Nimeshangaaa...ushauri wa humuu mwingi ni wakubomoa nyumba za watuu..akae na mkewe wayajengee Ndoa ya miaka 10 sio jamboo mdogoo... halafuu hilo jambo mbona ni dogoo tuuHa haaa yaani unapewa ushauri wa kubomoa unaupokea kwa furaha😅😅.
Kakae chini vzr na mkeo myajenge..inaonekana hata haupo romantic unaboa, labda poa una ubabewa ajabu ajabu.
Kaongee vzr na mke wako myajenge.
Yaaan uvunje Ndoa kisa kukusalimia tuu?..au Kuna jinginee? after 10 good years?.. Bro hebu tafakari maamuzi yakoo... Ushauri mwingi wa humu sio wa kuufutaa... Ndoa hazifanani hata kidogoo Kila mtu na staili yakeeAaah! Ikivunjika itakuwa ilipangwa iwe hivo, labda tu unishauri nijiandae la Hilo bomu unalosemea.
Kwahiyo hapa tayari ushajua kuwa mwenye makosa ni Mimi tu?
Kiukweli kama kuvunjika ivunjike tu nishafanya jitihada nyingi saana zakumfanya abadilike lakin haikuzaa matunda.
Ni Bora kupeana nafasi yakuanza upya
Kashindwa kulisove hadi apate ushauri kutoka jf, washauri wenyewe sasa😅😅Nimeshangaaa...ushauri wa humuu mwingi ni wakubomoa nyumba za watuu..akae na mkewe wayajengee Ndoa ya miaka 10 sio jamboo mdogoo... halafuu hilo jambo mbona ni dogoo tuu
😅😅.washauri wenyewe wa humu kwao mwanamkee ni kama mshindani waoo 😅😅...basi point yao kubwaa ni " kuachana "yaaan "muache tuu"ushauri wao ni kubomoa na si kujengaaa🙌Kashindwa kulisove hadi apate ushauri kutoka jf, washauri wenyewe sasa😅😅
😅😅.😅😅.washauri wenyewe wa humu kwao mwanamkee ni kama mshindani waoo 😅😅...basi point yao kubwaa ni " kuachana "yaaan "muache tuu"ushauri wao ni kubomoa na si kujengaaa🙌
😅😅😅Kwa kweli😅😅.
Humu jf mke na mume ni maadui.
Kumbe kuna mda dish lako linasoma signal vizuri,ni hivi matatizo mengi ya ndoa yanasababishwa na unyumba japo wengi hawaliongelei hili.Tiba yake ndogo sana, tokeni leo mkalale kwenye nyumba za wageni; huko umpige bakora kubwa kisawa sawa usiku kucha, hakikisha anapiga makelele ya kupata shoo ya ukweli.
Ukifanikisha hilo, utakuwa umemuwekea alama ya kukumbuka na kutamani uwahi kurudi mapema umpige ile shoo.
Ndoa zote hazifanani,ni vile mlivyokubaliana ndio hivyoAslaam,
Niko na mke takribani miaka 10 Sasa ya ndoa yetu.
Bahati mbaya mda mwingi hatulali na kuamka pamoja, kutokana na harakati za kutafuta maisha.
Huaga natumia siku 5 za wiki kwenda mahala pakazi yangu na siku 2 za mwisho wa wiki kushinda nyumbani na familia yangu, japo mara nyingine ikalazimu hata hizo siku za wiki naweza kuwa nyumbani.
Ila chakushangaza ni hii tabia ya mke kutonisalimia pale anapoamka au wakati flani wa siku.
Nisimpo mpgia mim kumtakia Hali yake na yawatoto ndo basi imeishia hiyo.
Nimejaribu kumuulizia mara nyingi kwanin hanijulii Hali mwenzie hasa pale ninapokuwa mbali na nyumbani?, jibu lake ni kwamba mwanaume ndiye mwenye wajibu wakusalimia familia yake.
Mwanamke na watoto haki yao nikupokea salamu na kujieleza kuhusu Hali zao zilivyo Kwa siku ile.
Nimejaribu mara nyingi kuamka na kukaa kimya bila kumpigia, aisee siku inakatika kabisa hanipigii.
Hili limenishangaza na linazidi kunishangaza kwakweli, yaan mim sina mtu wakunijulia Hali nimeamka naumwa au mzima ni juu yangu.
Kwa wale ambao wameoa au wanakaa na mke hili jambo nikwelii??
Huaga wajibu wakusalimia ni wa mwanaume tu? Hasa pale mnapokuwa mbali na familia zenu?
Mume na mke huwa ni maadui siku zote, Tangu mwanzo wa maisha.😅😅.
Humu jf mke na mume ni maadui.
Sitisha matumizi uone kama hatakusalimia labda iwe yeye ndo anahudumia familia ndo maana hajali uwepo wakoSalamu inaleta ugali kwa meza?
Acha ukoloni kaka maisha sikuhizi kidigitali
Sio kila kitu ni mambo ya kihisia.Mtu wameishi miaka 10 bado mnaongelea hisia?? Hao ni ndugu sasa- ni sawasawa na uwe na mtoto yuko mkoa mwingine lkn hakutafuti, wala hakusalimii - ukimuuliza naye atasema ni hisia???Ni wanadamu tu na mabadiliko na mazingira, akili, maisha n.kHana hisia na wewe