ibra87
R I P
- Jul 22, 2015
- 5,614
- 5,351
kwa nini sasa? Hivi ombi langu umelipokeaje ww mtoto wa Kibondei?Bora hata uwe mshauri wa wanandoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa nini sasa? Hivi ombi langu umelipokeaje ww mtoto wa Kibondei?Bora hata uwe mshauri wa wanandoa
utaniweza lkn??? Sitakiwi kufanya kaz yeyote, zaidi ya kukaa na kanga moja, kuoga, kufusha udi na kupaka wanja kukusubiri wewe urudi toka mihangaikokwa nini sasa? Hivi ombi langu umelipokeaje ww mtoto wa Kibondei?
nipo tayari wewe sema tuutaniweza lkn??? Sitakiwi kufanya kaz yeyote, zaidi ya kukaa na kanga moja, kuoga, kufusha udi na kupaka wanja kukusubiri wewe urudi toka mihangaiko
Hahaha umeikomalia hii mada, ila Inaumiza sana kutokukubalika na mwenzi wako.
Na wewe pia Heri dada yangu.Heri ya mwaka mpya. I take that as a compliment. .
umeniwahi nami nilitaka kumuuliza ivi muda wa kuhoji maswali unapatikana katikati au baada????Utamponza mtoa mada wewe! Yani katikati ya raha tena aanze maswali eti "kwanini Jumamosi iliyopita hatukuongozana kwenda arusini"
au anavaa kama mwanamazingaombwe.......
umeniwahi nami nilitaka kumuuliza ivi muda wa kuhoji maswali unapatikana katikati au baada????
anataka mwenzake ashushwe kabla hajamalizia
yuko wapi mbona unatongozea past?!Dah pole sana. Kwangu mimi haikuwa mke ila rafiki wa kike. Yani tukiwa kwenye kundi la marafiki au watu tumetoka nao... atanikumbati... kudeka... kunipiga mabusu.. mara aniambie nimkiss... mara nimshike kiuno... mimi nilikuwa sipendi kwa sababu nina aibu sana... kweli watu hutofautiana..
hihihiiiiHahahahahaha