Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?

Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?

Ila hapaswi kukimbia nyumbani Tena na watoto, anaweza kuondoka peke yake hasira zikaisha tukayajenga si kuwasumbua watoto!
Mlinzi mkubwa wa watoto ni mama, mwanamke asokuwa na huruma moyoni mwake ndo atasikiliza hasira kuliko matunda ya uterus yake....mtoto ni kitu kingine aisee labda akurupushwe kwa kutaka kuuawa ktk kujinusuru ndo asiweze kubeba mtoto
 
Nina watoto wanne ndoa Ina miaka 15 yote hayo nimeyapitia,
Mwanamke ukimwendekeza Sana atakupanda kichwani, utambembeleza atarudi kosa kidogoo tena kabeba watoto kaondoka!
Ila akiona kimya mwenyewe atakutafuta.
Inategemea amevumilia mangapi labda wale wa kupenda kutangatanga...ila alovumilia maudhi miaka yote akiamua hatorudi hata usipomtafuta mwaka mzimaaaa
 
Mlinzi mkubwa wa watoto ni mama, mwanamke asokuwa na huruma moyoni mwake ndo atasikiliza hasira kuliko matunda ya uterus yake....mtoto ni kitu kingine aisee labda akurupushwe kwa kutaka kuuawa ktk kujinusuru ndo asiweze kubeba mtoto
si ungewatafuta mwenyewe bila mwanaume,
Hayo ni mawazo yenu na kuwatumia watoto Kama Kinga ya mwanaume akufate,
Ila kiujumla ndoa Ina Mambo mengi sana na kunahitaji busara zaidi kuliko hasira, na uzungukwe na washauri wazuri.
 
Inategemea amevumilia mangapi labda wale wa kupenda kutangatanga...ila alovumilia maudhi miaka yote akiamua hatorudi hata usipomtafuta mwaka mzimaaaa
Kama ni mwanamke wako wa ndoa na mna watoto akiondoka mnapo kwazana inapaswa kutulia na kuchunguza kwanz Nini kinampa kiburi Cha kuondoka kwake.
 
Kuna ndoa wamekaa miaka karibia arobain ila wameachana kwa talaka, wasichojua wanaume wanawake huwa tunavumilia maumivu hadi yanapoa tukishaanua inakuwa point of no return.

Ni kweli
Mleta mada haelewi huyo mkeo wazo la kuondoka lilikuwa kichwani
Alikuwa anavumilia vituko vyake sio kwamba mjinga alikuwa anatafuta nguvu ya kutoka hapo
Finally ameipata aisee huyo mama kurudi sijui utokee muujiza gani
Imeshawahi nitokea sijawahi kurudi nyuma njia zote za kubembelezwa zilitumika
Wanawake huwa tunajitoa taratibu sababu ya matendo ya wanaume
Huyo alijipanga huoni mpaka pesa anarudisha...
Pia uwezekano kosa ni kubwa this time limempa nguvu ya kuondoka mazima
 
Asante ndugu asante sana ishu ni tukiwa wote anatakaga sana sasa inakuwaje huko au anavumilia. Jmosi nataka kuktumia ndugu yake ampeleke sehemu kinguvu alafu nizuke

Hahah huu mwandiko wa ndugu yangu extrovert Au carlos [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unatumia fake id umeificha, umetafuta fake yake tena bado unashindwa kufunguka!!! Utakua umefanya makubwa sana.....umemgegeda nani yake waifu????
What if yeye ndo kagegedwa, mkewe kamfumania aliyekua anamuona dume la mbegu, baba wa watoto na yeye anachumishwa tembele,

#Naumwa Mafua jamani sitaki uchokozi na watu#

[emoji2440][emoji2440][emoji2440]
 
Ni sawa, Ila mke wangu wa ndoa nimekukwaza narudi nyumbani haupo na watoto na nikagundua upo kwenu na hakuna aliye Nipa taharifa sikutafuti, naenda tu kutoa taharifa polisi ya kupotelewa na mke na watoto na sahau nitakuomba msamaha!
Fresh.
Ndo msilete mehe mehe zenu humu
 
Nina watoto wanne ndoa Ina miaka 15 yote hayo nimeyapitia,
Mwanamke ukimwendekeza Sana atakupanda kichwani, utambembeleza atarudi kosa kidogoo tena kabeba watoto kaondoka!
Ila akiona kimya mwenyewe atakutafuta.
😂😂😂😂😂😂
 
