Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Piga chini huyo mke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwe fala basi.... Ndoa sio umalaya mkuuukute amekalia mhogo huko mwenzio,,, hahaha pole
Huna huruma na mwanamke mwenzako mweeeh8Piga chini huyo mke
Apige chini tu wanawake tupo wengiHuna huruma na mwanamke mwenzako mweeeh8
Kwa roho yako hii hunatofauti na mke wa jamaa🤣🤣Apige chini tu wanawake tupo wengi
Wewe penda tu kama unapenda, usingoje kupendwa in return.Mko fresh watu wa Mungu?
Nimepanda basi la angani toka saa 12 asubuhi kuja mwanza kikazi.lakini cha kustaajabisha mpaka sasa saa mbili kasoro usiku kwa saa za Afrika Mashariki wife hajanipigia kuniuliza kama nimefika salama or not!
Hivi napendwa kweli hapa wazee wenzangu?
Anaesafire=Anaesafiri.Wewe penda tu kama unapenda, usingoje kupendwa in return.
Anaesafire ndiye anatakiwa awajulishe kama kafika salama sio yeye atafutwe.
Mko fresh watu wa Mungu?
Nimepanda basi la angani toka saa 12 asubuhi kuja mwanza kikazi.lakini cha kustaajabisha mpaka sasa saa mbili kasoro usiku kwa saa za Afrika Mashariki wife hajanipigia kuniuliza kama nimefika salama or not!
Hivi napendwa kweli hapa wazee wenzangu?
Mko fresh watu wa Mungu?
Nimepanda basi la angani toka saa 12 asubuhi kuja mwanza kikazi.lakini cha kustaajabisha mpaka sasa saa mbili kasoro usiku kwa saa za Afrika Mashariki wife hajanipigia kuniuliza kama nimefika salama or not!
Hivi napendwa kweli hapa wazee wenzangu?
HupendwiMko fresh watu wa Mungu?
Nimepanda basi la angani toka saa 12 asubuhi kuja mwanza kikazi.lakini cha kustaajabisha mpaka sasa saa mbili kasoro usiku kwa saa za Afrika Mashariki wife hajanipigia kuniuliza kama nimefika salama or not!
Hivi napendwa kweli hapa wazee wenzangu?
Wanawake hawana utu anachotaka ni pesa zako ila kuhusu wewe hawana mda na kama ulioa super star ndio utakoma kuzaliwa.Mko fresh watu wa Mungu?
Nimepanda basi la angani toka saa 12 asubuhi kuja mwanza kikazi.lakini cha kustaajabisha mpaka sasa saa mbili kasoro usiku kwa saa za Afrika Mashariki wife hajanipigia kuniuliza kama nimefika salama or not!
Hivi napendwa kweli hapa wazee wenzangu?
Inategemea na mlivyozoeshana
Wangu hata asafiri week
Namtafuta hela ikiisha
Mwanamke ambaye haoneshi mahaba kwako ni mzigo wa msumari tu😅 anakera mno. Possibly hana upendo na wewe wanawake wakipenda wakogi so caring yaniMko fresh watu wa Mungu?
Nimepanda basi la angani toka saa 12 asubuhi kuja mwanza kikazi.lakini cha kustaajabisha mpaka sasa saa mbili kasoro usiku kwa saa za Afrika Mashariki wife hajanipigia kuniuliza kama nimefika salama or not!
Hivi napendwa kweli hapa wazee wenzangu?
Kuna kila dalili kuna mwamba anakula asali ya mtoa mada. Mwanamke asiyejali kiasi hiko maana yuko kimaslahi zaidi.Duh! JF ukija kichwa kichwa, kama ulikua unataka kujiua kwa vidonge unaeza ahirisha ili utafte kamba ujinyonge kabisa.
Hata kama mke wa mtoa mada kapatwa matatizo, sa hv jamaa anawaza kua mkewe analiwa kimasihara.
Anyway ndo maisha, we umepanda ndege ye kapanda mtarimbo.
Usisahau kuleta uzi wa vurugu after kurudi
Wewe inaonesha umpendi Mume wako au umri ndio inachangia usiwe mtu wa hivyoInategemea na mlivyozoeshana
Wangu hata asafiri week
Namtafuta hela ikiisha