Lamzettttt
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,218
- 3,481
Mnunulie redio koru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe kazi nikuletee direct from China.Mikono yake sijui inanini, simu nzuri baada ya muda kaiangusha, kioo kimepasuka. mara simu imeingia kwenye maji jikoni wakati, mara ameikanyage simu, ni taflani.
Mi ninaweza kaa na simu mpaka niamua kubadilisha au nimpe ntu la yeye akimaliza nayo miezi sita ni kushukuru Mungu.
Nampenda mke wangu ila hapa kwenye simu ananikera.
Simu ya mama huwa ni simu ya familia....kila mtu ana haki nayo muda wowote kufanyia chochote na hakuna kitu utawafanya.Hata mimi protector naweka karibia kila baada ya wiki 2.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na smartphone inakaa mule? WoiiiihNunua kile kipochi cha sim wanavaaga wabibi wa kijijini anavaa shingoni ananing'iniza
Na kazi zetu nyingi za ndani nazo zinachangia, sio rafiki kwa simu.Simu ya mama huwa ni simu ya familia....kila mtu ana haki nayo muda wowote kufanyia chochote na hakuna kitu utawafanya.
Kutunzwa inabidi uwe mbogo
Na ukiiacha ndani ukawa bize jikoni baba mwenye nyumba akipiga haupokei ananuna.Na kazi zetu nyingi za ndani nazo zinachangia, sio rafiki kwa simu.
hii ndo fomula yangu naimeleta matokeo chanyaDawa ni kumnunulia kiswaswadu, akiharibu smart apambane na kiswaswadu mpala akili itakapomkaa sawa.
🤔🤔Atakua na Pakinson kampime 😂
Kama anaweza kutunza kipochi manyoya, basi mvumilie tu broh.Mikono yake sijui inanini, simu nzuri baada ya muda kaiangusha, kioo kimepasuka. mara simu imeingia kwenye maji jikoni wakati, mara ameikanyage simu, ni taflani.
Mi ninaweza kaa na simu mpaka niamua kubadilisha au nimpe ntu la yeye akimaliza nayo miezi sita ni kushukuru Mungu.
Nampenda mke wangu ila hapa kwenye simu ananikera.
👏👏👏🎯Nunua kile kipochi cha sim wanavaaga wabibi wa kijijini anavaa shingoni ananing'iniza
simu kubwa inafaida kwangu, naweza fatilia nyedo zake kirahisi. kiswaswadu ni shidaHuyo yuko kama mdogo wangu.
Kwa kumsaidia mnunulie simu ndogo ambayo atakua anaitumia kila saa, alafu iyo simu kubwa aitumie wakati ametuliza akili, na hekaheka zikiwa zimeisha
Ya kwangu hakuna mtoto anaishika, labda ikiita ndio wananiletea. Hata dogo anajua simu ya bimkubwa hashiki. Anacheza na za dada zake huko.Simu ya mama huwa ni simu ya familia....kila mtu ana haki nayo muda wowote kufanyia chochote na hakuna kitu utawafanya.
Kutunzwa inabidi uwe mbogo
Wakati unatafuta mke hukujua unaoa kitu careless?Mikono yake sijui inanini, simu nzuri baada ya muda kaiangusha, kioo kimepasuka. mara simu imeingia kwenye maji jikoni wakati, mara ameikanyage simu, ni taflani.
Mi ninaweza kaa na simu mpaka niamua kubadilisha au nimpe ntu la yeye akimaliza nayo miezi sita ni kushukuru Mungu.
Nampenda mke wangu ila hapa kwenye simu ananikera.