Mke wangu hapendi kuongozana na mimi barabarani

Mke wangu hapendi kuongozana na mimi barabarani

umeniwahi nami nilitaka kumuuliza ivi muda wa kuhoji maswali unapatikana katikati au baada????
anataka mwenzake ashushwe kabla hajamalizia
Kuna Namna ya kuliza c km Koplo wa kaunta ya mabatini polisi aloo
 
Kizazi hiki wanawake wengi wanatabia ya kuwadharau wapenzi au waume zao...cha kufanya anza kuongea na wanawake wengine mbele yake na kuonyesha unawatamani.akiona wanawake wengine wanaongea na wewe na kucheka atagundua una mvuto.wanawake wanavutiwa na "bad boys" players viwembe et.anza kuvaa nguo za gharama pamoja na perfumes za bei kubwa na anza kuchelewa kurudi nyumbani bila ya sababu ya msingi ...na ongeza kuwa na furaha .atajua una mwanamke mwingine ghafla ataanza kukuonea wivu.wanawake wanapenda mashindano.ndani ya miezi mitatu atabadirika
 
mkuu pole sana japokuwa na mimi nimecheka(ila sijakucheka)....chakufanya hapo wala usipate tabu sana kulazimisha maswala ambayo wala hayahitaji kulazimishwa...kama mna watoto wewe anza kutoka na watoto na jamaa zako wanaokuzunguka,na unapotoka unampa taarifa wakati tayar mshajiandaa..akiuliza unamuambia asijali kesho zamu yake...hata akinuna wewe endelea na utaratibu huo tu kwanza lakini nyongeza ni kuwa mpe uhuru anaoutaka usimfuatilie wala nn,akitaka mtoke wote muambie hapana...
 
Wadau heri ya mwaka mpya,

Wife amekuwa hapendi kuongozana nami katika safari mbali mbali misiba, sherehe, outing na kadhalika, sio kwamba anakataa moja kwa moja bali atatafuta sababu ili twende tofauti, na akikubali kwenda anakuwa uncomfortable na uwepo wangu.

Mwezi uliopita wa 12 tulisafiri wote kwenda up country nyumbani kwao mkoani kwa mapumziko ya end year, tulianzia mkoani kwetu, mwisho tukamalizia kwao, sasa tukiwa kwao, mdogo wake wa kike ndie alikuwa akizunguka nami mjini kutalii na kunionesha sehemu mbali mbali, wife alikuwa akinipiga chenga ndipo shemeji akaamua kunipa kampani.

Tuliijadili sana hii tabia ya dada yake ambayo hata yeye akasema ameiona kwa muda mrefu sana, anashindwa kuelewa tatizo ni nini? Sababu sina ulemavu, mwonekano wangu ni wa kawaida, wakiitwa ma handsome siwezi kutoka, lakini pia wakiitwa wabaya pia siwezi kutoka, ni wa kawaida.

Siku ya kuondoka Arusha, tukawa na ugomvi mkubwa sana kwamba nakosaje aibu kiasi kile, kuzunguka na mdogo wake hadi watu kunielewa vibaya, kiasi kuwa akakataa kabisa kwa hasira shemeji asije na sisi Dar maana huwa tunaishi nae, hadi wazazi wao walipomuamuru akakubali.

Tabia hii imenichosha sana kufikia hatua najiona sina thamani, tukienda harusini au outing ya pamoja na marafiki pamoja na waume zao utashangaa kila nikitaka kuchangia mada ananiminya mkono nisizungumze labda nitaongea jambo la kumuaibisha wakati mimi kwanza sio muongeaji, waume wa marafiki zake wataongea wee mimi nipo kimya, mimi nikichangia tu ni ugomvi, ananikosoa mbele yao kila nalochangia tena kwa kunishushua, hivyo nakaa kimya muda wote hadi wengine waulize mbona huongei.

Nilishajiuliza huenda huwa naongea pumba, hata hivyo hapana, mimi huwa ni mtu mwenye kuchagua maneno sana kabla ya kuongea.

Sasa naomba mnisaidie mawazo, tatizo ni nini hasa? Ni suala la muda mrefu hivyo nimeshachoka, nataka kufanya mabadiliko, nahitaji mke mwenye kunithamini na ambae yupo proud of me nahisi huyu hanipendi Ingawa tuna watoto wawili.

Nawasilisha kwenu
Labda wewe ni mfupi, wanawake wangi hawapendi kuongozana na wanaume wafupi.
Na ndio unapo jua kuwa baadhi ya wanawake wanaolewa kwasabu ya Shida zao tu
 
Inaonekana hayo mambo unafanyiwa sehemu public...hujatuelezea tabia yake mkiwa ndani ya zile kuta 4....huwa unanyimwa? Kama huko pia hadi utongoze, ujue huna chako mkuu!
swali la muhimu hili atujibu
 
Pole sn, inaonyesha unampenda sn kuliko akupendavyo, chakufanya badirika acha kujipendekeza kwake fanya mambo yko.. Usionyeshe kumjari mpaka atajisitukia mwenyewe na lazma atakuuliza, ndipo umchane kila kitu...
 
fanya utafiti wa kina utagundua nini tatizo! na usipende sana kumnyenyekea kila kitu baby why,baby sorry! wewe tayali ni mume angalia usije pinduliwa kama nkulunzinza yeye akawa kichwa wewe ukawa umeolewa!
duh mkuu inaonekana wewe mbabe sana! nkurunzinza ngangari bro alipinduliwa ila akarudi,
 
There's ZERO affection in public

If he recoils from your kiss like you have a permanent gaping cold sore every time you go outside, what's his problem? Don't take the 'I'm just not a PDA (Public Displays of Affection) kind of guy' excuse.