Ni kweli
Mleta mada haelewi huyo mkeo wazo la kuondoka lilikuwa kichwani
Alikuwa anavumilia vituko vyake sio kwamba mjinga alikuwa anatafuta nguvu ya kutoka hapo
Finally ameipata aisee huyo mama kurudi sijui utokee muujiza gani
Imeshawahi nitokea sijawahi kurudi nyuma njia zote za kubembelezwa zilitumika
Wanawake huwa tunajitoa taratibu sababu ya matendo ya wanaume
Huyo alijipanga huoni mpaka pesa anarudisha...
Pia uwezekano kosa ni kubwa this time limempa nguvu ya kuondoka mazima
Mkewe wazo la kuondoka alikuwa nalo long time so alikuwa ana heal taratibu na kujiandaa kumtoa akili taratibu na wanawake tukishaamua haturudi nyuma kwa kweli hata iweje. Huyu mwanaume ajiandae kuwa single na huru kuchepuka
 
Nina watoto wanne ndoa Ina miaka 15 yote hayo nimeyapitia,
Mwanamke ukimwendekeza Sana atakupanda kichwani, utambembeleza atarudi kosa kidogoo tena kabeba watoto kaondoka!
Ila akiona kimya mwenyewe atakutafuta.
Wewe umeachwa na mke kwa comment's zako hizi loh
 
Ukweli ni kuwa wengi wenye ndoa za wanawake wanao fanya kazi huwa wanakufa na tai shingoni yaan asilimia kubwa ni majanga,
Kabla ya ndoa na hamna watoto huwa mko poa Sana Ila baada ya ndoa na kuwa na watoto hata mapenzi tu ni shida,
si wote Ila wengi wenu ni tabu tupu.
Ok ...kwa kuwa siyo wote🙏
 
Kakaza kishenzi na hana mpango kuna mtu juu hapo kasema akitokea boya mmoja akam sound isha ndio itakuwa kimoja. Na wanawake wakipenda si ndionimetoka tena ndugu nahaha tena kama watoto waliobalehe
Nenda atakesamehe yaani wewe unafaa sana.
Wanaume mkikosea fimbo yenu iwe huo mchezo ugomvi unaisha.
Wengine viburi kujifanya wagumu na wkt umekosea wewe ndo mnakuza ugomvi sasa.
 
Ni sawa, Ila mke wangu wa ndoa nimekukwaza narudi nyumbani haupo na watoto na nikagundua upo kwenu na hakuna aliye Nipa taharifa sikutafuti, naenda tu kutoa taharifa polisi ya kupotelewa na mke na watoto na sahau nitakuomba msamaha!
Sasa mwanamke Hadi kuondoka huwa hana cha kupoteza kabisa na hata kuaga hamna umuhimu. Hata huko Police watafanyaje wamfunge arudi kinguvu[emoji23][emoji23][emoji23] kah, police wenyewe yao yamewashinda loh. Love ikifa police hawataweza kukusaidia hata kidogo
 
hakuna mwaume anaoa kwa ajili ya papa Bali huwa ni swala la kujenga familia, papa hata usipo is unaweza pata Kila siku.
Siumesema waenda kaZini ni wasumbufu oa asiye fanya kazi uone. In short mahusiano hayakosi xhangamoto ila makosa ya kujirudia rudia makusudi ni hatari kuendelea na hayo mahusiano nfano umalaya wa mwenza wako daily
 
Siumesema waenda kaZini ni wasumbufu oa asiye fanya kazi uone. In short mahusiano hayakosi xhangamoto ila makosa ya kujirudia rudia makusudi ni hatari kuendelea na hayo mahusiano nfano umalaya wa mwenza wako daily
Una maneno makali sana kiufupi nimekosea kweli si mara moja yani mara nyingi kila aina ya jambo baya unalojua. Kiukweli kanivumilia yani atachukua mkopo anisaidie huku na kule japo yeye ana mshahara mdogo mpk tumetulia sasa hivi.

Niliamua kuuchuna kutomtafuta na yeye kimyakimya nimepeleka maua ofisini kwake asubuhi leo kuchunguza nasikia yamewekwa reception kwao. Kweli?? Huyu nani anamfundisha?hata kama amenichoka sio hivi. Nimemiss familia yangu kutoka moyoni,inanitesa sana hii nimepata uhuru wote duniani kuachwa lakini sitamani hata mijitu mingine da maishaaaa
 
Unaonekana kujutia,, pole sana bila shaka ushapata mwongozo.
 
Very wrong,am doing my 40s
Kikubwa,hujafunguka umekosea nini. Utajua mwenyewe maana kama umepevuka kama unavodai then mkeo hakutaki jua wewe kubwa jinga tu.
You sound like a teenager. This post is for martured men braza wenye heshima zetu ambao hat tukithubutu ku cheat,mke tunamuheshimu. Nyie wa kukaa kuangalia mipira bar hapa hapakufai kabisa
 
Back
Top Bottom