Kama mmezoeshana kutafuta hebu mtafute huenda anatatzo au lah kunakitu hakiko sawa nyumbani pia mambo ni mengi wakati mwingine lkn jifunze kufikiria positive wakt wote juu ya mkeo itakusaidia
[emoji23][emoji23]Ila majibu ya waja wa humu unaweza kujinyonga[emoji23]