KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Kupenda ni jukumu lako ww!Mko fresh watu wa Mungu?
Nimepanda basi la angani toka saa 12 asubuhi kuja mwanza kikazi, lakini cha kustaajabisha mpaka sasa saa mbili kasoro usiku kwa saa za Afrika Mashariki wife hajanipigia kuniuliza kama nimefika salama or not!
Hivi napendwa kweli hapa wazee wenzangu?
Utauwa mtu wa presha Aiseeukute amekalia mhogo huko mwenzio,,, hahaha pole
Njoo mim nikuulize pole na safarMko fresh watu wa Mungu?
Nimepanda basi la angani toka saa 12 asubuhi kuja mwanza kikazi, lakini cha kustaajabisha mpaka sasa saa mbili kasoro usiku kwa saa za Afrika Mashariki wife hajanipigia kuniuliza kama nimefika salama or not!
Hivi napendwa kweli hapa wazee wenzangu?
🤣🤣🤣🤣Kama ulikuwepo
Hatunaga mambo mengi
Mfano Kama kaenda zake kujipumzisha nianze kumkata mood na Simu yangu !
kwani wewe umepiga 😁 😁Mko fresh watu wa Mungu?
Nimepanda basi la angani toka saa 12 asubuhi kuja mwanza kikazi, lakini cha kustaajabisha mpaka sasa saa mbili kasoro usiku kwa saa za Afrika Mashariki wife hajanipigia kuniuliza kama nimefika salama or not!
Hivi napendwa kweli hapa wazee wenzangu?
Rafiki usimpanikishe mwenzako bwana , aanze yeye kupiga amuambie alifika salama mengine yatajulikana.Kuna kila dalili kuna mwamba anakula asali ya mtoa mada. Mwanamke asiyejali kiasi hiko maana yuko kimaslahi zaidi.
Wewe inaonesha umpendi Mume wako au umri ndio inachangia usiwe mtu wa hivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa.Inategemea na mlivyozoeshana
Wangu hata asafiri week
Namtafuta hela ikiisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimemuonesha wife hii thread alichonijibu sasa....eti
"Wanaume wenzako wanasafiri huko wewe kutwa upo tu hapa kunichunga chunga"
baada ya kunionea huruma..we unanicheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]