Mke wangu hunitukania baba yangu tukiwa tendoni

Mke wangu hunitukania baba yangu tukiwa tendoni

Wakili: Enhee tuelezee ilikuaje?

Shahidi: Siwezi kuelezea hapa mahakamani..

Wakili: Mh jaji naomba ailezee mahakama chanzo cha kumpiga mkewe mpaka akazirai..

Jaji: elezea ...

Shahidi: jana kanisukuma toka kitandani uzuri sikuangukia kisogo(ningeweza hata kufa), mpaka sakafuni kisa tu uume ulichomoka bahati mbaya ukaparuza juu ya mstari wake wa ikweta

Wakili: mstari wa ikweta ndio nini?

Mahakama kichekooooo!!!!

Jaji:[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wakili:[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Shahidi:[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ww jamaa uwekage akiba ya maneno....

Mara ww n meneja wa makampun flan,

Mara mwanachuo,
Mara umeachana na mkeo
Mara unataka uoe mke wa aina flan
Leo mkeo kakufanyaje.......

Ww ni SABAYA ULIYECHANGAMKA
 
We mkulungwa na mke wako ni comedy toshelezi, nikiboreka tuu lazima nije jf kusoma thread zako😅😅😅👍
 
Hahaha nacheka kama mazuri ila huwenda humo ndani ya ndoa kuna vitimbi jaman
 
Ww jamaa uwekage akiba ya maneno....

Mara ww n meneja wa makampun flan,

Mara mwanachuo,
Mara umeachana na mkeo
Mara unataka uoe mke wa aina flan
Leo mkeo kakufanyaje.......

Ww ni SABAYA ULIYECHANGAMKA
Ndio madogo wa siku hizi hao boom kutwa kununua bundle za simu wabet na kutrade forex na kuandika andika JF
 
Kwani wewe Vile Vibao Vya wakati wa Tendo huvifahamu?

Mlambe makofii hasaaa, Akikuuliza na wewe mwambie utajirekebisha Huwa unazidiwa.
 
Habari, nahisi naweza kupiga mtu huku nielekeako, mke wangu tuki-sex hunitukana matusi ya nguoni na kama haitoshi humtukana mpaka baba yangu matusi ya nguoni. Nikimuambia anasema huwa anazidiwa na atajirekebisha.

Hiyo ndio kauli yake kila nikimuonya.! Sijui na-deal naye vipi, hilo tisa, kumi ni jana kanisukuma toka kitandani uzuri sikuangukia kisogo(ningeweza hata kufa), mpaka sakafuni kisa tu uume ulichomoka bahati mbaya ukaparuza juu ya mstari wake wa ikweta, halikuwa lengo langu ila nadhani mwenzangu alimaanisha vinginevyo.

Niliugulia mno, anyway niishie hapo nikijiandaa na safari.!
Uvuvi huu ni haramu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nime miss sana Nyuzi za kitoabu hivi nyuzi kama zile siku hizi wana ziweka katika jukwaa gani?
 
Extrovert njoo uweke emoji ya kucheka.. kucheka kwako kunanifurahisha humu ni kwa asilimia 95 kwa kugesi.. naamini huko ulipo upo hivyo haaujazi mabaya moyoni. Haya mshauri huyu
Yani mpaka natamani kumuuliza kwanini kila comment lazima aweke emoji ya kucheka🤣

Imetokea kukuelewa sana Extrovert
 
Nyie Wavulana vyuo havijafunguliwa tu? Mnatujazia maushuziushuzi humu na maupunguani yenu mjue
 
Back
Top Bottom