Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ulimgegeda nani yake kwani?Kakaza kishenzi na hana mpango kuna mtu juu hapo kasema akitokea boya mmoja akam sound isha ndio itakuwa kimoja. Na wanawake wakipenda si ndionimetoka tena ndugu nahaha tena kama watoto waliobalehe
Ujue ukisema kosa tutajua cha kukushauri make suluhu hazifanani kwa makosa yote.
Kuna makosa yanahitaji maombi, mengine vikao, mengine kuroga, mengine kujipa muda wakati huo kuna mengine mkijipa muda ndio atabanduliwa, mengine yanahitaji utembee na magoti hadi kwao....
Kwakifupi unatupa tabu sisi wataalamu wa ushauri na mahusiano 😁