Mke wangu hunitukania baba yangu tukiwa tendoni

Mke wangu hunitukania baba yangu tukiwa tendoni

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] cku alokusukuma ingetokea umeangukia kisogo ungekufa hujamaliza utamu.
 
Mpakae super glue kwenye lips, la sivyo kuna siku atakutukana tena mkiwa Ligamentini.
 
Hilo la kuparuza bahati mbaya kwenye mstari wa backside ni mambo ya kawaida sana naona kama amecomplicate. Hakuna mwanamke ambae hajawahi kuguswa kwa bahati mbaya hiyo sehemu eneo lenyewe limekaa jirani kama jehanam na peponi [emoji1787][emoji2369]
 
Mhh mimi nnachofaham tusi jepesi hasa kwa wakati huo mi lile la upande wa mama...
Isije ikawa kuna umama hapo maana baba zetu wa siku hiz nao!!!
Anyway,, ukimuuliza baba nae anasemaje!!???
 
Habari, nahisi naweza kupiga mtu huku nielekeako, mke wangu tuki-sex hunitukana matusi ya nguoni na kama haitoshi humtukana mpaka baba yangu matusi ya nguoni. Nikimuambia anasema huwa anazidiwa na atajirekebisha.

Hiyo ndio kauli yake kila nikimuonya.! Sijui na-deal naye vipi, hilo tisa, kumi ni jana kanisukuma toka kitandani uzuri sikuangukia kisogo(ningeweza hata kufa), mpaka sakafuni kisa tu uume ulichomoka bahati mbaya ukaparuza juu ya mstari wake wa ikweta, halikuwa lengo langu ila nadhani mwenzangu alimaanisha vinginevyo.

Niliugulia mno, anyway niishie hapo nikijiandaa na safari.!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hauleweki kama hii pichs
FB_IMG_16357685162739964.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mzee hiyo ilikuwa hasira, nilikuwa nataka nioe mke mwingine nimuache huyu mke wangu wa sasa, ila sikutaka maswali mengi na ndio maana nikapita short cut kusema sijaoa na natafuta.!
Bwana mdogo acha kuparamiwa na vitu heavy
 
Wakili: Enhee tuelezee ilikuaje?

Shahidi: Siwezi kuelezea hapa mahakamani..

Wakili: Mh jaji naomba ailezee mahakama chanzo cha kumpiga mkewe mpaka akazirai..

Jaji: elezea ...

Shahidi: jana kanisukuma toka kitandani uzuri sikuangukia kisogo(ningeweza hata kufa), mpaka sakafuni kisa tu uume ulichomoka bahati mbaya ukaparuza juu ya mstari wake wa ikweta

Wakili: mstari wa ikweta ndio nini?

Mahakama kichekooooo!!!!

Jaji:[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wakili:[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Shahidi:[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Wanao comment Jf : [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Habari, nahisi naweza kupiga mtu huku nielekeako, mke wangu tuki-sex hunitukana matusi ya nguoni na kama haitoshi humtukana mpaka baba yangu matusi ya nguoni. Nikimuambia anasema huwa anazidiwa na atajirekebisha.

Hiyo ndio kauli yake kila nikimuonya.! Sijui na-deal naye vipi, hilo tisa, kumi ni jana kanisukuma toka kitandani uzuri sikuangukia kisogo(ningeweza hata kufa), mpaka sakafuni kisa tu uume ulichomoka bahati mbaya ukaparuza juu ya mstari wake wa ikweta, halikuwa lengo langu ila nadhani mwenzangu alimaanisha vinginevyo.

Niliugulia mno, anyway niishie hapo nikijiandaa na safari.!
Acha ujinga huo ni utamu wa kunyanduana

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom