Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume wajifunze na kuepuka kuumiza wake zao, maana wanawake huwa hawasamehi kirahisi ila huzoea maumivu siku akiondoka utajutaYani mwanamke anaweza kukaa maiaka na miaka.Kimya, analia na kusihi tu.
Siku anaamua kureact, hutaamini ni yule alikuwa anajiliza Liza hapo unajidanganya hana la kufanya.
Aseeh.
kabisa, mtu mnakuta mmeshajenga na nyumba watoto wanaishi kwa furaha viiugomvi kidogoo tu mtu anabeba watoto anaondoka, na wanawake wengi wa hivi ukichunguza wengi wao utakuta Wana kazi au kwao wanakauwezo!Ushauri nzuri huu unafanya kazi ukiuapply
ndugu yangu ondoka mana petrol iatakuhusu pundekabisa, mtu mnakuta mmeshajenga na nyumba watoto wanaishi kwa furaha viiugomvi kidogoo tu mtu anabeba watoto anaondoka, na wanawake wengi wa hivi ukichunguza wengi wao utakuta Wana kazi au kwao wanakauwezo!
yaan hapo ukitaka kubembeleza ni wewe ujifanye fala bwege bwege flan.
Ukweli ni kuwa wengi wenye ndoa za wanawake wanao fanya kazi huwa wanakufa na tai shingoni yaan asilimia kubwa ni majanga,Usimdanganye mwezio inategemea na kosa. Eti wenye kazi! si mnajijua hamjatulia nyie oeni wasio na kazi basi muwanyanyase mtakavyo..
ππππndugu yangu ondoka mana petrol iatakuhusu punde
"Kwakifupi unatupa tabu sisi wataalamu wa ushauri na mahusiano "Nimepapenda hapo.Ulimgegeda nani yake kwani?
Ujue ukisema kosa tutajua cha kukushauri make suluhu hazifanani kwa makosa yote.
Kuna makosa yanahitaji maombi, mengine vikao, mengine kuroga, mengine kujipa muda wakati huo kuna mengine mkijipa muda ndio atabanduliwa, mengine yanahitaji utembee na magoti hadi kwao....
Kwakifupi unatupa tabu sisi wataalamu wa ushauri na mahusiano [emoji16]
Oa mwanamke wa nyumbani ili akupe papa daily mkuuUkweli ni kuwa wengi wenye ndoa za wanawake wanao fanya kazi huwa wanakufa na tai shingoni yaan asilimia kubwa ni majanga,
Kabla ya ndoa na hamna watoto huwa mko poa Sana Ila baada ya ndoa na kuwa na watoto hata mapenzi tu ni shida,
si wote Ila wengi wenu ni tabu tupu.
Kuwa na kazi au na uwezo sio dhambi na mtu kuwa hana kipato sio ruhusa kumtesa dunia ya Sasa mtabaki kulia Lia, heshimuni ndoa zenu bana na mpebdane kupunguza kuudhianakabisa, mtu mnakuta mmeshajenga na nyumba watoto wanaishi kwa furaha viiugomvi kidogoo tu mtu anabeba watoto anaondoka, na wanawake wengi wa hivi ukichunguza wengi wao utakuta Wana kazi au kwao wanakauwezo!
yaan hapo ukitaka kubembeleza ni wewe ujifanye fala bwege bwege flan.
Mtoa mada keshasema amemkosea, na inaonekana kakosea mara nyingi, mwanamke akishachoka moyoni mwake na akakutoa kabisa hata awe na dhiki ya namna gani ataondoka tu ilimradi awe na amani....hayo ya kazi unayajua wewe, wapo wanawake wanaondoka hana A wala B, kwao hapasomeki lakini anaamua na hageuki nyumaUkimuomba msamaha ndiyo unaharibu, huyo atakuwa Ana kazi na anaona anajiweza kuishi na wanawe,
wanawake wengi wenye kazi wakishazaa watoto wawili wanatamani kuwa single mother bila sababu za msingi.
Cha kufanya kuwa kimya na usimtafute hata kidogoo atajiona mjinga atarudi Ila ukizidi kumtafuta na kukuomba masamaha ndiyo kiburi kinamzidi.
Shep yake itakuwa siyo ya mchezo, kubwa naona labda kufumania na wengi huwa sivyo ni Mambo ya kuzungumza tu Ila unakuta mwanamke kajawa na kiburi.Mtoa mada keshasema amemkosea, na inaonekana kakosea mara nyingi, mwanamke akishachoka moyoni mwake na akakutoa kabisa hata awe na dhiki ya namna gani ataondoka tu ilimradi awe na amani....hayo ya kazi unayajua wewe, wapo wanawake wanaondoka hana A wala B, kwao hapasomeki lakini anaamua na hageuki nyuma
Ni sawa, Ila mke wangu wa ndoa nimekukwaza narudi nyumbani haupo na watoto na nikagundua upo kwenu na hakuna aliye Nipa taharifa sikutafuti, naenda tu kutoa taharifa polisi ya kupotelewa na mke na watoto na sahau nitakuomba msamaha!Kuwa na kazi au na uwezo sio dhambi na mtu kuwa hana kipato sio ruhusa kumtesa dunia ya Sasa mtabaki kulia Lia, heshimuni ndoa zenu bana na mpebdane kupunguza kuudhiana
Ndoa ni zaidi ya sura na shape ya mtu, ni zaidi ya uhandsome ndugu kama kweli jamaa kakosea haijalishi habari za muonekano....wamejifunika shuka moja miaka7 na watoto juu! Mangapi wamevumiliana, ni mara ngapi amemkosea,Shep yake itakuwa siyo ya mchezo, kubwa naona labda kufumania na wengi huwa sivyo ni Mambo ya kuzungumza tu Ila unakuta mwanamke kajawa na kiburi.
hakuna mwaume anaoa kwa ajili ya papa Bali huwa ni swala la kujenga familia, papa hata usipo is unaweza pata Kila siku.Oa mwanamke wa nyumbani ili akupe papa daily mkuu
Hujaoa unaimagine tu izo situations.....sio rahisi kama unavoandikaNi sawa, Ila mke wangu wa ndoa nimekukwaza narudi nyumbani haupo na watoto na nikagundua upo kwenu na hakuna aliye Nipa taharifa sikutafuti, naenda tu kutoa taharifa polisi ya kupotelewa na mke na watoto na sahau nitakuomba msamaha!
Ila hapaswi kukimbia nyumbani Tena na watoto, anaweza kuondoka peke yake hasira zikaisha tukayajenga si kuwasumbua watoto!Ndoa ni zaidi ya sura na shape ya mtu, ni zaidi ya uhandsome ndugu kama kweli jamaa kakosea haijalishi habari za muonekano....wamejifunika shuka moja miaka7 na watoto juu! Mangapi wamevumiliana, ni mara ngapi amemkosea,
Nina watoto wanne ndoa Ina miaka 15 yote hayo nimeyapitia,Hujaoa unaimagine tu izo situations.....sio rahisi kama unavoandika