Nadhani sababu zipo hapo ndani yake...yupo busy Sana kuikamilisha nyumba yake nawe unamajukumu yasiyoathiri simu yakoMikono yake sijui inanini, simu nzuri baada ya muda kaiangusha, kioo kimepasuka. mara simu imeingia kwenye maji jikoni wakati, mara ameikanyage simu, ni taflani
Ana roho ya uharibifu, ikemee hiyo roho kabla haijakomaaMikono yake sijui inanini, simu nzuri baada ya muda kaiangusha, kioo kimepasuka. mara simu imeingia kwenye maji jikoni wakati, mara ameikanyage simu, ni taflani.
Mi ninaweza kaa na simu mpaka niamua kubadilisha au nimpe ntu la yeye akimaliza nayo miezi sita ni kushukuru Mungu.
Nampeda mke wangu ila hapa kwenye simu ananikera.
Naunga mkono hii hojaDawa ni kumnunulia kiswaswadu, akiharibu smart apambane na kiswaswadu mpala akili itakapomkaa sawa.
Nimeipenda hiiTatizo hatoi hela zake, anachukulia poa!
Simple tuu akivunja wacha anunue mwenyewe ajue uchungu wakeMikono yake sijui inanini, simu nzuri baada ya muda kaiangusha, kioo kimepasuka. mara simu imeingia kwenye maji jikoni wakati, mara ameikanyage simu, ni taflani.
Mi ninaweza kaa na simu mpaka niamua kubadilisha au nimpe ntu la yeye akimaliza nayo miezi sita ni kushukuru Mungu.
Nampenda mke wangu ila hapa kwenye simu ananikera.
Nimeipenda hiiSimple tuu akivunja wacha anunue mwenyewe ajue uchungu wake
Kwakuwa unampenda, ni vyema ukamnunualia hii hapa.Nampenda mke wangu ila hapa kwenye simu ananikera.
Mikono yake sijui inanini, simu nzuri baada ya muda kaiangusha, kioo kimepasuka. mara simu imeingia kwenye maji jikoni wakati, mara ameikanyage simu, ni taflani.
Ndg munulie ya 200-250k basi akivunja kioo ni 30000Mikono yake sijui inanini, simu nzuri baada ya muda kaiangusha, kioo kimepasuka. mara simu imeingia kwenye maji jikoni wakati, mara ameikanyage simu, ni taflani.
Mi ninaweza kaa na simu mpaka niamua kubadilisha au nimpe ntu la yeye akimaliza nayo miezi sita ni kushukuru Mungu.
Nampenda mke wangu ila hapa kwenye simu ananikera.
Akifanya hivyo hata unyumba hapewi anapepo mharibifu huyoDawa ni kumnunulia kiswaswadu, akiharibu smart apambane na kiswaswadu mpala akili itakapomkaa sawa.