Mke wangu hapendi kuongozana na mimi barabarani

Mke wangu hapendi kuongozana na mimi barabarani

Kama ni muonekano rekebisha
Mavazi- vaa nguo zinazoendana na mwili wako.
Zisiwe manguo makubwa au vibano.

Usafi- Kuoga na kujisafisha kwa ujumla.
Harufu ya mwili, miguu, mdomo. Nukia ila harufu nayo isiwe ya kukera.

Kwenye maongezi penda kujifunza zaidi kuliko kubishana.
 
Jibu ni moja tu mkuu.... huna hela wewe Tafuta helaaa Tafuta helaaa.. heshima itarudi. Najua nimeongea kwa ukali ila ndo ukweli japo ni mchungu.
 
Tatizo huwa mnatongoza mkiwa 'fake' kwenye maisha ya tamthilia siku mkirudi kwenye maisha yenu halisi lazima mkimbiwe....mbaya zaidi ulitumia pesa kama ulimbo.
 
kaka hiyo ndoa unaonekana wewe ndo umeilazimisha inabidi uanze kuwa ngangari inaonekana unampenda kuzidi anavyokupenda
anakuone wewe sio type yake na bila shaka mpka sasa yeye anatype yake anagegedwa mdogomdogo
saasa cha kufanya naomba umpotezee kabisa ukifika nyumbani fanya mambo yako. mkitaka kutoka toka wewe fanya kila kitu mwenyewe
hahahaha,,mkuu akifanya yake huyu jamaa watamzika siku si zake..anaonesha anamapenz mazito ase

ila mtoa mada utakua ulifanyaga / au ulikua skanky balaa ..sasaa umetulia na mwenzio anakuogopa
 
Mie nilishqkumisi hadi nikazoea.
Shida ya mwisho uje na Arushaone.

Sasa ukikonda hadi mkia ukapotea sijui mume anapitaje na weww barabarani. Utashaa! Ngaleloooh!
Hahahaha.... Jamani ukininunia si ntakonda mie mr agome kuongozana na mimi lol..... yaan mekumiss mpk naumwa khaaaa! Mbuzi, kichane vyote umepata, sema kingine na roho yangu itapona
 
unavaaje?kama Kofi Olomide?


images%207_zpsu8qraupt.jpg


images%208_zpsbunzqnae.jpg



images%209_zpstre7clyx.jpg
 
Kuna uwezekano haujatueleza ukweli kuhusu tabia yako pia. Mara nyingi Wake wenye tabia Kama ya mkeo inatokana na wanaume kuwa Malaya kupita kiasi ndio maana inapelekea Mke kuona aibu na kujisikia unyonge katika jamii haswa mkiwa mmeongozana.
Kuna jirani yangu alikuwa ana tatizo Kama hilo, lakini yeye alikuwa anatafuna mpaka madada wanaouza Bar mtaani na wadada wa kazi wa majirani zake na MKE wake alikuwa anatambua hilo. Sasa niambie hapo mke atakuwa na hamu kweli ya kuonekana nae mtaani au kwenye jamii!!?? Kuna muda huwa hatuwatendei Haki wake zetu.
 
Njia pekee unayoweza kupata jibu kwenye hili ni kwa kuzungumza na mkeo katika hali ya upole, mwambie ambavyo hufurahishwi na hiyo tabia na ungependa kujua shida ni nini ili ujirekebishe, asipokupa jibu jaribu kuwauliza marafiki wa kike wanaokufahamu personally wakueleze wewe ni mtu wa aina gani? Kuanzia muonekano,mavazi na kauli zako. Nina uhakika baada ya hapo utapata pa kuanzia.
Anavyokutreat mkeo sio sahihi hata kidogo lakini pia huenda ameshajaribu kukushape uendane na jinsi anavyopenda lakini wewe ndio mbishi eg.labda mavazi unayopendelea kuvaa hayapendi but akikuchagulia mavazi mengine unakua mbishi, labda ukiongea mbele za watu kuna kauli mbaya hua unatoa ndo maana hua anakuminya usiongee anyway hizi zote niassumptions wanaokufahamu ndio wanaweza kukupa majibu sahihi
 
Nashukuru sana ndugu.
Mungu akufanyie wema kwenye ndoa/mahusiano yako
Nikiwa kama mwanaume mwenye mke, dada na kuelewa Kwa kituo michango yako.
Kwa lugha iliyo nyepesi naikubali michango yako kwenye mada hii.
 
Shkamoo blaza.
Shkamoo tena!
Kuna uwezekano haujatueleza ukweli kuhusu tabia yako pia. Mara nyingi Wake wenye tabia Kama ya mkeo inatokana na wanaume kuwa Malaya kupita kiasi ndio maana inapelekea Mke kuona aibu na kujisikia unyonge katika jamii haswa mkiwa mmeongozana.
Kuna jirani yangu alikuwa ana tatizo Kama hilo, lakini yeye alikuwa anatafuna mpaka madada wanaouza Bar mtaani na wadada wa kazi wa majirani zake na MKE wake alikuwa anatambua hilo. Sasa niambie hapo mke atakuwa na hamu kweli ya kuonekana nae mtaani au kwenye jamii!!?? Kuna muda huwa hatuwatendei Haki wake zetu.
 
Back
Top Bottom