Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida si kuwahi ila nowdays Kuna baadhi ya wanawake hawajielewiKwa nin uliwahi kuoa mkuu?
UtawatambuajeNasoma ushauri wa walio oa. [emoji41]
Kashamuoa sasaNdio tunashauri jabla hujaoa mjue zaidi tabia yake unaye muoa
mmh hiyo changamoto tena si kidogo..Habari wana JF!!
Ebu wadau naombeni ushauri wenu. Nina mke na watoto wawili. Mke wangu ana changamoto moja….hataki kupika na pia hajali watoto. Yaani tunaweza kukaa siku mbili tatu tunakula mikate na chai tu. Na yeye ni mama wa nyumbani sio kwamba ana shughuli kivile za kumkwamisha yeye kupika HAPANA. Nikimwambia kwanini hapiki anadai sijaenda sokoni kununua vitu (asa nawaza si yeye ni jukumu lake kwenda sokoni) maana pesa za biashara tunazofanya ni yeye anashika kwahyo sio kwamba haendi kwasababu hana pesa.
Kuhusu watoto ndio kabisa hawalishi wala hawaogeshi, na watoto ni wadogo chini ya miaka 5. Yaani watoto wasipojipambania wenyewe kula ndio basi hawali.
Kuna saa nakasirika kinoma lakini nakosa namna. NIFANYEJE
watoto je?Yani wewe unafanyabiashara halafu hela anashika yeye, huna akili.
Tatizo lipo hapo, tunza pesa mwenyewe, mwenzako anakula chips zege deile huyo, ukirudi wewe ndio anakuektia na chai na mikate. Huu ni uzoba wa kujitakia.
Ana miaka 27 sasa. Nakubaliana na wewe hapo kwenye kuwa mbogo lakini tatizo linalokuja kila nikimpiga ananuna hata wiki mbili mfululizo, nishawahi kumpiga mara moja alinijibu ufala akavimba hadi uso lakini wapiiii hakubadilikaana umri gani huyo mkeo? kama ni kizazi cha instagramu na fecebook kazi unayo hapo ni wewe mume kuwa mbogo tu na sometime akiwa haelewai kwa kauli zako inabidi na makofi yahusike kidogo maana huyo inaonekana hana hofu na wewe kwa sababu anjua humgombezi, Kung’uta huyo akili imkae sawa
Kuna saa nakasirika ila nakosa namna ya kufanya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Habari wana JF!!
Ebu wadau naombeni ushauri wenu. Nina mke na watoto wawili. Mke wangu ana changamoto moja….hataki kupika na pia hajali watoto. Yaani tunaweza kukaa siku mbili tatu tunakula mikate na chai tu. Na yeye ni mama wa nyumbani sio kwamba ana shughuli kivile za kumkwamisha yeye kupika HAPANA. Nikimwambia kwanini hapiki anadai sijaenda sokoni kununua vitu (asa nawaza si yeye ni jukumu lake kwenda sokoni) maana pesa za biashara tunazofanya ni yeye anashika kwahyo sio kwamba haendi kwasababu hana pesa.
Kuhusu watoto ndio kabisa hawalishi wala hawaogeshi, na watoto ni wadogo chini ya miaka 5. Yaani watoto wasipojipambania wenyewe kula ndio basi hawali.
Kuna saa nakasirika kinoma lakini nakosa namna. NIFANYEJE
Sasa mkuu kila tukizozana na nikimkoromea huwa yeye ndio anakuwa wa kwanza kusema kama naona hafanyi Mother-duty eti nimrudishe kwao akafunzwe tena. Hilo suala nikilifikiria naona kama najidhalilisha kwa upande mwingine kuwa wataona kuwa nimeshindwa kumcontrol mtoto wao….kiundani Watanicheka flaniMkeo hana dadake au mdogoye? Fungasha yeye na watoto aende kwao kwa wiki moja tu, akirudi amenyooka.
Cariha kama carihaSikuhizi kuna baadhi ya wanawake asilimia kubwa wamekuwa hovyo hawajali familia wala malezi na Wana act ka ma slay queen Bora mtu ka hujali watoto usizae tu.
Ongea nae kwa upendo mbona hilo dogo sana mkuu fanya kitu ambacho atafurahi then badge mkiwa wawili mwambie kwa upole kbsa juu ya help mbona litaisha tu pia ibada mzee muhimu sana wkt mwingine si yeye dunia ina mengi hii kaza ibada hakuna mzazi asiyependa watoto.Habari wana JF!!
Ebu wadau naombeni ushauri wenu. Nina mke na watoto wawili. Mke wangu ana changamoto moja….hataki kupika na pia hajali watoto. Yaani tunaweza kukaa siku mbili tatu tunakula mikate na chai tu. Na yeye ni mama wa nyumbani sio kwamba ana shughuli kivile za kumkwamisha yeye kupika HAPANA. Nikimwambia kwanini hapiki anadai sijaenda sokoni kununua vitu (asa nawaza si yeye ni jukumu lake kwenda sokoni) maana pesa za biashara tunazofanya ni yeye anashika kwahyo sio kwamba haendi kwasababu hana pesa.
Kuhusu watoto ndio kabisa hawalishi wala hawaogeshi, na watoto ni wadogo chini ya miaka 5. Yaani watoto wasipojipambania wenyewe kula ndio basi hawali.
Kuna saa nakasirika kinoma lakini nakosa namna. NIFANYEJE