Mke wangu hatimizi majukumu yake ya nyumbani ipasavyo

Mke wangu hatimizi majukumu yake ya nyumbani ipasavyo

Heshima kwenu ndugu zangu.

Jambo likikukuta mshirikishe mwingine mwenye uzoefu, na mficha maradhi kifo humuumbua.

Naamini humu wapo wengi wenye ndoa na wazoefu wa changamoto mbali mbali,

Nimekaa nikatafakari sana nikaona bora nilete huku jambo langu hili ili nipate mawazo mapya.

Nimekuwa na changamoto kadhaa kwenye ndoa yangu, japo nimekuwa nikizichukulia poa lakin sasa naona ni wakati wa kuwa serious kidogo,

Ninaomba niorodheshe mambo kadhaa ambayo kwa upande wangu nayaona kama ni madhaifu ya mke wangu na niseme tu kuna baadhi nilishaongea nae lakin sijaona mabadiliko yoyote.

Mke wangu ana umri wa miaka 28 na mimi nina 33 na tumejaliwa watoto wawili mpaka sasa. Na mke wangu ni mama wa nyumbani (sio mfanyakazi).
Namshukuru Mungu mengi natimiza na hatujawahi kulala njaa.

Mke wangu ananishangaza kwa tabia ya uvivu aliyonayo,
Ni mvivu kufua nguo, tenga la nguo chafu linaweza kujaa na zaidi lakin nguo hazifuliwi mpaka umkumbushe. Na ukimkumbusha atafua lakin utakuta nusu zimebaki.

Mimi ninafanya shughuli zangu karibu sana na tunaposhi, lakin nikimwambia apike mchana aniletee chakula inakuwa adhabu kubwa sana kwake. Kwahiyo mara nyingi naamua kula kwa mama ntilie tu.

Mwili wake ni mzito sana, hajui kujiongeza katika mambo mengi madogo madogo, kitu kinaweza kuwa kipo sehem sio yake lakini hawezi kunyanyuka akakiondoa mpaka umwambie, hawezi kuona meza ina vumbi au TV akachukua kitambaa akafuta.

Huyu mke wangu suala la kuamka kitandani saa mbili au tatu asubuh kwake ni la kawaida.

Mbaya zaidi, huyu mwanamke hajui kuonesha mapenzi. Navyojua mwanaume ukirud kutoka kwenye mihangaiko unatarajia upokelewe vizuri na mkeo, lakini yeye unakuta kakaa tu kwenye kiti, hakupi ile hali ya kujisikia kama umerudi nyumbani umemkuta mke.

Mbaya zaidi huyu mwanamke ni mvivu hata kwenye kufanya tendo la ndoa. Usipomkumbusha mwenyewe mnaweza kukaa hata wiki mbili na wakati mwingine nikihitaji anagoma mpaka nitumie ushawishi wa hali ya juu au nguvu. Lakini kwa hili siku hizi nimeamua kumpotezea, siombi kabisa, nkishashiba nalala zangu. Mpaka akili inaniambia nitafute mchepuko niwe najipoza kidogo.

Kama upo kwenye ndoa naomba mtazamo wako, maoni na ushauri kuhusu haya yanayonikuta kama mwanachama mwenzako kwenye chama hiki.
Mbunye
 
Kuna majamaa yanataka nguo zao zifuliwe na mke tu sio na mtu mwingine

Demi, hivi kwenye ulimwengu wa sasa hii dhana ya kupikiwa na mke na kufuliwa na kupikiwa kwa mikono mke tuu bado iko applicable kweli!? Kuna wakati wasaidizi (watu na mashine) vinatakiwa ili maisha yaendelee, mradi tuu mama ujue kusimamia

Nawaza vile baba chanja yuko kule anatafuta na mimi niko huku natafuta wiki nzima halafu tukikutana kwa masaa machache mimi nianze kufua..... wallah angenimind mbaya😀😀😀😀

Ila weekends mimi ni mtumishi wake na wanawe, tena mtumishi mtiifu na nafurahia
 
anza kulala nje na tafuta mwanamke mwingine huko nje,pia nguo zako uwe unatoka nazo zikafuliwe huko,ukifanya hivi utakuja na mrejesho mzuri,akishakaa sawa huyo wa nje piga chini kimyakimya
 
Poleee..
Labda jaribu kua na dada wa kazi pia.
Kama hakua hivyo tokea mwanzoni,bas amejichokea tuu, kukaa tuu nyumbani kunachosha sana,unakua sort of depressed ivii.kila kitu unaona sawa tuu.
Inshort life la kua ndani tuu ya nyumba is like living with no purpose.
Pole,my 2 cents japo mie sio mwanaume mwenye ndoa.
Right on man, this is it!
 
