Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?

Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?

Huyu n Joka mkuu,juz kaja na sired kapasuliwa mingumi na pepo guest hadi kukaribia kukata moto,naona wife kaujua ukwel kafanya maamuzi magum
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] alimwambia pepo yeye hawaogopi...kichapo alikipata
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] alimwambia pepo yeye hawaogopi...kichapo alikipata
Hahhahah!baada ya pepo kushindwa kung'oa abdalah kichwa wazi limeamua kwenda kumuharibia kwa wife na ndo anakuja huku kutafuta public sympath
 
Braza kama huwezi kushauri kaa kimya. Anyanduliwe na nani,haiwezekani
Haiwezekani kivipi sasa kunyanduliwa! Kwani ulimuumba wewe? Ulijifanya Shababi!! Sasa utavuna ulichopanda!

Ukitaka urudiane nae, tumia njia hii!! Mtumie ujumbe wa kumpa siku 2 tu za kurudiana na wewe. Na asipofanya hivyo, mwambie utajinyonga!!

Na asipokuja, basi hakuna namna! Jinyonge tu mkuu. Maana hutajisikia vizuri kuona JITU LA MIRABA MINNE likijitafunia tu my wife wako.
 
Vuta subira....

Atarudi huyo,
Mpe tu muda.
Wanawake wanaweza vumilia hata mwaka hawajagongana , sio kama sisi wanaume, kuwa na aman mkeo hajagongwa bado.

Huu ni muda ambao unatakiwa kuonyesha umejutia jambo ulilofanya.

Je jitihada gan umechukua?
Unahizi hizo jitihada zinatosha?
 
Ukimuomba msamaha ndiyo unaharibu, huyo atakuwa Ana kazi na anaona anajiweza kuishi na wanawe,
wanawake wengi wenye kazi wakishazaa watoto wawili wanatamani kuwa single mother bila sababu za msingi.
Cha kufanya kuwa kimya na usimtafute hata kidogoo atajiona mjinga atarudi Ila ukizidi kumtafuta na kukuomba masamaha ndiyo kiburi kinamzidi.
Usimdanganye mwezio inategemea na kosa. Eti wenye kazi! si mnajijua hamjatulia nyie oeni wasio na kazi basi muwanyanyase mtakavyo..
 
Habari wakuu wa kaya. Iigweee

Nina account humu ila imebidi nifungue nyingine sababu tunafahamiana na baadhi ya watu humu na mimi ni mjuaji yani mbele za watu napenda kuonekana mwanamke hawezi kunipelekesha.

Nimemkosea mke wangu wa miaka 7 ya ndoa. Miaka 7. Tuna watoto wawili. AMEGOMA KUNISAMEHE AMEONDOKA, NAUMIA KUWAZA KUNA MWANAMME ANAWEZA KUMMLIKI.

Msinishauri nijikaze,siwezi siwezi siwezi kuona kuna mwanaume atakuja kuwa anatambulika kama baba au uncle kwa wanangu, nasema siwezi.

Ameacha kila kitu nyumbani ina maana kuna mtu ataenda kumnunulia vingine au? Nimejenga ila sioni faida ya kuishi kama watoto wangu hawazunguki nyumbani hapa na kelele zao.

Siamini kuzaa nje ovyo ovyo najua madhara yake. Nifanyaje arudi mama Doreen wangu. Amenivumilia mno. Najisikia vibaya sana naishi kama mhuni tu nyumbani. Nifanyeje arudi. Nizeeke mwenyewe au mtu mpya hapana hapana.

Mtakaotukana tukaneni tu. Nahitaji njia za kumrudisha. Yupo kwao
Mlogee
 
Jokajeusi yamekukuta tayari,we rud na Id yako ile tuliokuzoea nayo ambayo kutwa kucha ni kuwasema ambao hawajaoa bikra
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwana kuli find mwana kuliget
 
Huyu n Joka mkuu,juz kaja na sired kapasuliwa mingumi na pepo guest hadi kukaribia kukata moto,naona wife kaujua ukwel kafanya maamuzi magum
Na jinsi alivousufia mchepuko loh
 
Inategemeana na alipoenda, Mwanamke anayeheshimu ndoa akiondoka anaenda kwa wakwe, yaani kwenu. Kinyume na hapo uwezekano wa ......... ni mkubwa.

Kama hayupo kwenu we endelea kukaa hapo ukisubiri msamaha, atakusamehe ndio maana ni mume na uwezekano wa kuolewa tena ni mdogo sana, ila sasa.
Hivi wanawake wa hivi bado wapo kweli?kwamba akiudhiwa anaenda kwa wakwe?
Hawa waandikwe kwenye bible kama wapo
 
Haiwezekani kivipi sasa kunyanduliwa! Kwani ulimuumba wewe? Ulijifanya Shababi!! Sasa utavuna ulichopanda!

Ukitaka urudiane nae, tumia njia hii!! Mtumie ujumbe wa kumpa siku 2 tu za kurudiana na wewe. Na asipofanya hivyo, mwambie utajinyonga!!

Na asipokuja, basi hakuna namna! Jinyonge tu mkuu. Maana hutajisikia vizuri kuona JITU LA MIRABA MINNE likijitafunia tu my wife wako.
[emoji23][emoji23] mtu aliyeniuzi akinitishia hivo namsaidia hyo process ya kujinyonga
 
Hivi wanawake wa hivi bado wapo kweli?kwamba akiudhiwa anaenda kwa wakwe?
Hawa waandikwe kwenye bible kama wapo
Wapo, na ndo mke anavyotakiwa kuwa. Mke anatakiwa kuwa na Discpline na kufuata taratibu na utii wa kiapo chake.

Hata kwenye kuivunja ndoa asiyoitaka, anaenda kwa wakwe kisha anawasiliana na wazazi wake waje wamkuchukue hapo.

Kinyume na hapo umeoa malaya tu Unless amepima akaona hakuna usalama ndipo atawajulisha wazazi wake na wazazi wake watazungumza na wakwe kuwa mtoto wapo naye.
 
Wapo, na ndo mke anavyotakiwa kuwa. Mke anatakiwa kuwa na Discpline na kufuata taratibu na utii wa kiapo chake.

Hata kwenye kuivunja ndoa asiyoitaka, anaenda kwa wakwe kisha anawasiliana na wazazi wake waje wamkuchukue hapo.

Kinyume na hapo umeoa malaya tu Unless amepima akaona hakuna usalama ndipo atawajulisha wazazi wake na wazazi wake watazungumza na wakwe kuwa mtoto wapo naye.
Mkuu kwahiyo mkigombana wife wako huwa anaenda kwa wazazi wako kutafuta suluhu?
 
Ni aibu nilichofanya ila sihitaji mwanamke yeyote. Mke wangu nimeanza nae mbali sana tokea hatuna kitu. Siwezi kuruhusu tu mtu mpya kirahisi ana stahili kufurahia matunda ya nyumba sababu alikuwepo kipindi cha ku struggle
Pole sana. Akirudi utulie la sivyo Petrol itakuhusu
 
Back
Top Bottom