Mpandishe cheo awe mke mkubwa.Habari wana JF!!
Ebu wadau naombeni ushauri wenu. Nina mke na watoto wawili. Mke wangu ana changamoto moja….hataki kupika na pia hajali watoto. Yaani tunaweza kukaa siku mbili tatu tunakula mikate na chai tu. Na yeye ni mama wa nyumbani sio kwamba ana shughuli kivile za kumkwamisha yeye kupika HAPANA. Nikimwambia kwanini hapiki anadai sijaenda sokoni kununua vitu (asa nawaza si yeye ni jukumu lake kwenda sokoni) maana pesa za biashara tunazofanya ni yeye anashika kwahyo sio kwamba haendi kwasababu hana pesa.
Kuhusu watoto ndio kabisa hawalishi wala hawaogeshi, na watoto ni wadogo chini ya miaka 5. Yaani watoto wasipojipambania wenyewe kula ndio basi hawali.
Kuna saa nakasirika kinoma lakini nakosa namna. NIFANYEJE
Kuwa mwanamke ni pamoja na kutimiza majukumu wallah, Kuna wengine wanazaa ila hawataki ku perform duties za kimama wafunge vizazi vyao shwaini.Cariha kama cariha
Ndio hapo huwa najiuliza, kama unajijua huna muda wa kulea unazaa ili iweje?Sikuhizi kuna baadhi ya wanawake asilimia kubwa wamekuwa hovyo hawajali familia wala malezi na Wana act ka ma slay queen Bora mtu ka hujali watoto usizae tu.
Habari wana JF!!
Ebu wadau naombeni ushauri wenu. Nina mke na watoto wawili. Mke wangu ana changamoto moja….hataki kupika na pia hajali watoto. Yaani tunaweza kukaa siku mbili tatu tunakula mikate na chai tu. Na yeye ni mama wa nyumbani sio kwamba ana shughuli kivile za kumkwamisha yeye kupika HAPANA. Nikimwambia kwanini hapiki anadai sijaenda sokoni kununua vitu (asa nawaza si yeye ni jukumu lake kwenda sokoni) maana pesa za biashara tunazofanya ni yeye anashika kwahyo sio kwamba haendi kwasababu hana pesa.
Kuhusu watoto ndio kabisa hawalishi wala hawaogeshi, na watoto ni wadogo chini ya miaka 5. Yaani watoto wasipojipambania wenyewe kula ndio basi hawali.
Kuna saa nakasirika kinoma lakini nakosa namna. NIFANYEJE
Jamaa kaoa mwaarusha huwa ni wajeuri hatari hao, Sasa hapo lazima Kuna maneno kashalishwa tayari, ila mke asiyehudumia watoto kwA chakula huyo hafai na ni mgonjwa wa akili let's assume huyo baba hayupo duniani watoto si watakuwa machokoraa.Tuambie kwanza je ulichunguza ukoo wao au yeye ana ugonjwa wa akili? Pili tuambie anatoka mkoa gani? Usije mlaumu shemeji yangu bure kumbe wewe ni sehemu ya tatizo kisha njoo huku sasa tubadilishane mawazo sisi tulishapitia huko na tuna wajukuu sasa tunapeta uzeeni tunapendana mno sababu tulishajua tatizo
Ndo asiwaogeshe watoto aliowazaa mwenyewe?Mtu aende labour mara 2 asilishe watoto wake wenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo mkuu lazima kuna mahala uliteleza pia
Toka amewazaa hawaogeshi?
Ata kama mume amekusea vipi huwezi kuacha kuwaogesha watoto uliowazaa mwenyewe...huu ni uwendawazimu.Toka amewazaa hawaogeshi?
Kuna uzi umeelezea tabia ya hasira na namna ya kuishi na mtu mwenye hasira, pengine kuna kitu ulimkose na hasira yake akapelekea kwa watoto mkuu. Kama mwanzo alikua anawaogesha ikawaje tena ghafla hawaogeshi!Ata kama mume amekusea vipi huwezi kuacha kuwaogesha watoto uliowazaa mwenyewe...huu ni uwendawazimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah i don't get it kwa kweli..Kuna uzi umeelezea tabia ya hasira na namna ya kuishi na mtu mwenye hasira, pengine kuna kitu ulimkose na hasira yake akapelekea kwa watoto mkuu. Kama mwanzo alikua anawaogesha ikawaje tena ghafla hawaogeshi!
Ingekua huwa wanaangalia hivyo basi na Sisi wanawake tungesema huyu anakunywa pombe sio wa kuolewa nae, mkuu ungejaribu kukaa nae chini utatue tatizo yani mtu asiogeshe watoto wake mwenyewe tu bila sababu? Kuna vitu itakua vimejaa moyoni mwakeDaah i don't get it kwa kweli..
Basi wanawake wenye hasira za hivyo hawapaswi kuolewa..maana wanaweza kuwaua njaa watoto kisa kamkasirikia mumewe..
Sio wanawake wa kuolewa hawa..
Sent using Jamii Forums mobile app