Mke wangu hapendi kuongozana na mimi barabarani

pole sana ila kwa asilimia 100 huyo mkeo hakupendi,yuko na wewe kwa sababu fulani ambazo anazijua yeye mwenyewe
 
1. Atakuwa amekuzidi level ya elimu au
2. Atakuwa amekuzidi kifedha au
3. Atakuwa anatibuliwa na marafiki zake kwamba ameolewa na mpolipoli au
4. Aliolewa na wewe akiwa na matarajio makubwa sana juu yako na yamekuwa tofauti.
5. Ni mbaguzi na anaku dharau sana (tena sana) kiasi cha kuona kinyaa kuonekana mbele ya watu akiwa na wewe.

Chukua hatua stahiki mapema.
 
Huyo mwanamke inawezekana anajiona ana class ya juu kuliko wewe kutokana na elimu yake aliyoipata baada ya kuoana na wewe, kupandishwa cheo au kuwa na kipato kukuzidi jambo lililomfanya aone amekosea kuwa na wewe ambae unapwaya kwa vigezo. Kingine ni kuwa, kuna uwezekano anakudharau kwa ujumla kutokana na kukuona huendani nae au yeye mwenyewe hajiamini na ana hofu ya kukosolewa kutokana na kuwa na wewe maana anatamani ungekuwa kama waume wa watu wengine anaowaona wana hadhi. Swala la kukukosoa unapoongea linaweza kuwa linatokana na yeye mwenyewe kutojiamini na kutokuwa na uwezo wa kuzungumza hadharani na hivyo anahofia kuwa wewe unaweza kuchemka katika kutoa hoja kama ambavyo yeye hawezi na kutokana na hilo, anakuwa anakuzuia kuepuka kuaibika kama ambavyo yeye anavyohofia kushindwa kuongea na kuaibika.
Huyo hajakomaa kiakili, mpe muda labda kama hiyo tabia itaanza kuextend mpaka katika kutoka na watu wengine.
 
MKUU mbona amesema mdogo wake yuko peace naye na wanaongozana kila kona mpaka themeji kapata miwivu?! muwe mnasoma na kuelewa mada gwakukaja.
 
MKUU mbona amesema mdogo wake yuko peace naye na wanaongozana kila kona mpaka themeji kapata miwivu?! muwe mnasoma na kuelewa mada gwakukaja.
Mwaisa mdogo wake sio MKE wake!Wife hataki kuongozana na jamaa
 
Mwaisa mdogo wake sio MKE wake!Wife hataki kuongozana na jamaa
nahisi huyu ndugu yetu hana hata mkoko.safari zao ni za mguu na daladala.ushauri wangu atafute hela heshima itarudi! kapendwa Mengi na uzee ule sembuse ndugu yetu hapa hata wajukuu hana.Mwaisa jamaa hapa hana kisu kikali ndio shida.ulofa ni.gharama.
 
Hahaha umeikomalia hii mada, ila Inaumiza sana kutokukubalika na mwenzi wako.
 
nahisi huyu ndugu yetu hana hata mkoko.safari zao ni za mguu na daladala.ushauri wangu atafute hela heshima itarudi! kapendwa Mengi na uzee ule sembuse ndugu yetu hapa hata wajukuu hana.Mwaisa jamaa hapa hana kisu kikali ndio shida.ulofa ni.gharama.
Yaa kikolo msela wetu hana kitu na dizaini wife ni sista duuh
 
IN A VERY VERY NICE AND LOVING WAY

LIKE DARLING WANGU UNANIPENDA LAZMA AKUBALI AND Y HUPENDI KUONGOZANA NA MIMI AND BLA BLA KAMA KUNA MAHALI NAWEZA KUSEMA JAMBI KIURAHISI NI WAKATI NAPANDA KILIMA WALAH HATA KAMA NI UCHAWI NTASEMA

Wewe bidada unatutamanisha
 
Levels.....?
Au size? Hata sina jibu la moja kwa moja! Mkeo kimeo kama alikuwa hajakuridhia kwa nini alkkubali kusimama kwa mchungaji na kuapa mpaka kifo kiwatenganishe?
 
Anza kujipenda wewe kwanza!halafu una bahati ya kupewa uhuru kwelikweli,wengine wametaitiwa vibaya!
 
duh kweli maisha yametofautiana.
 
Pole sana mkuu,kwanza nikuhakikishie wanawake/wanaume wa aina hii wapo tena wengi usione wachangiaji wanajikakamua hapa inawezekana wanasubiri ili nao watatue tatizo kama lako,niliwahi kua na uhusiano na binti wa kihehe ambae kwa kweli alinipenda na nilimpenda ila alikua na tatizo kama la mkeo yaani tukiwa nyumbani mahaba motomoto ila tukitoka anakua uncomfortable kabisa ilinichukua muda kumuelewa ila nilifuatilia maisha yake ya nyuma alikua ana matatizo mengi sana ya kisaikolojia.
Lakini pia mkuu wa aina ya mkeo wapo wengi ambao wanajisikia wazito kufuatana na wenza wao na wapo ambao wanafuatana tu na wenza wao kwa kua hakuna namna wanaficha hisia zao,inawezekana hata hawa wake zetu wanakenua tukiwa nao matembezini kumbe nao wana ugonjwa kama wa mkeo,muhimu kaa nae chini mjadili kwa kina kujua tatizo ni nini simply siamini kua una muonekano mbaya,unaonge ovyo maana matatizo yangekua hayo naamini wanawake wako fast kuongea kwa matatizo kama hayo.
Nikutakie heri kaka katika ndoa yako Mungu akufanyie wepesi na ili liishe mapema maana ndoa ina changamoto nyingi.
 
Jifanye huna habar nae hata kuongea ongea nae pale inapobid tu..ukipta mwaliko we mpe taarifa tu kuwa unatoka na hakikisha hudikiliz jibu lake...ukiona hkuna mabadiliko kwa juhud zte hizo.. ujue hlo ni jipu linahtaji kutumbuliwa.. !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…