Mke wangu hata hanijali. Nimesafiri toka asubuhi lakini hajaniuliza kama nimefika

Mke wangu hata hanijali. Nimesafiri toka asubuhi lakini hajaniuliza kama nimefika

mmezoea kuongea muda wote?

Mana wengine hadi unakula nini ama ndo maongezi yetu...


Mpigie mwambie nilifika salama..mmeshindaje home? Na unafanya nini hapo saivi?talk abt evrythng
 
Nipe no nimuulize tatizo ni nini kama unapendwa au niaje
 
Mko fresh watu wa Mungu?

Nimepanda basi la angani toka saa 12 asubuhi kuja mwanza kikazi, lakini cha kustaajabisha mpaka sasa saa mbili kasoro usiku kwa saa za Afrika Mashariki wife hajanipigia kuniuliza kama nimefika salama or not!

Hivi napendwa kweli hapa wazee wenzangu?
Kupenda ni jukumu lako ww!
Yeye anapaswa tu kukutii😊
 
Mko fresh watu wa Mungu?

Nimepanda basi la angani toka saa 12 asubuhi kuja mwanza kikazi, lakini cha kustaajabisha mpaka sasa saa mbili kasoro usiku kwa saa za Afrika Mashariki wife hajanipigia kuniuliza kama nimefika salama or not!

Hivi napendwa kweli hapa wazee wenzangu?
Njoo mim nikuulize pole na safar
 
Kama hajakuukiza wewe mwambie kua umefika salama .. ila siku ya kurudi usimwambie kama unarudi wewe msuprise. But uwe na kifua kizito
 
Mko fresh watu wa Mungu?

Nimepanda basi la angani toka saa 12 asubuhi kuja mwanza kikazi, lakini cha kustaajabisha mpaka sasa saa mbili kasoro usiku kwa saa za Afrika Mashariki wife hajanipigia kuniuliza kama nimefika salama or not!

Hivi napendwa kweli hapa wazee wenzangu?
kwani wewe umepiga 😁 😁
 
Kuna kila dalili kuna mwamba anakula asali ya mtoa mada. Mwanamke asiyejali kiasi hiko maana yuko kimaslahi zaidi.
Rafiki usimpanikishe mwenzako bwana , aanze yeye kupiga amuambie alifika salama mengine yatajulikana.
 
Mpigie mkuu omba kuonge na mtoto wako yey acha nae tu Dil na watot tu
Mwache mtu aliyetokea kwenye familia nyingine wee mpigie akupe wanao muongee
 
Back
Top Bottom