green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
- Thread starter
-
- #41
Hapo nimekuelewa tatizo watoto bado wadogo na atawaleaBila shaka wewe utakuwa ni tegemezi kwake ndo maana unakuwa Bushoke wake,, Wala usisingizie uchawi
Tafuta hela mwanaume,, tafuta hela,,
Mwanamke akija night pigaa,, akirudia Tena fukuza,, wanawake ni wengi mnooh!!
#KUMBUKA UKIMWI UPO
kajitupe baharini kina kirefu itakuwa ushajitoa jela ya misuriNaomba ushauri namna ya kunitoa jela ya misuri
Ameshakufanya ndondochaKaisha libeba na sijui alipolificha
I'm sorry to say kwamba hii ni chai.Akitoka ananiacha na watoto na mfanyakazi wa ndani, Naakirudi nashindwa kumkemea, sana sana naishiakumpa pole na pilika. Hauwezi kunishauri kitu nikakuelewa namuelewa sana.
Juzi wakati natoa mpira wa mtoto uvunguni mwa kitanda nikakuta kichwa cha bata kimefunga mdomo na kufuli sijui nini na nilipomuuliza akanambia hizo kacha tu za kimasai je nikweli au ndio nimefungwa mdomo eti wakongwe misumari hii ni kitu gani
View attachment 2080915
View attachment 2080920
Kweli kabisaMi toko ya jioni tu
Nyuzi za facebook. Hiyo picha ni screenshot halafu unasema ulikuta uvunguni. Picha ya pili kwa hisani ya google.Akitoka ananiacha na watoto na mfanyakazi wa ndani, Naakirudi nashindwa kumkemea, sana sana naishiakumpa pole na pilika. Hauwezi kunishauri kitu nikakuelewa namuelewa sana.
Juzi wakati natoa mpira wa mtoto uvunguni mwa kitanda nikakuta kichwa cha bata kimefunga mdomo na kufuli sijui nini na nilipomuuliza akanambia hizo kacha tu za kimasai je nikweli au ndio nimefungwa mdomo eti wakongwe misumari hii ni kitu gani
View attachment 2080915
View attachment 2080920
Mwambie aache tabia ya kurudi usiku.Akikabwa na vibaka je?Awe anarudi asubuhi.
Hahah haha sawa bhana hayajakukutaKama litoto[emoji23][emoji23][emoji23]
Hayajakukuta kakaChai hii Ina pilipili nyingi sana
Ni tumepanga hapa mtaani ila kanikuta nina kila kitu labda siku moja moja hua anarudi na mboga au matundaKwanza mkuuu nikuuulize yafuatayo ili nikushauri.
1.Nani mlipa kodi mnapoishi?
2.Nani mtoa huduma za chakula mnapoishi?
3.Nani mwenye vitu vya thamani mfano TV,kitanda mnapoishi?
NB.Ukinijibu maswali yangu hayo ntakupa ushauri hutajuta.
Ndio kile kichwa cha bata kilichofungwa kufuli mdomoni nahisi ndio msumari wenyeweAmeshakufanya ndondocha
Mi nimepanga na ndio mlipa kodi kazi yangu ya kusafiri dereva wa MaloriMnaishi kwako au kwake!?
HayajakukutaHizi story za kutunga zinawafaidisha nini?