Mke wangu huwa anarudi usiku sana, nifanyaje?

Mke wangu huwa anarudi usiku sana, nifanyaje?

Bila shaka wewe utakuwa ni tegemezi kwake ndo maana unakuwa Bushoke wake,, Wala usisingizie uchawi

Tafuta hela mwanaume,, tafuta hela,,
Mwanamke akija night pigaa,, akirudia Tena fukuza,, wanawake ni wengi mnooh!!

#KUMBUKA UKIMWI UPO
Hapo nimekuelewa tatizo watoto bado wadogo na atawalea
 
Kwanza mkuuu nikuuulize yafuatayo ili nikushauri.

1.Nani mlipa kodi mnapoishi?

2.Nani mtoa huduma za chakula mnapoishi?

3.Nani mwenye vitu vya thamani mfano TV,kitanda mnapoishi?

NB.Ukinijibu maswali yangu hayo ntakupa ushauri hutajuta.
 
Akitoka ananiacha na watoto na mfanyakazi wa ndani, Naakirudi nashindwa kumkemea, sana sana naishiakumpa pole na pilika. Hauwezi kunishauri kitu nikakuelewa namuelewa sana.

Juzi wakati natoa mpira wa mtoto uvunguni mwa kitanda nikakuta kichwa cha bata kimefunga mdomo na kufuli sijui nini na nilipomuuliza akanambia hizo kacha tu za kimasai je nikweli au ndio nimefungwa mdomo eti wakongwe misumari hii ni kitu gani

View attachment 2080915

View attachment 2080920
I'm sorry to say kwamba hii ni chai.
 
Akitoka ananiacha na watoto na mfanyakazi wa ndani, Naakirudi nashindwa kumkemea, sana sana naishiakumpa pole na pilika. Hauwezi kunishauri kitu nikakuelewa namuelewa sana.

Juzi wakati natoa mpira wa mtoto uvunguni mwa kitanda nikakuta kichwa cha bata kimefunga mdomo na kufuli sijui nini na nilipomuuliza akanambia hizo kacha tu za kimasai je nikweli au ndio nimefungwa mdomo eti wakongwe misumari hii ni kitu gani

View attachment 2080915

View attachment 2080920
Nyuzi za facebook. Hiyo picha ni screenshot halafu unasema ulikuta uvunguni. Picha ya pili kwa hisani ya google.
 
IMG_6329.jpg

Nimeishia hapa
 
Kwanza mkuuu nikuuulize yafuatayo ili nikushauri.

1.Nani mlipa kodi mnapoishi?

2.Nani mtoa huduma za chakula mnapoishi?

3.Nani mwenye vitu vya thamani mfano TV,kitanda mnapoishi?

NB.Ukinijibu maswali yangu hayo ntakupa ushauri hutajuta.
Ni tumepanga hapa mtaani ila kanikuta nina kila kitu labda siku moja moja hua anarudi na mboga au matunda
 
Back
Top Bottom