Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani unam'bembeleza mtu kufanya wajibu wake?! Ni sawa na mwanamke aje na story hapa kuwa kuna mwanaume wake aliezaa nae watoto wawili analala ndani tu kutwa nzima familia inataabika yeye hastuki, tumshauri huyo mwanamke kuwa am'bembeleze mumewe aende kutafuta chochote huko nje?! [emoji23][emoji23][emoji23]Ongea nae kwa upendo mbona hilo dogo sana mkuu fanya kitu ambacho atafurahi then badge mkiwa wawili mwambie kwa upole kbsa juu ya help mbona litaisha tu pia ibada mzee muhimu sana wkt mwingine si yeye dunia ina mengi hii kaza ibada hakuna mzazi asiyependa watoto.
Ni PM mkuu nitakusaidiaHabari wana JF!!
Ebu wadau naombeni ushauri wenu. Nina mke na watoto wawili. Mke wangu ana changamoto moja….hataki kupika na pia hajali watoto. Yaani tunaweza kukaa siku mbili tatu tunakula mikate na chai tu. Na yeye ni mama wa nyumbani sio kwamba ana shughuli kivile za kumkwamisha yeye kupika HAPANA. Nikimwambia kwanini hapiki anadai sijaenda sokoni kununua vitu (asa nawaza si yeye ni jukumu lake kwenda sokoni) maana pesa za biashara tunazofanya ni yeye anashika kwahyo sio kwamba haendi kwasababu hana pesa.
Kuhusu watoto ndio kabisa hawalishi wala hawaogeshi, na watoto ni wadogo chini ya miaka 5. Yaani watoto wasipojipambania wenyewe kula ndio basi hawali.
Kuna saa nakasirika kinoma lakini nakosa namna. NIFANYEJE
ungekuwa ni wewe ungefanya nini blaza! am looking for a proper solution hapaYaani unam'bembeleza mtu kufanya wajibu wake?! Ni sawa na mwanamke aje na story hapa kuwa kuna mwanaume wake aliezaa nae watoto wawili analala ndani tu kutwa nzima familia inataabika yeye hastuki, tumshauri huyo mwanamke kuwa am'bembeleze mumewe aende kutafuta chochote huko nje?! [emoji23][emoji23][emoji23]
Dah watu wana mambo ya ajabu sana siku hizi. Yaani unaishi na mwenzako halafu hakuna la maana unalofanya upo upo tu unataka kuelekezwa kila kitu, Hivi wewe unakuwa ni mtu kweli....?!
Mzee umezaa watoto ili waje kukutumikia uzeeni?Kama mke hajali familia ijali wewe mkuu.
Watoto wana DNA kubwa ya kwako kuliko ya mama ingawa wao ni wa mama. I mean baba tuna transfer genes zetu kwa vizazi vijavyo ila owner wa watoto ni mama.
Jambo la pili, mwanaume ukitaka uishi maisha mazuri uzeeni hakikisha una watoto wengi wa kike, hao hawatakuacha.
Huyu sio mke ni mzimuHabari wana JF!!
Ebu wadau naombeni ushauri wenu. Nina mke na watoto wawili. Mke wangu ana changamoto moja….hataki kupika na pia hajali watoto. Yaani tunaweza kukaa siku mbili tatu tunakula mikate na chai tu. Na yeye ni mama wa nyumbani sio kwamba ana shughuli kivile za kumkwamisha yeye kupika HAPANA. Nikimwambia kwanini hapiki anadai sijaenda sokoni kununua vitu (asa nawaza si yeye ni jukumu lake kwenda sokoni) maana pesa za biashara tunazofanya ni yeye anashika kwahyo sio kwamba haendi kwasababu hana pesa.
Kuhusu watoto ndio kabisa hawalishi wala hawaogeshi, na watoto ni wadogo chini ya miaka 5. Yaani watoto wasipojipambania wenyewe kula ndio basi hawali.
Kuna saa nakasirika kinoma lakini nakosa namna. NIFANYEJE
Usicheke na nyani utavuna mabua...sura yako inatakiwa imaanishe unachokisema,weka kikao leo jioni akupe sababu ya msingi kwa nini hali ya hewa ya maisha imebadilika?na pitisha maazimio magumu,mojawapo ni kufutilia mbali marafiki alionao...ikishindikana mpatie kadi nyekundu achague familia au kwao.nipe ma-idea nifanyaje ili akae sawa !!
Labda ana ugonjwa wa akiliyani hakuwa hivyo mwanzoni, nimekaa nae zaidi ya miaka 5 kabla ya kuzaa nae mtoto wa kwanza..na alikuwa poa tu...balaa limeanza baada ya kuzaa mtoto wa pili ndio akaanza kutojali
Amesema leo ameshanuna, kikao kitafanyikaje?Usicheke na nyani utavuna mabua...sura yako inatakiwa imaanishe unachokisema,weka kikao leo jioni akupe sababu ya msingi kwa nini hali ya hewa ya maisha imebadilika?na pitisha maazimio magumu,mojawapo ni kufutilia mbali marafiki alionao...ikishindikana mpatie kadi nyekundu achague familia au kwao.
Hiyo sio sababu aitishe kikao,asipotoa ushrikiano ampe kadi nyekunduAmesema leo ameshanuna, kikao kitafanyikaje?
Hawa viumbe wanatabia moja,wakishajua wewe ni dhaifu kwenye kupiga mpini au kulia lia ukiwa kifuani n.k lazima wakusumbueAmesema leo ameshanuna, kikao kitafanyikaje?
Kwanza mimi huwa si deal na mwanamke ambaye hatumii akili anatumia hisia muda wote. Mimi mwanamke napendana nae kwa pande mbiliungekuwa ni wewe ungefanya nini blaza! am looking for a proper solution hapa