Ayos
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 981
- 2,454
Sawa lipa gharama sasasimu kubwa inafaida kwangu, naweza fatilia nyedo zake kirahisi. kiswaswadu ni shida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa lipa gharama sasasimu kubwa inafaida kwangu, naweza fatilia nyedo zake kirahisi. kiswaswadu ni shida
Kwakweli tuvae tu shingoni🤣🤣Na ukiiacha ndani ukawa bize jikoni baba mwenye nyumba akipiga haupokei ananuna.
Au serekale iamue wanawake wote simu tuvae shingoni na vile vikamba
Ajichanganye, vioo vya samsung ni balaa jingineKwakuwa unampenda,mnunulie Samsung S24 Ultra,haivunjiki na haiingii maji
Tremors kama zoteAtakua na Pakinson kampime 😂
Mwisho akagongwe huko kisa umemwambia akatafute hela ya simu, hahaSimple tuu akivunja wacha anunue mwenyewe ajue uchungu wake
Unaona ni sawa..?Hata mimi protector nabadili karibia kila baada ya wiki 2.
Si sawa, sasa kama inaanguka mie nifanyeje!!Unaona ni sawa..?
Umejaza michepuko kama yote, hahaYa kwangu hakuna mtoto anaishika, labda ikiita ndio wananiletea. Hata dogo anajua simu ya bimkubwa hashiki. Anacheza na za dada zake huko.
Huwa mna simplify sana mambo.Si sawa, sasa kama inaanguka mie nifanyeje!!
Ngoja nitaishonea kamfuko nining'inize shingoni.
Unawaza michepuko tu, unadhani kila mtu ana mchepuko. Siwezi nunua simu ya 2m niache tu watu wachezee.Umejaza michepuko kama yote, haha
Mwambie apunguze kisirani tuMikono yake sijui inanini, simu nzuri baada ya muda kaiangusha, kioo kimepasuka. mara simu imeingia kwenye maji jikoni wakati, mara ameikanyage simu, ni taflani.
Mi ninaweza kaa na simu mpaka niamua kubadilisha au nimpe ntu la yeye akimaliza nayo miezi sita ni kushukuru Mungu.
Nampenda mke wangu ila hapa kwenye simu ananikera.
Hapo umeongea😂 yaani Mimi kikundi changu chote hapa nyumbani wanapassword yangu nikigeuka kushoto tu wameruka nayoSimu ya mama huwa ni simu ya familia....kila mtu ana haki nayo muda wowote kufanyia chochote na hakuna kitu utawafanya.
Kutunzwa inabidi uwe mbogo
"Haumridhishi" ndo maana.Mikono yake sijui inanini, simu nzuri baada ya muda kaiangusha, kioo kimepasuka. mara simu imeingia kwenye maji jikoni wakati, mara ameikanyage simu, ni taflani.
Mi ninaweza kaa na simu mpaka niamua kubadilisha au nimpe ntu la yeye akimaliza nayo miezi sita ni kushukuru Mungu.
Nampenda mke wangu ila hapa kwenye simu ananikera.
Kwa nini asinunue mwenywwe?Huyo yuko kama mdogo wangu.
Kwa kumsaidia mnunulie simu ndogo ambayo atakua anaitumia kila saa, alafu iyo simu kubwa aitumie wakati ametuliza akili, na hekaheka zikiwa zimeisha
Wakiichukua dakika 3 tu utakuta wamejipiga picha 50Hapo umeongea😂 yaani Mimi kikundi changu chote hapa nyumbani wanapassword yangu nikigeuka kushoto tu wameruka nayo
Inaonekana pesa kwako ina thamani sana. Hongera na kila la kheri.Unawaza michepuko tu, unadhani kila mtu ana mchepuko. Siwezi nunua simu ya 2m niache tu watu wachezee.
Hahahahahah😆😆Dawa ni kumnunulia kiswaswadu, akiharibu smart apambane na kiswaswadu mpala akili itakapomkaa sawa.
ComMikono yake sijui inanini, simu nzuri baada ya muda kaiangusha, kioo kimepasuka. mara simu imeingia kwenye maji jikoni wakati, mara ameikanyage simu, ni taflani.
Mi ninaweza kaa na simu mpaka niamua kubadilisha au nimpe ntu la yeye akimaliza nayo miezi sita ni kushukuru Mungu.
Nampenda mke wangu ila hapa kwenye simu ananikera.
Comments reservedMikono yake sijui inanini, simu nzuri baada ya muda kaiangusha, kioo kimepasuka. mara simu imeingia kwenye maji jikoni wakati, mara ameikanyage simu, ni taflani.
Mi ninaweza kaa na simu mpaka niamua kubadilisha au nimpe ntu la yeye akimaliza nayo miezi sita ni kushukuru Mungu.
Nampenda mke wangu ila hapa kwenye simu ananikera.