Curtis G
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 415
- 544
😆😆 Umewaza kama mm!!Mtiririko wa mwandiko na uwasilishaji ni kama wa GENTAMYCINE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆 Umewaza kama mm!!Mtiririko wa mwandiko na uwasilishaji ni kama wa GENTAMYCINE
Nimekupenda bila gharama yoyote ile,..Una uhakika unajutia?
Una hakika unauhitaji msamaha na hautorudia?
Itakuwa yeye maana baada ya kukanusha kapaniki balaa NDRUUUKI😆😆 Umewaza kama mm!!
Jifunze kuacha Unafiki.Ha ha ha. Mbona kama umepaniki kiongozi, nilikuwa natania tu
Kama hautasema kosa ulilomfanyia basi inaonekana bado haujajutia kosa ulilomfanyia hivyo basi kusema kosa kisaikolojia ni sehemu ya kuponya majeraha yako ya moyo. Nakushauri kaa kimya kwanza muache na yeye ajitafakari hata miezi sita usimbuguzi naami baada ya kipindi mtapona majeraha yenu atakubali kurudi nyumbani chochode kujutia kosa ni sehemu ya msamah
wewe hujui ke. Hili jamaa limesharogwa na kula zileeee dawa zao nakwambia kiroho papo usiombe kurogewa limbwata la damu.Vuta subira tu mzee.. Hata yeye huko aliko, ndani ya miezi mitatu atakuwa ameteseka na kutokuwepo kwako---Sema atajidai dai kukaza, we utampotezea kidogo----Then atajileta.
As long as una watoto, hakuna la kuogopa. Labda kama yeye ndo main provider wa ndani ya nyumba yako, ikiwa hivi i can not guarrantee cz psycholojia ya hawa dada zangu wanaijua wenyewe wakiyapatia maisha.
Yote tunafanya na kuweza kwa utukufu wa Bwana dada.Nimekupenda bila gharama yoyote ile,..
allah!! Kumbe km humtaki ke dawa yake muombe msamaha fake!!Ukimuomba msamaha ndiyo unaharibu, huyo atakuwa Ana kazi na anaona anajiweza kuishi na wanawe,
wanawake wengi wenye kazi wakishazaa watoto wawili wanatamani kuwa single mother bila sababu za msingi.
Cha kufanya kuwa kimya na usimtafute hata kidogoo atajiona mjinga atarudi Ila ukizidi kumtafuta na kukuomba masamaha ndiyo kiburi kinamzidi.
Hahahaha huyo saizi yako kabisa.funguka bana usaidiwe mi wa kwangu anakulala kila housegirl ninae mleta. tunaishi kwenye nyumba niliojenga mimi, so siwezi pakimbia. nimepeleka shauri mahakamani tolewe kwa nguvu nyumban. hata nimchambe vip nyumabani kagoma kutoka
Namnyandua mimi mkuuBraza kama huwezi kushauri kaa kimya. Anyanduliwe na nani,haiwezekani
Nikupe Siri moja ndogo sana mwanamke huwa haingii kwenye mahusiano kama mwanaume, mwanamke anasikiliza hisia zake za ndani ili aweze kumkubali na kumpenda mtu ivyo nenda taratibu ukimuachia nafasi ajitafakari jitahidi kumuanyesha umejuta na yeye kwako ni wa dhamani sanaLakini muda ukipita sana kuna uwezekano akaanzisha mahusiano mapya na yakajiweka mizizi kiasi kwamba kuja kuamua kurudi kwa jamaa itakuwa ngumu.
Mtengenezee matatizo vibaka wapite na pochi na simu alafu kazini tafuta mtu amtie fitina la nguvu akikaa wiki mbili tuma vibaka nyumbani kwake aibee nguo na viatu vyote kama kuna hospital mnatumua ongea na doctor mtoto akiumwa hata na vimafua doctor amtishe mtoto ana mawazo yanayomsumbua anaweza pata tatizo kubwa mbeleni ahaa atarudii tu Mume ni kiongozi,mlinzi,mfadhili,mshaurii na muhudumiaji