Kila tukikosana anakimbilia kusema bora tuachane "assume mtu unampgia simu asubuhi hapokei nikamtumia message ya kugombeza anakimbilia bora tuachane"
Kaka kwanza ningekua mimi ndo wewe hapa ningemkatia tiketi nikiamuacha aende kwao