Huyo itakuwa kalelewa kwenye familia ya kazi zote ni za beki tatu. kumbadilisha ni ngumu mno apo mzoee tu au leta beki tatu hapo nyumbani.
Beki tatu akifika, mama mwenye nyumba hachukui round, meza inapinduliwa!
 
Poleee..
Labda jaribu kua na dada wa kazi pia.
Kama hakua hivyo tokea mwanzoni,bas amejichokea tuu, kukaa tuu nyumbani kunachosha sana,unakua sort of depressed ivii.kila kitu unaona sawa tuu.
Inshort life la kua ndani tuu ya nyumba is like living with no purpose.
Pole,my 2 cents japo mie sio mwanaume mwenye ndoa.
Nakazia
 
Heshima kwenu ndugu zangu.

Jambo likikukuta mshirikishe mwingine mwenye uzoefu, na mficha maradhi kifo humuumbua.

Naamini humu wapo wengi wenye ndoa na wazoefu wa changamoto mbali mbali,

Nimekaa nikatafakari sana nikaona bora nilete huku jambo langu hili ili nipate mawazo mapya.

Nimekuwa na changamoto kadhaa kwenye ndoa yangu, japo nimekuwa nikizichukulia poa lakin sasa naona ni wakati wa kuwa serious kidogo,

Ninaomba niorodheshe mambo kadhaa ambayo kwa upande wangu nayaona kama ni madhaifu ya mke wangu na niseme tu kuna baadhi nilishaongea nae lakin sijaona mabadiliko yoyote.

Mke wangu ana umri wa miaka 28 na mimi nina 33 na tumejaliwa watoto wawili mpaka sasa. Na mke wangu ni mama wa nyumbani (sio mfanyakazi).
Namshukuru Mungu mengi natimiza na hatujawahi kulala njaa.

Mke wangu ananishangaza kwa tabia ya uvivu aliyonayo,
Ni mvivu kufua nguo, tenga la nguo chafu linaweza kujaa na zaidi lakin nguo hazifuliwi mpaka umkumbushe. Na ukimkumbusha atafua lakin utakuta nusu zimebaki.

Mimi ninafanya shughuli zangu karibu sana na tunaposhi, lakin nikimwambia apike mchana aniletee chakula inakuwa adhabu kubwa sana kwake. Kwahiyo mara nyingi naamua kula kwa mama ntilie tu.

Mwili wake ni mzito sana, hajui kujiongeza katika mambo mengi madogo madogo, kitu kinaweza kuwa kipo sehem sio yake lakini hawezi kunyanyuka akakiondoa mpaka umwambie, hawezi kuona meza ina vumbi au TV akachukua kitambaa akafuta.

Huyu mke wangu suala la kuamka kitandani saa mbili au tatu asubuh kwake ni la kawaida.

Mbaya zaidi, huyu mwanamke hajui kuonesha mapenzi. Navyojua mwanaume ukirud kutoka kwenye mihangaiko unatarajia upokelewe vizuri na mkeo, lakini yeye unakuta kakaa tu kwenye kiti, hakupi ile hali ya kujisikia kama umerudi nyumbani umemkuta mke.

Mbaya zaidi huyu mwanamke ni mvivu hata kwenye kufanya tendo la ndoa. Usipomkumbusha mwenyewe mnaweza kukaa hata wiki mbili na wakati mwingine nikihitaji anagoma mpaka nitumie ushawishi wa hali ya juu au nguvu. Lakini kwa hili siku hizi nimeamua kumpotezea, siombi kabisa, nkishashiba nalala zangu. Mpaka akili inaniambia nitafute mchepuko niwe najipoza kidogo.

Kama upo kwenye ndoa naomba mtazamo wako, maoni na ushauri kuhusu haya yanayonikuta kama mwanachama mwenzako kwenye chama hiki.
Wewe mwenyewe unaona upo sawa ila mlipofunga ndoa kuna mahali umeandikiwa kuwa wewe huyu mkeo ni mfanyakazi first of all umeambiwa unaoa mke au mkijakazi .
Halafu mbona nyie wanaume mnaona kama umeoa mfanyakazi??

Ipo siku utakuja jutia akipata wakumfadhili amng'arishe , amfungulie biashara ndogo yakufanya kama duka au kitu anachotaka na kumnunulia gari nguo za gharama .
Ampe penzi tamu sana ampeleke massage akapakwe rangi kucha apelekwe sehemu za starehe na watoto wako.wapelekwe shule nzuri nawapendwe .

Mwanamke niwakusaidiwa .
Amechoka amekuzalia amekulelea watoto wako wamefika hapo ulipo wewe siumtafutie mfanyakazi au dada wakufua nakumuomba amsaidie baadhi ya kazi .

