Mke wangu huwa anarudi usiku sana, nifanyaje?

Na wewe kaolewe uwe unarudi usiku sana
Acha matusi mkuu yaani mi ni baba wa watoto kabisa unaniambia nikaolewe badala uniambie uniambie nimuombe mke wangu aniruhusu nioe mke mwingine
 
Nimepoteza sekunde tano za maisha yangu kusoma upuuzi.
 
Ushasema hatuwezi kukushauri kitu ukatuelewa maana unamuelewa mkeo sasa unatuandikia tukufanyaje? Tukupake mafuta? Na huo mdude ulio ukuta uvunguni mwambie kwanini msiuweke tu mezani uwe wa maonyesho....?


Hizi ni dalili za Kwanza za psychiatric disorders


One Man Down


Shwain [emoji1782]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…