Mke wangu hatimizi majukumu yake ya nyumbani ipasavyo

Ndug mleta mada ni kupe pole.
Mara nyingi changamoto za kwenye ndoa huwa hazikosekaniki, kama mwanaume unabidi uzikabili kwa sababu mwanaume ndie apaswae kuwajibika kuisimamisha ndoa na familia yake.
Mtu ambae mmekutana ukubwani maranyingi madhaifu huwa hayakosekaniki ndio maana kukawepo na kipengele cha kuvumiliana na kuchukuliana kwa upole na jitihada za kubalance hizo changamoto ziendane.
Nadhani ndio maana kuna neno kuoana, maana yake wewe unabeba yake na yeye anabeba yako.

Lakin pia jitihada za kuelimishana yale yalipungua sana yakae sawa na yale yaliozidi sana yawe sawa pia.

Kwa changamoto ulizozibaini kwa mwenzi wako unaweza kuzi badilisha kidogo kodogo mpaka pale yeye atakapoona kumbe nimepungua nijisahihishe ili kuendana na mwenzangu.
Hii unaweza kulifanya bila ya kutumia nguvu na bila ya shari pande zote.

Mwanadu akili yake imeindwa katika hali ya kujifunza daima, iwapo tu atapatikana mkufunzi mzuri.

Kwa hivyo kuwa mwalimu bora kwa mkeo, kule kuyabaini mapungufu yake ndio mwanzo wakujua namna ya kumbadilisha awe namna unavyotaka.

Unaweza kuanza kufanya wewe kile ambacho angepaswa afanye yeye, hali ukimueleleza kwamba hivi ndivyo ikupasavyo kufanya, nenda namna hio hatua kwa hatua, kwa upole na inyenyekevu , naamini kabisa atabadilika tu, lau asipobadika isikate tamaa bali iwe kama changoto ikupasayo kuenda nayo mpaka makusudio ya Mungu.

Nakutakieni yote mema.
 
Umenena vyema kama mtu ambaye upo matured. Sisi tuliooa tunajua. Wanawake wana changamoto zao nyingi, asiye na hili ana lile. Cha msingi tafuta mazuri yake na uyafurahie. Mapungufu tupa kule. Zaidi sana vumilia yanayovumilika, yapo mengine hayavumiliki
 

Asante na mimi umenifundisha kitu.
 
Mkeo atakua anazidiwa na majukumu ya nymbn...mm ni mfanyakazi na nna dd wa kaz lkn kaz za nymbn ni shughuli haswa kufua! Ila kwa upande wa mume huwa namhandle ipasavyo...ila pia kauvivu katakua kanamsumbua.
Watt wako wana umri gani?
 
Asante mkuu. Nimekuelewa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…