Mpende kakuzalia , na bado yupo hapo kwa ajili yako .
Umeoa kisa mapenzi na familia kuhusu usafi weka msaidizi ukiibiwa wife usije kutulia hapa siye tunachapa matusi tu.

Watu saizi wanatafuta wake za watu wawakimbize wakalee hawajali na maisha magumu .
Sio kwa wotee.
Tena Dar nimesomaga huko napajua nakama sio dar basi kote .
Watoto sio kazi kulea angalia ukiwa na doh hakuna mtu anayetaka kuolewa saizi na choka mbaya watu wanabanana kwa mtu mwenye mke wake wako kumi .

Wewe unamtu anakuvumilia unaleta mdomoo . Nyodooo
Soon utalia walahi utakuja kusema hapa a. Hapaaa
 
Heshima kwenu ndugu zangu.

Jambo likikukuta mshirikishe mwingine mwenye uzoefu, na mficha maradhi kifo humuumbua.

Naamini humu wapo wengi wenye ndoa na wazoefu wa changamoto mbali mbali,

Nimekaa nikatafakari sana nikaona bora nilete huku jambo langu hili ili nipate mawazo mapya.

Nimekuwa na changamoto kadhaa kwenye ndoa yangu, japo nimekuwa nikizichukulia poa lakin sasa naona ni wakati wa kuwa serious kidogo,

Ninaomba niorodheshe mambo kadhaa ambayo kwa upande wangu nayaona kama ni madhaifu ya mke wangu na niseme tu kuna baadhi nilishaongea nae lakin sijaona mabadiliko yoyote.

Mke wangu ana umri wa miaka 28 na mimi nina 33 na tumejaliwa watoto wawili mpaka sasa. Na mke wangu ni mama wa nyumbani (sio mfanyakazi).
Namshukuru Mungu mengi natimiza na hatujawahi kulala njaa.

Mke wangu ananishangaza kwa tabia ya uvivu aliyonayo,
Ni mvivu kufua nguo, tenga la nguo chafu linaweza kujaa na zaidi lakin nguo hazifuliwi mpaka umkumbushe. Na ukimkumbusha atafua lakin utakuta nusu zimebaki.

Mimi ninafanya shughuli zangu karibu sana na tunaposhi, lakin nikimwambia apike mchana aniletee chakula inakuwa adhabu kubwa sana kwake. Kwahiyo mara nyingi naamua kula kwa mama ntilie tu.

Mwili wake ni mzito sana, hajui kujiongeza katika mambo mengi madogo madogo, kitu kinaweza kuwa kipo sehem sio yake lakini hawezi kunyanyuka akakiondoa mpaka umwambie, hawezi kuona meza ina vumbi au TV akachukua kitambaa akafuta.

Huyu mke wangu suala la kuamka kitandani saa mbili au tatu asubuh kwake ni la kawaida.

Mbaya zaidi, huyu mwanamke hajui kuonesha mapenzi. Navyojua mwanaume ukirud kutoka kwenye mihangaiko unatarajia upokelewe vizuri na mkeo, lakini yeye unakuta kakaa tu kwenye kiti, hakupi ile hali ya kujisikia kama umerudi nyumbani umemkuta mke.

Mbaya zaidi huyu mwanamke ni mvivu hata kwenye kufanya tendo la ndoa. Usipomkumbusha mwenyewe mnaweza kukaa hata wiki mbili na wakati mwingine nikihitaji anagoma mpaka nitumie ushawishi wa hali ya juu au nguvu. Lakini kwa hili siku hizi nimeamua kumpotezea, siombi kabisa, nkishashiba nalala zangu. Mpaka akili inaniambia nitafute mchepuko niwe najipoza kidogo.

Kama upo kwenye ndoa naomba mtazamo wako, maoni na ushauri kuhusu haya yanayonikuta kama mwanachama mwenzako kwenye chama hiki.
Daaah tabia zote hizo bado hujampatia mbadala,una upendo wa agape
 
Wewe mwenyewe unaona upo sawa ila mlipofunga ndoa kuna mahali umeandikiwa kuwa wewe huyu mkeo ni mfanyakazi first of all umeambiwa unaoa mke au mkijakazi .
Halafu mbona nyie wanaume mnaona kama umeoa mfanyakazi??

Ipo siku utakuja jutia akipata wakumfadhili amng'arishe , amfungulie biashara ndogo yakufanya kama duka au kitu anachotaka na kumnunulia gari nguo za gharama .
Ampe penzi tamu sana ampeleke massage akapakwe rangi kucha apelekwe sehemu za starehe na watoto wako.wapelekwe shule nzuri nawapendwe .