Holding your hand or touching your arm isn't like going at it on the table in front of the whole freaking pub. If he isn't proud to let others know you're his girlfriend, he shouldn't have one.
A Sign You're In A Dead End Relationship (And Need To End It NOW)
 
nahisi huyu ndugu yetu hana hata mkoko.safari zao ni za mguu na daladala.ushauri wangu atafute hela heshima itarudi! kapendwa Mengi na uzee ule sembuse ndugu yetu hapa hata wajukuu hana.Mwaisa jamaa hapa hana kisu kikali ndio shida.ulofa ni.gharama.
akavunje bank? hela kuzitafuta ni process sio kama unaenda msituni kuchuma majani
 
akavunje bank? hela kuzitafuta ni process sio kama unaenda msituni kuchuma majani
Changia maada! majibu yangu yalikuwa kwa mtoa mada na malafyale.Maswala ya kubomoa benki sijaongelea mimi.
 
HAHAHA AISEE INAELEKEA KUNA JAMBO ZITO SANA NYUMA YA HII HABARI WEWE HUJAJUA TUU..MDADISI TARATIIB IPO SIKU ATAFUNGUKA IKIBIDI MUHOJI MKIWA KWENYE GEGEDO TENA KAKOLEA ANAKARIBIA KUKWEA KALE KA MLIMA KA MARAHA UKIONA ANAKUTOLEA NJE KUJIBU WAKATI HUO FANYA KAMA WATAKA KUMKATISHA UTAMU ATAKWAMBIA TUUUU HAHAHAHA UWII MAGU YUKO WAPI ANIKAMATE MUDA WA KAZI NAANDIKA MAMBO HIZI😱😱😱
Sipendagi hii kuulizwa maswali muda wa kugegedwa mmh, ila suggest kutoka out kwendraaa mahali for maongezi muda wa kugegeda ni kugegeda tuuu
 
Hahaha nimecheka kama mazuri!

Kwanza nianze na disclaimer. Binafsi i love flaunting my man around, kwa sababu siwezi kutoka na mwanaume ambae i am not proud of.

Hisia zangu ni kuwa huyu dada hakuwa hivi mwanzo. Atakuwa alimpenda kwa dhati huyu mtoa mada lakini ikafika mahali akawa hayuko proud tena na mumewe. Na suspicion yangu ya kwanza ni kuwa mwanaume anafanya ujinga (labda wa kuwa na affairs) hadharani kiasi kwamba dada anaona aibu kuitwa mke wa fulani.

Mahusiano ni mtihani. Ila mtihani mkubwa ni mwenza kutokuwa proud na wewe. Kama huwezi kurekebisha hiyo kasoro iliyomfanya aanze kukukimbia, jiandae kisaikolojia manake anakupigia mahesabu ya kukuacha aisee. Kama hujui sababu muulize mdogo wake ama rafiki yake wa kike. Wanaume huwa hawaoni sababu za wazi kabisa. Niamini, mwanamke hawezi kukukimbia kwa sababu ya muonekano ila kwa sababu ya how you make her feel.

Afu wewe The Boss, unanichimba eeh!

Jamani mdada upogooo??????
 
Hapo kuna mengi
1. Huenda mkeo hakupendi na hakuwahi kukupenda ila alijilazimisha tu kuolewa akihofia kudoda. Pia shinikizo la ndugu marafiki na ile dhana utampenda taratibu humohumo kwenye ndoa. Kajitahidi tu ila uvumilivu umemshinda.

2. Hufanani na company yake. Aidha elimu, muonekano au kipato. So anakuona upo chini sana kwenye kundi la mashemeji zake.

3. Huenda una katabia ka ubishi au ujuaji sana ila bila kujua unajikuta unamwaga pumba tu. Inamfanya asikuamini kwenye maongezi ya watu wengi hasa anaowaona ni 'classy'

Angalia katika hayo utapata jibu.

Ukipata jibu utajua cha kufanya.
 
mkuu pole sana ila jaribu kuangalia nguo unazovaa,jinsi unavyoongea na pia angalia aina ya marafiki alionao huenda ikawa hubadiliki upo kizamani zamani sana
 
Wewe nimekununia. Yaani nikakukalia matanga kabisaa. Kufuta hii uje na mbuzi anaetembea na kichane cha ndizi mshare

Hahahaha.... Jamani ukininunia si ntakonda mie mr agome kuongozana na mimi lol..... yaan mekumiss mpk naumwa khaaaa! Mbuzi, kichane vyote umepata, sema kingine na roho yangu itapona
 
Back
Top Bottom