Mwanamke niwakusaidiwa .
Amechoka amekuzalia amekulelea watoto wako wamefika hapo ulipo wewe siumtafutie mfanyakazi au dada wakufua nakumuomba amsaidie baadhi ya kazi .

Mpende kakuzalia , na bado yupo hapo kwa ajili yako .
Umeoa kisa mapenzi na familia kuhusu usafi weka msaidizi ukiibiwa wife usije kutulia hapa siye tunachapa matusi tu.

Watu saizi wanatafuta wake za watu wawakimbize wakalee hawajali na maisha magumu .
Sio kwa wotee.
Tena Dar nimesomaga huko napajua nakama sio dar basi kote .
Watoto sio kazi kulea angalia ukiwa na doh hakuna mtu anayetaka kuolewa saizi na choka mbaya watu wanabanana kwa mtu mwenye mke wake wako kumi .

Wewe unamtu anakuvumilia unaleta mdomoo . Nyodooo
Soon utalia walahi utakuja kusema hapa a. Hapaaa
Wanawake bwana
 
Heshima kwenu ndugu zangu.

Jambo likikukuta mshirikishe mwingine mwenye uzoefu, na mficha maradhi kifo humuumbua.

Naamini humu wapo wengi wenye ndoa na wazoefu wa changamoto mbali mbali,

Nimekaa nikatafakari sana nikaona bora nilete huku jambo langu hili ili nipate mawazo mapya.

Nimekuwa na changamoto kadhaa kwenye ndoa yangu, japo nimekuwa nikizichukulia poa lakin sasa naona ni wakati wa kuwa serious kidogo,

Ninaomba niorodheshe mambo kadhaa ambayo kwa upande wangu nayaona kama ni madhaifu ya mke wangu na niseme tu kuna baadhi nilishaongea nae lakin sijaona mabadiliko yoyote.

Mke wangu ana umri wa miaka 28 na mimi nina 33 na tumejaliwa watoto wawili mpaka sasa. Na mke wangu ni mama wa nyumbani (sio mfanyakazi).
Namshukuru Mungu mengi natimiza na hatujawahi kulala njaa.

Mke wangu ananishangaza kwa tabia ya uvivu aliyonayo,
Ni mvivu kufua nguo, tenga la nguo chafu linaweza kujaa na zaidi lakin nguo hazifuliwi mpaka umkumbushe. Na ukimkumbusha atafua lakin utakuta nusu zimebaki.

Mimi ninafanya shughuli zangu karibu sana na tunaposhi, lakin nikimwambia apike mchana aniletee chakula inakuwa adhabu kubwa sana kwake. Kwahiyo mara nyingi naamua kula kwa mama ntilie tu.

Mwili wake ni mzito sana, hajui kujiongeza katika mambo mengi madogo madogo, kitu kinaweza kuwa kipo sehem sio yake lakini hawezi kunyanyuka akakiondoa mpaka umwambie, hawezi kuona meza ina vumbi au TV akachukua kitambaa akafuta.

Huyu mke wangu suala la kuamka kitandani saa mbili au tatu asubuh kwake ni la kawaida.

Mbaya zaidi, huyu mwanamke hajui kuonesha mapenzi. Navyojua mwanaume ukirud kutoka kwenye mihangaiko unatarajia upokelewe vizuri na mkeo, lakini yeye unakuta kakaa tu kwenye kiti, hakupi ile hali ya kujisikia kama umerudi nyumbani umemkuta mke.

Mbaya zaidi huyu mwanamke ni mvivu hata kwenye kufanya tendo la ndoa. Usipomkumbusha mwenyewe mnaweza kukaa hata wiki mbili na wakati mwingine nikihitaji anagoma mpaka nitumie ushawishi wa hali ya juu au nguvu. Lakini kwa hili siku hizi nimeamua kumpotezea, siombi kabisa, nkishashiba nalala zangu. Mpaka akili inaniambia nitafute mchepuko niwe najipoza kidogo.

Kama upo kwenye ndoa naomba mtazamo wako, maoni na ushauri kuhusu haya yanayonikuta kama mwanachama mwenzako kwenye chama hiki.
Ukisikia watu wakisema kosea vitu vingine lakini usikosee kuoa.

Hapo namna hakuna.

Kama dini yako inakuruhusu kugawa talaka basi fanya hivyo.

Au kama inakuruhusu kuoa mke wa pili na unauwezo wa kuwatunza basi fanya hivyo.

La sivyo tafuta mfanyakazi wa ndani.


Au mrudishe kwao kwa mwezi mmoja au miwili ili akafundwe upya Waeleze wazazi wake hizo Keko zake.
 
Back
Top Bottom